unazurula ktkt ya poli ww anaesamehe Dhambi ni YESU pekee hakuna mwanadamu mwenye uwezo huo TANGU kuumbwa kwa Dunia mpaka leoWaweza nionesha alipokatazwa....
Mimi naona wote mpo sahihi, kuungama kwa padri kupo, lakini siyo lazima.
Unajua, kuungama kwa padri ilikuwa hivi, unaenda kwa padri na kutaja dhambi zako zote ukimaliza yeye huingia mahali patakatifu yaani nyuma ya pazia na kusali kwa niaba yako na kukuombea.
Yesu alipokata roho, pazia lilipasuka katikati, ikimaanisha, swala la kusema lazima uende kutubu na kuombewa na padri nyuma ya pazia hakuna ulazima huo tena.
Yeye atakusikia popote ulipo. Ukitaka kwenda kwa padri nenda hujakatazwa, lakini siyo lazima kama ilivyokuwa kabla ya yeye kusulubiwa, kufa na kufufuka kwa ajili yetu.
Hizo kelele nyingine mnazopiga ni kutokujua tu.
Mpatanishi kati ya Mungu na mwanadamu ni mmoja, naye ni Yesu kristo si mtume wala nabii. Hivyo mwanadamu ukimkosea Mungu mwenye uwezo wa kukupatanisha wewe na Mungu ni mmoja tu.
1tim 2:5
Mpatanishi kati ya Mungu na mwanadamu ni mmoja, naye ni Yesu kristo si mtume wala nabii. Hivyo mwanadamu ukimkosea Mungu mwenye uwezo wa kukupatanisha wewe na Mungu ni mmoja tu.
1tim 2:5
Bado hujajibu swali nililokuuliza...unazurula ktkt ya poli ww anaesamehe Dhambi ni YESU pekee hakuna mwanadamu mwenye uwezo huo TANGU kuumbwa kwa Dunia mpaka leo
kuhani wetu alie baki ni yesu kristo tu anaetuombea kila wakati
ukinanmbia mapadiri ni makuhani unajidanganya mwenyewe ................husamehe dhambi basi jua kama ulienda kuwapigia magoti wakusamehe umebugi nenda piga mwenyewe magoti omba toba kwa MUNGU peke yako
Sasa unataka andiko gani tena au huelewi? Anayepatanisha wanadamu na Mungu ni mmoja tu naye ni Yesu kristo na andiko nimekuwekea hapo. Hakuna mwingine anayepaswa kupatanisha wanadamu na Mungu zaidi ya huyo mmoja aliyetajwa hapo.Nimekuuliza waweza nionesha palipokatazwa...??? Au lugha inakuwa ngumu....??
Pitia hapaSasa unataka andiko gani tena au huelewi? Anayepatanisha wanadamu na Mungu ni mmoja tu naye ni Yesu kristo na andiko nimekuwekea hapo. Hakuna mwingine anayepaswa kupatanisha wanadamu na Mungu zaidi ya huyo mmoja aliyetajwa hapo.
Toa andiko linalosema padre anatupatanisha sisi wanadamu na Mungu pale tunapokosea
Sent using Jamii Forums mobile app
Nataka andiko la kukanusha kwamba ni marufuku mapadre(Makuhani) kuwaondokea watu dhambi ..Sasa unataka andiko gani tena au huelewi?
Naona unakaza ubongo mda wote unajinasibu kwamba hatutumii elimu zetu na wewe umeshindwa kuelewa hapo? Neno hilo limekua gumu kwako kulielewa? Neno kusema kwamba anayepatanisha kati ya mwanadamu na Mungu ni mmoja naye ni Yesu, huelewi kwamba akijitokea kiumbe mwingine kupatanisha huo upatanisho utakua ni batili? Au bado huelewi. Ukibeba imani tumia akili.Nataka andiko la kukanusha kwamba ni marufuku mapadre(Makuhani) kuwaondokea watu dhambi ..
Unasema "Leo hatuna haja ya kuungama kwa Padre kwa sababu tunaye Yesu Kristo kuhani mkuu na mwombezi"Nitaipinga hoja yako mkuu kupitia kipengele chako cha mada chenye maneno "Historia ya maungamo ya dhambi katika agano la kale"
Nianze kwa kukupa history kidogo. Mara baada ya anguko la Adamu na Hawa pale Eden Mungu alikuwa ameshaanda mpango wa wokovu wa Mwanadamu ndiyo maana utaona kuna mnyama alichinjwa pale ili wapate nguo za kuficha uchi wao lkn halikuwa lengo hasa Ila alichinjwa ili awe mbadala wao kwa dhambi walizotenda ndiyo maana hawakufa kama sheria isemavyo ya mshahara wa dhambi ni mauti.
Kutokea hapo utaona ibada za kafara kupitia wanyama zikianza kwa kila aliyekuwa akitenda dhambi na hata habari ya ukuhani pia baadaye hema ya kukutania ilipoanzishwa katika kitabu cha kutoka 25 agizo la ujenzi wa hema hiyo lilipotolewa.
Katika ujenzi ule Mungu anamwambia musa kuwa hema ile itakuwa mfano wa ile ya mbinguni kwa hiyo note hata mbinguni kuna huduma ya upatanisho kupitia kuhani
Turudi kwa mada hema ya kukutania Ilikuwa na sehemu kuu tatu uwa wa nje, patakatifu na patakatifu pa patakatifu ambapo ktk uwa wa nje ndiyo sadaka za kuteketezwa zilipotolewa ambapo mdhambi alitwaa kondoo kama mbadala wake na kwenda naye kwa kuhani ambaye aliact kama mpatanishi baina ya mwanadamu mdhambi na Mungu ambapo aliungama dhambi zake kwa kuweka mikono yake juu ya kichwa cha kondoo kama namna ya kuhamisha dhambi kutoka kwake kwenda kwa kondoo kisha alimchinja na kuhani kukinga damu na kuingia nayo kwenye chumba cha pili cha patakatifu kwa ajili ya kufanya upatanisho wakati kondoo akiteketezwa katika ua wa nje huu ndiyo ulikuwa utaratibu wa wokovu ulioandaliwa na Mungu kabla ya Kristo kuja duniani
Baada ya Kristo na kufa kama mwanakondoo wa Mungu aichukuaye dhambi ya ulimwengu yohana 1:29 na kufa pale msalabani habari za kwenda kuungama kwa kuhani zilikoma au huduma za kikuhani na utoaji kafara ulikwisha maana huduma ile ilikuwa kivuli kumuwakilisha Kristo na sasa Kristo ameshakuja hakuna haja tena kwenda kwa mwanadamu kuungama wakati Kristo yupo
Kwa hiyo hoja yako ya kuungama kwa padri ni kutaka kuturudisha kwa huduma ya kikuhani ya mwanadamu ambayo ni hatari sana maana unapinga kwamba Kristo bado hajafa kwa ajili ya dhambi na wewe unageuka kuwa mpinga Kristo
Leo hatuna haja ya kuungama kwa mwanadamu tena maana tunaye Kristo mwombezi wetu kuhani asiyepatikana na mauti anayehudumu ktk hekalu lisilofanywa kwa mikono ya mwanadamu huyo pekee astahili kutuombea msamaha kwa Mungu Baba na si mwingine yoyote
Biblia ndio katiba yetu Wakristo....Naona unakaza ubongo mda wote unajinasibu kwamba hatutumii elimu zetu na wewe umeshindwa kuelewa hapo?
Kama wewe ulivyoshindwa kuitumia akili yako kuelewa mantiki ya mleta uzi sio...???Ukibeba imani tumia akili.
Ungesoma uzi wote ungeona majibu yapo....Swali alilouliza majibu yake yapo hapo mwanzo..Wakatoliki mkinipa andiko lolote kwenye Biblia linalosema kwamba padri ana mamlaka ya kusamehe dhambi Nampa 1M cash
Padre kuwa mdhambi hakumuondolei mamlaka yake ya kuondolea dhambiHuwezi kuniambia padri ambaye ni mdhambi kama mimi aje amsamehe dhambi zangu The Holy Bible says for all have sinned and fallen short of the glory of God.
Biblical verification yoyote that's what I demand nimesoma sijaona biblical proofUngesoma uzi wote ungeona majibu yapo....Swali alilouliza majibu yake yapo hapo mwanzo..
Au ndio unataka kututhibitishia msemo wetu pendea kuwa kuwa ukitaka kumificha mwafrika mwekee kitu kwenye maandishi...???
Kaa chini tulia soma Post yote kwa umakini
Kweli...??? Au umeamua kujitoa ufahamu ...Naona umeandika makala ndeeefu isiyo na Bible proof hata moja
Samahani mkuu Am a theologian by the way Siku zote naamini katika maandikoPadre kuwa mdhambi hakumuondolei mamlaka yake ya kuondolea dhambi
..
Unamaanisha nini unaposema " biblical verification"?Hakuna
Biblical verification yoyote that's what I demand nimesoma sijaona biblical proof