Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Hakuna Kitu katika sheria ya ;kiislam kuwa eti mume akimua cha mke Talaka mbili au Tatu Au sita au kumi kuwa eti asiolewe tena MtuNiliona ndugu yangu alivyonyanyaswa na hao hao viongozi wetu pale mumewe alipompa talaka 2 za kumkomoa kusudi tu asiolewe tena.?
kwa jinsi ulivyoelezea talaka 2 kuwa zinazuia mtu asiolewe aidha wewe hujui chochote au ni mnafiki ! Maana ya talaka ni kuachana! Sasa iweje mtu kaachwa halafu umzuie asiolewe!? Umapata wapi hiyo authorite? Hapo ni rukhsa kwa raha zake. Angempa talaka 3 ndo haruhusiwi hata kumrudi (huyo alieacha), dada jipange tena ! Hivi inakuaje mtu kapewa talaka halafu mwende mahakamani kuvunja ndoa ? Haiingi akilini kabisa!Najaribu kufuata majadiliano.Pamoja na mimi kuwa ndani ya imani inayodai mahakama ya Kadhi, mwenzenu sioni kama tuko wengi tunaoona faida yake kwa sababu hatufuati hata hizo sharia zenyewe zinavyotaka.Mi staki nikose uhuru wa kuchagua nataka kutumia utaratibu gani kuamua mambo yangu.Niliona ndugu yangu alivyonyanyaswa na hao hao viongozi wetu pale mumewe alipompa talaka 2 za kumkomoa kusudi tu asiolewe tena.Ilibidi tumwekee lawyer, akapeleka kesi mahakamani na huko akapata haki yake.Ndoa ikavunjwa kiserikali.Akawa huru kuishi maisha yake.Spati picha kama ndo Kadhi kaamua na uamuzi ukawa mwisho.Angeliaje?
Hakuna Kitu katika sheria ya ;kiislam kuwa eti mume akimua cha mke Talaka mbili au Tatu Au sita au kumi kuwa eti asiolewe tena Mtu
mwengine Hicho kitu hakuna katika sheria ya kiislam umekipata hebu tuonyeshe wapi umekipata? Waachieni Waislam Wanaotaka mahakam ya Kadhi wakristo haiwahusu hiyo Mahakama ta Kadhi.
Tunataka ihudumiwe na kodi zetu, na pia Mahakim(Kadhi) wawe na nguvu za kukaza sheria/hukumu kupitia vyombo vya dola (mfano; kumwita mtu Makamani au kukamatwa au kuzuia-injunction nk)Afadhali wewe umejua kuwa haituhusu, sasa waambie na wenzio kuwa haituhusu kwa hiyo ni jukumu lenu kuianzisha na kuihudumia.
Hivi kanisa linaweza kuzuia au kukamata mali ya muumini wake katika dispute kama wanavyofanya Madalali wa Mahakama ?Hapana, sicho ulichosema. Ulidai kwamba madhehebu mengine ya dini yanaweza ku enforce sheria zao bila kusaidiwa na serikali. Ukaulizwa, how?
Wataliki wa ndoa wakigombania mali, kwa mfano, mahakama ya kanisa au ya msikiti ikiamuru mali za ex-husband ziwe seized apewe ex-wife na watoto, kanisa lita enforce vipi hiyo amri? Unaweza kujibu hicho kitu au ulijitamkia tamkia tu?
Well, alichosema WoS ndio kituko kikubwa zaidi. Kasema enforcement ya hukumu ni kutengwa na kanisa. I mean, I can't help it but this is totally preposterous.
WoS, tumepelekana kwenye kesi ya talaka mahakama ya kanisa, ikaamuliwa wewe upewe custody ya watoto na nikulipe mahela, nikakaidi, mnanihukumu kutengwa na kanisa! Kwanza after all that melodrama kanisani kwenyewe I don't wanna see your face or your big belly, ukinifukuza kanisani umeninyima kunde. Kwa hiyo wataniruhusu niondoke na custody ya watoto na however many thousands or milions nilizohukumiwa nimlipe ex-wife. Naenda usharika mwingine huku naimba Bwana Asifiwe! I mean this is amazingly ridiculous. hahahahahaahaha.... Mahakama gani haiwezi ku enforce maamuzi yake?
Hivi kanisa linaweza kuzuia au kukamata mali ya muumini wake katika dispute kama wanavyofanya Madalali wa Mahakama ?
Tunataka ihudumiwe na kodi zetu, na pia Mahakim(Kadhi) wawe na nguvu za kukaza sheria/hukumu kupitia vyombo vya dola (mfano; kumwita mtu Makamani au kukamatwa au kuzuia-injunction nk)
Kuna haja gani ya kutoa hukumu isiyofanya kazi ? Hapo hamna mahakama wala hukumu tukio zima halina maana , null and void, Hizo ni jokes tuu!Hii ndio tofauti ya dini yetu na dini yenu. Umeonesha ni jinsi gani imani yenu ilivyo ya kulazimishana. Kwetu sisi kutengwa na kanisa ni ishu kubwa kuliko custody ya watoto na hela. Na kwenda usharika mwingine ni kituko kwa kuwa utakuwa umemdanganya nani, Mungu? Elewa kuwa Mungu wetu ni mwenye nguvu kwa hiyo hatuhitaji mahakama kumsaidia kufanya kazi zake. Haya tunayofanya hapa duniani ni kupeana mwongozo wa namna gani tuishi kwa kumpendeza Mungu.
Kama mungu wako amekuwa dhaifu kama mamlaka za dunia kiasi inalazimu kutumia nguvu kuwalazimisha watu kufanya mambo ya kiimani kwa mabavu basi ni suala la kujitazama upya. Hebu fikiri kwa haki halafu jijibu wewe mwenyewe: Kama uislamu unasema A,B,C hiyo inamaanisha kuwa waislamu wanatakiwa wafanye ABC. Sasa ikiwa mtu hayuko tayari kufanya ABC kuna maana gani zaidi ya kuwa hana haja na uislamu wenyewe? (Hapo ndio mnapoanza kulazimishana kwa mahakama na majambia na mawe mpk kufa)
Nazile zinazochangia taasisi za kanisa (MoU) ? Wagalatia kwa choyo? Na fitna itaanzia hapo!Kodi ni za wote sio za waislamu. Kama mna kodi zenu binafsi basi kuweni huru kuzitumia kulazimishana imani. Ila hizi tunazochanga kwa pamoja ni kwa maendeleo ya nchi na sio za kuundia vyombo vya kuwalazimisha watu kufunga ramadhani, kutoa talaka, kugawa mali ya marehemu kwa kaka zake as if mjane hajui cha kufanyia nazo n.k
Kazi ya kodi za nchi ni kuleta maendeleo ya JAMII na sio dini. Kuhusu kupewa nguvu ya kisheria nafikiri hilo limeruhusiwa as far as msijihusishe na kesi za jinai mkaanza kukata watu mikono. Na amin nakwambia, hiyo mahakama hata itakapokuja kuanzishwa, itaongeza wingi wa kesi ktk mahakama za rufaa.
Umejibu vyema 'haliwezi' sasa sisi Waislaam tunataka Mahakama hiyo iwe na uwezo wa kukamata ghorofa pale Kariakoo kama kuna ukiukwaji katika mirathi (dispute) na mwishowe mwenye haki apewe ! Kidogo kidogo mtaelewa tuu!Haliwezi. Labda nikuulize, juu ya nini kanisa litakiwe kukamata mali za mtu?
Kwa vile mnaongozwa na chuki na roho ya kwa nini, kila msilolijua mnaliingiza humu ! Hivi unamlazimishaje mtu kufunga ? Kwamba watawekwa walinzi kukagua kila anaekula ? Ni wazi haliingi akilini ? Lakini mjane akidhulumiwa urithi mpaka haki za binaadam watafungua kesi(Tamwa/NGO's)Acha niliseme hili japo hawatalipenda. Nafikiri huu ni mpango wa watu wachache wenye nia ya kuwaonea wenzao. Nachokiona ni kuwa huu ugawaji wa mali sio reasonable na ndio maana wanajihami. Ni mpango tu wa vidume visivyofanya kazi kuandaa mazingira ya kuwadhulumu wanawake wajane mali za waume zao wanapofariki. Nasema hivi kwa kuwa, kama mtu hataki utaratibu fulani basi imani yake ktk hilo jambo ni zero. Na cha kushangaza, FUNGA (Ramadhan) ni moja ya NGUZO KUU 5 ZA UISLAMU lkn sijaona wakiomba law inforcement kwenye hilo. Kuna nini kwenye mirathi? Kwani mtu akipungukiwa imani anamkosea Mungu au mwanadamu? Imekuwa kazi ya serikali kumsaidia Allah kuwahukumu watu wake kwa kosa la kutofuata mafundisho ya Allah?
Umejibu vyema 'haliwezi' sasa sisi Waislaam tunataka Mahakama hiyo iwe na uwezo wa kukamata ghorofa pale Kariakoo kama kuna ukiukwaji katika mirathi (dispute) na mwishowe mwenye haki apewe ! Kidogo kidogo mtaelewa tuu!
Kwa vile mnaongozwa na chuki na roho ya kwa nini, kila msilolijua mnaliingiza humu ! Hivi unamlazimishaje mtu kufunga ? Kwamba watawekwa walinzi kukagua kila anaekula ? Ni wazi haliingi akilini ? Lakini mjane akidhulumiwa urithi mpaka haki za binaadam watafungua kesi(Tamwa/NGO's)
Kwanini tuwe sawa na wakatoliki!?Nadhani hujanisoma vizuri; nimesema Kanisa Katoliki limekuwa na mahakama zake kwa mamia ya miaka; na Tanzania kanisa lina Mahakama zake (zinaitwa canonical courts). Wakatoliki hawahitaji kuomba serikali kuwatungia au kuwaanzishia mahakama kwani tayari mahakama hizo zipo na zinafanya kazi katika majimbo yote Katoliki. Makanisa mengine nayo yana taratibu zao za kujiamulia mambo yao yanayohusiana na ibada na taratibu zao (nadhani hata Waanglikani nao wanazo mahakama kama hizo). Kama zilivyo mahakama za Kadhi, Mahakama za Kanisa zinahusiana na ibada na maisha ya kiimani ya waumini na haki zao. HIvyo, zinaamua mambo ya sadaka, ndoa na hata utendaji wa kanisa. Padre akivuruga sakrament hapelekwi mahakamani; akiacha kufundisha mafundisho rasmi ya kanisa hashtakiwi Kisutu! Anapelekwa kwenye mahakama ya Kanisa na kanisa likimvua upadre hakuna mahakama Kuu ya nchi inayoweza kuingilia kati.
Hapa ndio hoja ilipo - kwanini Waislamu nao wasianzishe mahakama zao? Jibu ni rahiisi - kwa sababu hawana chombo kimoja cha kusimamia maslahi yao. Hakuna chombo kinachoweza kusema kinawakilisha "maslahi ya Waislamu wote". Na kutokana na hilo wanataka kutumia serikali kama mahali pa kusimamia. Kama wangekuwa na chombo kimoja wangeweza kuanzisha mahakama zao. Sasa kushindwa kwao kuwa na umoja si kosa la serikali au Wakristu; ni kosa la viongozi wa Kiislamu kuweza kuunda chombo kimoja.
Wewe sasa hivi wanafanyiwa hivyo kwa sababu sheria hizo mbalimbali zimeingizwa katika sheria za nchi na ni sehemu ya sheria za nchi na mahakamu wetu wanafuata sheria hizo za nchi. Kusema kuwa hawana ujuzi nao si kweli wapo watu wanajifunza mambo hayo na wanafuata mashauri mbalimbali ya Waislamu. Sasa mkiamua kuwa hawataki ziwe sehemu ya sheria za nchi kama ilivyo sasa ni sawa na kuamua kuwa wanataka wawe na za kwao.. well.. hawawezi kula keki na kutaka kubaki nayo!
Kwanini Waislamu wasiunde chombo chao cha kuunda mahakama ya kadhi na wale wanaotaka kukatwa mishahara yao kuchangia hilo; hawawezi kutaka kulipiwa na kodi ya Watanznaia wote halafu mahakama ziwahudumie wao peke yao.
Ooh no, serikali haitakiwi kutoa ibada kwa wananchi wote na mahakama ya kadhi ni ibada! Ndio maana kanisa halihudumii mahakama za kanisa kwani haziwahusu Watu wengine. Wakatoliki wanahudumia mahakama zao kama sehemu ya ibada na dini yao kwanini kwa Waislamu iwe tofauti?
Nazile zinazochangia taasisi za kanisa (MoU) ? Wagalatia kwa choyo? Na fitna itaanzia hapo!
Kwanini tuwe sawa na wakatoliki!?
Ni kwa sababu hiyo ya wakristo sio mahakama ni baraza la usuluhishi ! Sie tunataka mahakama yenye nguvu (authority) na hukumu zake zinatekelezwa sawia ! Hatutaki yetu ifanane na yenu ! Sie hatuongozwi na maoni ya watu, bali na QURAN !Nilimaanisha kanisa halina interest na mali za watu. Kama ugawaji unatakiwa kufanywa kwa misingi ya imani, basi kwetu sisi imani si maguvu na kushurutishana.
Uislaam haufuati maoni wala maelezo ya mtu ! Haya mambo yote ya refence tunafuata (Quran) hivyo wewe huna expertise yeyote ya kufanisha hili wala lile ! Dhulma ni dhambi kama kuabudu msalaba!Kumbe unajua kuwa kufunga ni imani ya mtu kwa kuwa ni ibada. Basi ndio maana nikakwambia kuwa hata mirathi km unaamini ni quran ndio imesema hivyo basi na ifuatwe kwa imani ya mtu bila shurti. Kama ambavyo unaona ni kichekesho kumlazimisha mtu kufunga, ndio hivyo huwezi kumlazimisha mtu kugawa mali yake kwa kaka na shangazi zake wkt yeye alitaka irithiwe na mke na watoto wake.
kwanini gharama uhukumu wewe ? Kwani hela zako peke yako ? Naomba usiku na mchana nife hali yakuwa nimejisalimisha ! Na Allah aninusuru na masanamu !Well then, if you want to be exceptional kuwa kwa gharama zako, we vipi bana!
Na nakuhakikishia huwezi kuwa kama mkatoliki kwa kuwa umezoea kushurutishwa.