Itakuwa bado yupo bhn.... Siyo poaa kabisaHauleweki.Mbona haulezei mambo.Unaandika tu siyo poa siyo poa.Ndiyo nini sasa?Au upo Milembe?
Itakuwa bado hajapona mkuu.Hauleweki.Mbona haulezei mambo.Unaandika tu siyo poa siyo poa.Ndiyo nini sasa?Au upo Milembe?
Kwa hiyo mkuu ulitegemea atayakumbuka Maisha aliyoishi Mirembe?π π πHauleweki.Mbona haulezei mambo.Unaandika tu siyo poa siyo poa.Ndiyo nini sasa?Au upo Milembe?
Atakuwa amelala juu ya ng'ongo/jabali anasema siyo poa.wakurudishe hukohuko maana bado hueleweki sio poa yani
Mbona ameeleza kuwa ametoroka?ππItakuwa bado yupo bhn.... Siyo poaa kabisa
Ndiyo ili tukumbuke alivyokuwa kichaa!Kwa hiyo mkuu ulitegemea atayakumbuka Maisha aliyoishi Mirembe?π π π
Kwa hiyo katoroka dozi?HajaponaMbona ameeleza kuwa ametoroka?ππ
Kwanza jua kuwa huyo bado ni kichaa ametoroka na yupo uraiani kimakosa anawezaje kukumbuka wakati dishi bado lipo loose?Ndiyo ili tukumbuke alivyokuwa kichaa!
Hukumaliza matibabu?π€£Maisha ya mirembe sio poa kabisa yaani ukiona ndugu yako au mwanao a aende mirembe jaribu kumuombea ama hakika maisha ya kule si poa mtu wangu yaani sio poa unaelewa sio poa? Yaani maisha ya kule ni kama jela but mtu unajaribu kijizima data tu ila sio poa...
Yani zimekuwa nyingi kuliko kujitetea.Mtoa mada umepagawa sio poa yani
Huyo alikua kwenye matibabu ila kwa kuwa network hazisomi yeye anajua alikua anafanya utafitiππKwa hiyo katoroka dozi?Hajapona