Wanaopinga " New World Order" ni vichaa

Usiku unapoingia sio tatizo ila unapaswa kuwa mwangalifu na ujue namna ya kutembea kwenye giza. Uwe mwangalifu na uijue vizuri NWO la sivyo utatumbukia shimoni.
Mimi ambacho siamini ni kwamba eti New World Order sijui ni mpango WA shetani blah blah blah
 
Unataka kusema ijayo itakuwa Islamcentic, au atheiscentric mkuu?
 
No comment rather than saying wewe jamaa ni mjinga.No body is saying the NWO is not coming, it is coming not doubt about it,but is not good for humanity,because it is a concept right from the pit of hell and Satan will be the ruler on earth for a brief period of seven years through the Anti-Christ,but God will destroy him at the end of those seven years.The seven years,especially the last three and a half, will be years of torment and murder which humanity has never witnessed .

Satan has been seeking rule over humanity since he was cast out of Heaven by God.He will however be granted the seven years to torment those who have rejected Christ including you.

Let me finish by telling you this, pamoja na kusoma sijui 20. or so books about the NWO,you are still illiterate about the NWO.Na hivyo viandiko ulivyo jifanya kuvi-quote wala hukuvielewa,kwa kuwa huwezi kuelewa the Holy Bible without the Holy Spirit.
 
Unataka kusema ijayo itakuwa Islamcentic, au atheiscentric mkuu?
Itakuwa kiti kinachopingana na hiyo iliyotangulia e.g. atheistic, homocentric, au hata antichrist and maelekeo mengine yanayopingana na CHRIST kama vile Islamism, Budhism, Confusianism, Materialism, etc
 
Thibitisha shetani yupo
 
Hapo kwenye matabaka, watumwa watakuwa kazi yao nini? Maaana teknolojia tayari haimuhitaji mtumwa au watimwa wa ngono ba fikra sio wa kazi?
Ulaya kazi zote zinafanywa na mashine na za nyumbani wanaunda Robot sasa mtumwa wa nini ? Au wa kuwaimbia mabwanyenye ? Fafanua vizuri hapo.
Halafu ile harakati ya kusoma vitabu vya physics na hesabu umeishia wapi ?
 
Ata mke wa m2 akimpata basha mpya mwenye ela anamwona mumewe boya,so sikushangai!!!
 
Watoto wa 2000.
Au walio lelewa na mzazi mmoja
Utawajua tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…