SANCTUS ANACLETUS
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,338
- 4,676
- Thread starter
- #121
Katika paragraph ya mwisho hapo umesema wamepewa mamlaka ya kuamua kwamba wasamehe dhambi au wasisamehe na wasiposamehe basi hizo dhambi hazitasamehewa, ambatanisha ni kifungu cha maandiko ili usiongee maneno matupu kudhibitisha hoja yako. Toa kifungu katika biblia kinachosema msipowasamehe hawasamehewi.
1. Umesoma mada nzima na hujaona hicho kifungu husika?
2. Kuyaelewa maandiko matakatifu hakuko katika kunukuliwa kwake tu.Ingalikuwa mambo yako hivyo, basi William Miller asingaliiletea Dunia maangamizi kwa kunukuu kifungu toka aya ya Ufunuo wa Yohana na kuitafisri kwamba siku 2300 zilimaanisha miaka 2300 ambayo ingaliishia mwaka 1843/1844 ambapo yeye wafuasi wake wangalimshuhudia Yesu akishuka duniani.