Wanaopelekwa Mirembe wanahitaji faraja sana

Wanaopelekwa Mirembe wanahitaji faraja sana

Maisha ya Mirembe sio poa kabisa yaani ukiona ndugu yako au mwanao a aende mirembe jaribu kumuombea ama hakika maisha ya kule si poa mtu wangu yaani sio poa unaelewa sio poa? Yaani maisha ya kule ni kama jela but mtu unajaribu kijizima data tu ila sio poa.

Nilienda mirembe kufanya utafiti mmoja so in order vitu vingi kuhusu you have to join with them yaani niliyaona kule sio poa na end of time sikumaliza utafiti wangu kule nikachomoka ila kiukweli watu wa kule wanahitaji faraja sana na upendo! Mental problems is real wala sio poa kabisa.
Sawa mama mia
 
Hahahaaa. Mleta uzi mie nimekaelewa ako kaparagraph ka kwanza tu. 😂😂😂
 
Wenye majalada pale wanakuangalia na kukucheka kwa dharau
 
Hivi ni nani huyo aliyeharibu jina zuri la mabinti wa kisukuma Mirembe kulipeka hospital ya mirembe
 



Mwamba huyu hapa
 
Kuna mwanetu mmoja tulimpeleka huko daily alikuwa anachezea kisago
Kutoka kwa wenzake,alikuwa anajifanya chizi huko alikutana na machizi zaidi yake

Ova
 
Andika vizuri basi ueleze kwa kinaga ubaga au na wewe ushapata mental problem...! 😛
 
Back
Top Bottom