Hakuna ubaya,ukijivunia ofisi unayofanya kazi,itangaze tu maana ndio insyokuweka mjini.
Ninapopata lunch,huwa nakutana na jamaa wa MDH,BBC,VODA,hizo Swaga zao,utacheka mwenyewe,wanatembea "with entitlement "kwamba maisha wao wameyapatia,wengine wote mafala.
Kuna wakati huwa najiuliza,hivi tukinyanganywa hizi ajira, tunabaki na nini?na vijana waliotusua maisha Kama Diamond,Ali kiba,bila kupitia mfumo Kama wetu,soma kuanzia primary mpaka chuo kikuu,pata degree,tafuta ajira,wakituangaria,wanatuonsje?,,nani mbabe hapa?
Wadogo zangu tumieni ajira kutafuta financial freedom.