Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa wanaweza kukusababishia kesi.
kaka kuna mmoja aliwahi kunifanyia hiki kitendo alikuwa mtu mzima nilishuka nakamfuata nilimwambia maneno ya busara kidogo machozi yamtoke na alikuwa na mwanamke.sidhani kama atarudia.Yaani unakuta mtu katoka huko alikotoka ametanua akimwona trafiki anataka kupenya kwa lazima kwenye line, ukimbania anakunyoshea dole la kati!
Wenyewe nao wana haraka kama wa Bodaboda na daladalaDuh....mi nilifikiri hawa ni wastaarabu sana.
Mihawanikeri kwasababu sijamiliki mkoko[emoji13] [emoji13]
Alafu hawanikeri kwasababu Misio wa Dar, naishi kijijini kwa raha zangu namiliki swala[emoji605]