Wanaopinga Mkataba kati ya DP World na Serikali wanaeleweka zaidi kuliko wale wanaouunga mkono

Tunahitaji hivyo vipengele vyenye dosari binafsi nimeusoma mkataba sijaona shida.

Watanzania wengi ni wavivu kusoma na wepesi kuamini.Huwezi taka wananchi wapige kura kwenye jambo linalohitaji taaluma bahat mbaya wenye taaluma hawakai kweny nafasi zao.

Wananchi wengi wanapinga/wanaunga mkono sabab ya imani yao kwa wanaowaamin.Wapo wapenda chadema wao huamin kile chadema inasema hatakam taarifa sio sahih.

Kweny hili jambo kinachohitajika ni uzalendo. Nyeusi iwe nyeusi nyeupe iwe nyeupo. Ajenda iwe maslah ya TAIFA na sio ajenga shirikishi.

BINAFSI NAUNGA MKONO IGA KAMA KUNA UWEZEKANO IGA IKABORESHWA ZAID KWENYE 1 IKAWA 2 BASI NAUNGA MKONO MABORESHO HAYO.
 
Aponisawa na kujitekenya nakucheka mwenyewe pigeni kelele nyinyi wachache sisi tuliowengi tumeukubali mkataba ndiomaana mkiitisha mkutano wanatoka watukiduchu lakini tungekuwa hatuupendi sisi wengi barabara zingejaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…