Amnaga iyo bhana ila cjui ila cyo vema kumtukana mwanamke wanaume hawatukanag wananyamazaga tuu
lazima kuwe kuna limit....akivuka mipaka unampa kali kama alivyofanya KAPITEEEEYN...nilikua najiuliza atamvumilia mpaka lini...anamuimba mara ya tatu tena sasa hivi na video juu