Wanaoning'iniza vitambulisho vya kazi nje ya ofisi zao huwa wanamaanisha nini?

Wanaoning'iniza vitambulisho vya kazi nje ya ofisi zao huwa wanamaanisha nini?

Sasa kuvaa wavae wao we uone n ushamba, daaah kumbe inawauma eeh, kwan inawakeraaa!???
 
Tukining'iniza funguo za Passo zetu mnaumia, tukining'iniza vitambulisho vya kazi mnaumia.
Hivi nyie watu hamna kazi ya kufanya?

Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23] kiukweli siwezi nikaumia roho kwa vitu kama hivi. Kwanini nijitese kwa mambo ya watu. Vaeni kila mahali na ning'inizeni kadiri ya uwezo wenu
 
Na wale wafanyakazi wanaovaa sare kazini(mfano bank, mawakala wa mitandao ya simu(wasajili line)) nao wasivae tisheti ama sare za kazini?
 
Na wale wafanyakazi wanaovaa sare kazini(mfano bank, mawakala wa mitandao ya simu(wasajili line)) nao wasivae tisheti ama sare za kazini?
Kama vyuo vikubwa wana sare kama suti, tshirt na mashati kulingana na siku.
Hii inasaidia kupata huduma haraka ndani ya eneo la kazi.
Sioni tatizo kwenye ID kwa sababu ndio utaratibu wa ofisi husika
 
acha majungu
kazi ya kitambulisho ni kumtambulisha mtu(sio anapofanyia kazi tu) hata kwingine
ndo maana anakivaa
acha majungu bhana😁😁😁
 
Wananing'iniza vitambulisho au "name tags" ili wapate mademu kirahisi.

Umesahau na wale wajeshi au polisi wanaoweka makoti yao ya kazi nyuma ya kiti cha dereva.

Au wewengine huweka kofia zao pale kwenye kioo cha gari zao binafsi.
 
Wengine ni kujisahau tu............. Namkumbuka mhadhiri mmoja wa chuo flani hivi aligombana Bar na muhudumu akibishia bill, yule Mhudumu akamwambia Mwalimu mzima tena wa Chuo unabishia bili ndogo kama hii.......... jamaa akawa mdogo akalipa kisha akamwuliza yule Mhudumu kama wanafahamiana (Amejuaje kama ni mwalimu wa Chuo). Mhudumu akamgusa kitambulisho kifuani. Jamaa akacheka sana na kujiona bwege - toka siku hiyo anavua hata kabla hajafunga mlango wa ofisi yake.
 
Wengine ni kujisahau tu............. Namkumbuka mhadhiri mmoja wa chuo flani hivi aligombana Bar na muhudumu akibishia bill, yule Mhudumu akamwambia Mwalimu mzima tena wa Chuo unabishia bili ndogo kama hii.......... jamaa akawa mdogo akalipa kisha akamwuliza yule Mhudumu kama wanafahamiana (Amejuaje kama ni mwalimu wa Chuo). Mhudumu akamgusa kitambulisho kifuani. Jamaa akacheka sana na kujiona bwege - toka siku hiyo anavua hata kabla hajafunga mlango wa ofisi yake.
Asavali kaumbuliwa.
 
Huwa nashindwa kuwaelewa jamaa ambao huwa wanatoka mazingira ya ofisi zao wakiwa bado wamening'iniza vitambulisho vyao.

Yaani utawakuta mtaani wanatembea navyo hata huko migahawani bado wanavyo tu.

Huwa inakua ni mikwara tu.

Au ni Usongo baada ya kusota mtaani Bila ajira kwa muda mrefu

Ama ni jambo la kawaida tu.
Waulize wao,sisi tutajuaje wakati hatuning'inizi vitambulisho nje ya ofisi.
 
Jamaa zangu wa tra huwa hawataki kujulikana kabisa kuwa wako tra sijui kwa nini?
 
Back
Top Bottom