Wanaonikera Barabarani

Wanaonikera Barabarani

Daa!! Poleni sana asee kumbe huwa mnateswa hivyo!!
Sio kwamba wanateswa wao roho zao mbaya barabara huwa haigombaniwi Kila mtu atafika aendapo shida ni kwamba kuna watu akiwa na gari anajiweka katika level flan halafu kumbuka kuwa hawa watu wa daladala na Pikipiki huwa wapo Fair sana barabarani ukimuomba upite akuachia nafasi halafu wewe akikuomba ukabana yeye anaambua kukuzingua unavyokasirika yeye burudaaaani
 
Duu asee mimi hua sirembagi huavnawashukia sana hadi wanananza kuomba poo wenyewe
 
Wanaotupa vitu dilishani wakati gari inatembea, akitupa chupa ya maji iliyofungwa vizur lazma ilete balaa hasa kwa pikipiki, ama akalusha kitu kigumu kikapasua kioo cha gari ya nyuma
 
hahaha...bodaboda wananchekeshaga sana...hasa wakati wanakimbizwa na traffic.....kama vita yani
 
Dizain Mkuu mie naona Kama unaubinafsi flan barabarani kwa sababu hata kama kisheria inasemwa wazi tuwasaidie driver wa daladala kumbuka yule ni ile gari ni ya biashara bodaboda,baiskeli,watembea kwa miguu na nk tuwalinde barabarani sasa wewe Mkuu ndio unawachukia dizain Kama sikusomi
Gari kuwa ya biashara haihalalishi wao kuvunja sheria. Unakuta mpo kwenye foleni anatanua kushoto na akiona askari ndio analazimisha kuchomekea. Kuna lanes za masaa kama zile za kuanzia Uwanja wa ndege hadi Gongo la Mboto, unakuta ni asubuhi hivyo lane 2 zinaenda mjini na moja inarudi Gomz ila maajabu yake unakuta daladala amekaa central lane ambayo kwa muda huo inaenda mjini na anakomaa kwa honi na mwendo hatarishi. Wameshasababisha ajali kibao kwa huo mtindo. Bado wanahitaji huruma hao watu?
Haya unakuta bodaboda na left overtake kwenye narrow roads, ikitokea dharura kwamba ujibane zaidi kushoto unamkuta yeye. Bado sisi ni wabinafsi??
Hao hao boda walishawahinisababishia ajali na haraka zao. Tulikuwa tunapishana na mara ghfla akakunja kona kuja upande wangu wa kulia lakini pia pikipiki ikatereza akaanguka. Ilikuwa ni high way maeneo ya Majumba sita Ukonga. Kitendo cha mie kufunga breki za ghafla kumnusuru gari lilokuwa nyuma yangu pamoja na jitihada zake za breki bado akaja kunigonga gari langu kwa nyuma.
Hapo Boda boda ingekuwa amri yangu ningewaondoa mjini.
Hapo hakuna ubinafsi mkuu ila ni ukweli mtupu. Sheria haina exemption na ni lazima kila mmoja afuate bila kuangalia mazingira
 
Gari kuwa ya biashara haihalalishi wao kuvunja sheria. Unakuta mpo kwenye foleni anatanua kushoto na akiona askari ndio analazimisha kuchomekea. Kuna lanes za masaa kama zile za kuanzia Uwanja wa ndege hadi Gongo la Mboto, unakuta ni asubuhi hivyo lane 2 zinaenda mjini na moja inarudi Gomz ila maajabu yake unakuta daladala amekaa central lane ambayo kwa muda huo inaenda mjini na anakomaa kwa honi na mwendo hatarishi. Wameshasababisha ajali kibao kwa huo mtindo. Bado wanahitaji huruma hao watu?
Haya unakuta bodaboda na left overtake kwenye narrow roads, ikitokea dharura kwamba ujibane zaidi kushoto unamkuta yeye. Bado sisi ni wabinafsi??
Hao hao boda walishawahinisababishia ajali na haraka zao. Tulikuwa tunapishana na mara ghfla akakunja kona kuja upande wangu wa kulia lakini pia pikipiki ikatereza akaanguka. Ilikuwa ni high way maeneo ya Majumba sita Ukonga. Kitendo cha mie kufunga breki za ghafla kumnusuru gari lilokuwa nyuma yangu pamoja na jitihada zake za breki bado akaja kunigonga gari langu kwa nyuma.
Hapo Boda boda ingekuwa amri yangu ningewaondoa mjini.
Hapo hakuna ubinafsi mkuu ila ni ukweli mtupu. Sheria haina exemption na ni lazima kila mmoja afuate bila kuangalia mazingira
Mkuu huyo mtu wala sikuona umuhimu wa kumjibu.
 
Dala dala unawakuta wamesimama katikati ya barabsra ilhali kituo kipo na kitupu, hawaingii kituoni, halafu mtu anatoka alipotoka anazungumzia ubinafsi. Bodaboda wala sipotezi muda kuwazungumzia kila mtu anajua balaa za hawa watu
 
kaka kuna mmoja aliwahi kunifanyia hiki kitendo alikuwa mtu mzima nilishuka nakamfuata nilimwambia maneno ya busara kidogo machozi yamtoke na alikuwa na mwanamke.sidhani kama atarudia.
Itakua huko dar wanaume wa huko wana machozi ya karibu, Arusha huku ukiifata njemba inaeza kushushia kipigo cha mbwa mwizi eti
 
Watembea kwa miguu wanaovuka baada ya taa kuruhusu magari na kusimamaisha waenda kwa miguu
 
Back
Top Bottom