Amnaga iyo bhana ila cjui ila cyo vema kumtukana mwanamke wanaume hawatukanag wananyamazaga tuu
Kigwangalla nimemdharau sana manake cjui atakuwa anadandia issue ngapi za wana-Bongo Flavor matokeo yake ndo hayo; Upendo a.k.a Diva nae anadai kwanini na yeye hakutendewa haki alipopewa za uso na Diamond!!! Yaani issue ya Dr. Mwaka imemshinda anarukia za akina Jide!Ndio zao kigwangala naye kadandia treni kwa mbele... waziri wa afya na sanaa wapi na wapi?
Acha kujitia u - gentleman fake wewe! Anybody need to be respected no matter what! Wanaume wengi wanajitahidi kwa nguvu zao zote not to insult their couples in public. Ukikutana na mwanamke anayejitambua na kujiheshimu, ata-respect heshima hiyo anayopewa na mwanaume lakini ukikutana na mwanamke mshenzi na asiye na adabu ana - take advantage na kuendelea kukudhalilisha kila anapopata fursa manake ukimya wako anatafsiri unatokana na kukukomesha! By the way, mwanamke anaye-deserve kutunziwa heshima yake ni yule mwenye adabu anayejiheshimu! Hata cku akikosa unafahamu amekosa kutokana na sababu za kibinaadamu... hakuna aliyekamilika! Sasa hebu angalia huyo Jide; sidhani kama kuna msanii wa kike anayemfikia Jide kwa kukorofishana na watu... kama yupo nitajie! Kwahiyo ukorofi wa Jide sio ule ukorofi wa kawaida wa wanawake wengi bali ni mkorofi by nature... na ukorofi wa mipaka yake mtu anaweza kuuvumilia!Amnaga iyo bhana ila cjui ila cyo vema kumtukana mwanamke wanaume hawatukanag wananyamazaga tuu
"Ninaposema Wanaume,Alivyo imba wanaume kama mabinti hapo nani kazalilishwa..?
Public awareness against women abuse ndiko alikolenga, I guess!
Nakubali lakini hakusimama wima kama alivyofanya yeye kusema mbele ya jamii vile,hata angeka na rafiki zake akaongeaHawezi tu kuambiwa from nowhere. Jide ana maneno sana.
Achana na mambo ya JF humu kuna uongo, ukweli, anonymity and all sorts of things. Watu humu wanaweka hypothetical situation to stimulate debate!Wanawake wengi humu JF wanalalamika kwamba Wanaume wao Au wengi hawatosheleze ki mapenzi.Sasa Huyo G kasema alikuwa anamtosheleza Kwa miaka kumi Na tano.Katimiza wajibu wake Kama mme.
Team DVD mtajicarry!!!!
#NdiNdiNdi ndo habare ya mujini. Msisahau tarehe 20 #NaamkaTenaConcert
Kama nakuona vile Captain ushuzi ulivyokuwa unajitutumua pale kati ili usije kosa pocket money, una akili kweli!
Kukojoa sio tusi mkuuLady jay dee siku zote alikuwa anamtusi jamaa,hadi anamtungia nyimbo,kapigwa tusi moja mnalalamika wanawake wote wamedhalilishwa,captain alipokuwa anatukanwa wanaume hawadhalilishwi?tusi moja kelele Tanzania nzima
Kigwangalla nimemdharau sana manake cjui atakuwa anadandia issue ngapi za wana-Bongo Flavor matokeo yake ndo hayo; Upendo a.k.a Diva nae anadai kwanini na yeye hakutendewa haki alipopewa za uso na Diamond!!! Yaani issue ya Dr. Mwaka imemshinda anarukia za akina Jide!
Nadhani hata Kigwa mwenyewe aligundua kwamba alikurupuka! Hivi nchi yenye watu dizaini ya Mwaka kila kona unatumia vigezo gani kumfungia mmoja na kuacha wengine!!Halafu mbona nimeona huyo dokta Mwaka anaendelea tu na shughuli zake kama kawaida....
Si alifungiwa huyo.....au kifungo kiliisha?
Nadhani hata Kigwa mwenyewe aligundua kwamba alikurupuka! Hivi nchi yenye watu dizaini ya Mwaka kila kona unatumia vigezo gani kumfungia mmoja na kuacha wengine!!
Hivi huyo Jide angekuwa anaongea na wenzake tu watu wangejiua? Au Jide ni rukhsa kutumia hadhara lakini Gardner; hapana!!...hata angeka na rafiki zake akaongea
hakuna mtu angejua zaidi ya wale aliokua nao,lakini yeye amezidisha that was too much
SAWA.............Hivi huyo Jide angekuwa anaongea na wenzake tu watu wangejiua? Au Jide ni rukhsa kutumia hadhara lakini Gardner; hapana!!
Nyie endeleeni tu kumtetea lakini Jide ni mkorofi tangia hapo! I can bet at least for the next 1 year, Jide anaweza kuwa ndo last person kukashifiwa hadharani na Gardner lakini siwezi kuthubutu ku-bet in favor of Jide unless ni-confirm hana mpango wa ku-release ngoma hapa kati kati!
Hahaa! Eti mtu anadai kuingia kwa kushitukiza huku akiwa amezungukwa na cameramen! Nchi ina viroja hii....Kigwa bonge la mchemkaji.
Pia sijasikia tena akifungia watu/ wafanyakazi geti hahahaaaa.
1.wanaume kama mabinti.Hahhahahaaaa nakumbuka niliweka post moja hapa mwaka jana mwanzoni kuwa Jide anapenda kuwatungia nyimbo watu anaotofautiana nao Duu ilikuwa shida mbona ?
Ni kweli Jide amedhalilishwa sana kwa maneno yale sijui amejiskiaje.?ivi hukuzaliwa na mwanamke wewe? angekua Dada yako au mzazi wako ameambiwa hayo maneno aliyo yasema yule Mzulufu tena mbele ya jamii ugejisikiaje ukiwa kama binadamu anaejitambua?
πππyani sijui nisemeje ,lakini nachoweza kusema tu kwa kifupi ni kwamba ''HUNA ADABU''