Wanaonikera Barabarani

Wanaonikera Barabarani

Mihawanikeri kwasababu sijamiliki mkoko[emoji13] [emoji13]
Alafu hawanikeri kwasababu Misio wa Dar, naishi kijijini kwa raha zangu namiliki swala[emoji605]
Subiri siku wakikupiga mzinga ndio utajua kuwa hawa sio kero kwa madereva tu, ni kila mtumiaji barabara.
 
wapiga honi ovyo! mtu yuko mbele yako, 20m kabla ya kona aweka indicator kua anakata kushoto, akafika kona akapunguza spidi ili akate kona we unampigia honi..
nonsense. yani honi zinapigwa kwenye kila kitu.
 
Subiri siku wakikupiga mzinga ndio utajua kuwa hawa sio kero kwa madereva tu, ni kila mtumiaji barabara.
Huku kwetu hawatukamati sisi wenye kumiliki Phoenix [emoji605]
Labda wa huko Dar...[emoji13]
 
wapiga honi ovyo! mtu yuko mbele yako, 20m kabla ya kona aweka indicator kua anakata kushoto, akafika kona akapunguza spidi ili akate kona we unampigia honi..
nonsense. yani honi zinapigwa kwenye kila kitu.
Duh kuna watu wanakera na honi. Taa ikiruhusu tu mtu yuko gari ya saba kashapiga honi!
 
Kuna waendesha bajaj ambao wengi wanatumia ulemavu wao kuonyesha ubabe barabarani
Wanavunja sheria kwa kutumia kigezo cha ulemavu kuwa utawaonea huruma
 
kaka kuna mmoja aliwahi kunifanyia hiki kitendo alikuwa mtu mzima nilishuka nakamfuata nilimwambia maneno ya busara kidogo machozi yamtoke na alikuwa na mwanamke.sidhani kama atarudia.
Ulimwambiaje
 
Bodaboda watakufurahisha zaidi kwenye kuongeza mafuta, wanapenya hawapangi foleni. Sasa ukute aliyesimamia pump ni mdada wanayemjua, akiwaambia wasogee wanampiga majungu wengine wanamtekenya tekenya anakupotezea yani vurugu tu
 
Kuna watu wananikera sana barabarani kwa matendo na maneno yao. Na hao ni kama ifuatavyo
1.Askari wa Usalama barabarani(baadhi)
2.Waendesha bodaboda
3.Madereva wa daladala
4.
5.
6.
7.........Ongeza wewe ili turekebishane!!!
Wanaoendesha wakiwa wamewasha full lights wakati wote usiku!
 
Bodaboda watakufurahisha zaidi kwenye kuongeza mafuta, wanapenya hawapangi foleni. Sasa ukute aliyesimamia pump ni mdada wanayemjua, akiwaambia wasogee wanampiga majungu wengine wanamtekenya tekenya anakupotezea yani vurugu tu
Bahati nzuri huwa wanaweka buku mbili,tatu
 
wasiojua matumizi sahihi ya taa haswa usiku...sijui kwann trafic huwa hawashuguliki na hawa kwakweli..WANANIKIKERA MNO!
 
Mkuu mi sihusiki na abiria kwanza sisimami hivyo hovyo na siruhusiwi!!
 
Mkuu hao nilioweka namba moja wananikera kukomoa(baadhi yao lakini).....bodaboda na daladala kweli hujui kwanini?!!
Dizain Mkuu mie naona Kama unaubinafsi flan barabarani kwa sababu hata kama kisheria inasemwa wazi tuwasaidie driver wa daladala kumbuka yule ni ile gari ni ya biashara bodaboda,baiskeli,watembea kwa miguu na nk tuwalinde barabarani sasa wewe Mkuu ndio unawachukia dizain Kama sikusomi
 
Back
Top Bottom