Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
-
- #141
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Halafu wengi hufata mkumbo. Utasikia mimi mtoto wa kiislamMuislamu ulisha wahi kumuona wapi hapa tanzania?
Tanzania hakuna waislamu kuna WAISIHARAMU TU ndiyo wapo kwa mwamposa na misikitini
AminaWacha waislamu wamjue na kumpokea Yesu kristu wapate kuokolewa
Hapa ungeweka na rejeo (reference) kutoka katika biblia, andiko lako lingenoga sana.Kwan ujui kuwa mwanadamu wa zama hizi hana shida ya kumjua/kumtafta Mungu tena ? Bali anachotaka ni miujiza tu ya kumkamilishia mambo yake?
Uko sahihi wengi wamesilimu na kusema hawana dini ina maana wanakufuru, ila Muumini wa kweli humkuti makanisani ukimkuta kanisani kwa nia za kishirikina ina maana kakufuru, uislam una masharti yake kama hayafatwi hujawa muumini kamili, unakua muislam na antakiwa atubu dhambi zake, asipotubu basi ana yo haki ya kuadhibiwa na alie muumba akitaka. kitu kimoja elewa maana ya kosa. Kosa ni dhambi. na kila kosa lina andikiwa dhambi, nafikiri nimekupa elimu kwa kistaarabu, sio kwa kukutana.Kama ni hivyo basi nyie waislam wengi hamna din maana kwa mwamposa wanajaa sanaa waislam mpaka wanagombaniana viti na wakristo😀😀😀 na sio kanisa hilo tu nimeona hata kwa nicholas suguye waislam kibao na wengi wanabatizwa na kuwa wakristo sijui kwanini siku hizi waislam wanakimbilia ukristo kwa kasi sana
PoleAkili za vilaza hivi..leta ushahidi wa hay mabiliona lasivyo mnajazwa upuuzi..watu mmejaa ubaahili na umasikini..mkiona makanisa na mashule na mahospital yanajengwa na waumini mnaaanza kulia lia eti wanalipwa na serikali...akili imebeba makamasi tupu.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Nyie wagalitia mtoka mapovu ikiwa kama wanakuja kweli basi nyie furahini na kwakuwa sio kweli munahangaika na kutoa mapovuKutafsiriwa ndio kubadilishwa maana..nadhani hata shule hujaenda zaidi ya kuaririshwa kiarabu.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Ulifanya makosa sana, hukutakiwa kufungua mbona tunakosa uaminifu, ingekuwa pesa sungekimbia nazo wewe, HIV ni angalau kuliko wenye kansa na kisukari and hopefully atapona tu mungu amsaidieKuna dada tulikaa nae ile siku ya mkesha...ile tunaandika vikaratasi si akapigiwa simu na boyfriend wake. Basi akanipa nimpelekee kikaratasi ile nakifungua. Ameandika anaomba Mungu amponye na HIV, nilitetemeka kidogo nikiangushe. Na ni pisi kali kinoma
Neema ya kristo inawashukia..wamejua walikua kwenye vifungo vya shetani kupitia kivuli cha dini.Kama ni hivyo basi nyie waislam wengi hamna din maana kwa mwamposa wanajaa sanaa waislam mpaka wanagombaniana viti na wakristo[emoji3][emoji3][emoji3] na sio kanisa hilo tu nimeona hata kwa nicholas suguye waislam kibao na wengi wanabatizwa na kuwa wakristo sijui kwanini siku hizi waislam wanakimbilia ukristo kwa kasi sana
Hili nimeshuhudia kwa macho ya nyama mubashara kabisa, ni waislam wengi sana huenda kwa Mwamposa kufata miujiza, wengi wao ni wale biashara haziendi, wengine wakidhani wamerogwa, wengine vichaa, wengine wanatafuta wanaume wa kuwaoa na hili kundi la kuolewa ndio wengi zaidi ya wagonjwa.
Waarabu kibao wanaenda kwa Mwamposa. Naukitaka kuwakamata vizuri hawa waislam waambie Kuna mafuta na ndio maana Mwamposa anawanasa kwa mwanvuli wa mafuta ya upako, maana hii dini ya kiarabu inaamini zaidi katika marashimarashi kama mzaituni, sijui manukato ya tende na harua n. k.
N. B. Sipo hapa kukebehi dini ya mtu yoyote japo dini haimilikiwi na mtu ila nipo hapa kueleza yalipo kwa Mwamposa kuwa wanaoenda ni waislam na ni wengi zaidi ya mahudhurio ya msikiti wa Kwamtoro.
Umeongea ukweli mchungu mpaka nimedondosha chozmkuu nje ya mihemko ya kawaida kabisa ya kidini tuliyo nayo.
maisha yanatushape tuwe watu wa tofauti sana kijana wangu,ipo siku na uislam wako utatafuta alipo nabii yeyote akuombee walau upate ahueni ya mtihani unaopitia.
binafsi siwaamini kabisa hawa manabii wa mbio,lakini simzuii mtu kwenda kutafuta huko anachokihitaji.waislam wapo wengi sana ktk hayo makanisa.
Naona hiyo neema ya yesu imewashukia kwelikweli na munazingatia sana mpaka munabariki ndoa za jInsia Moja hongereni kwa neema hiyoNeema ya kristo inawashukia..wamejua walikua kwenye vifungo vya shetani kupitia kivuli cha dini.
Ile sio dini ya waulimwengu bali ni utamaduni wa maisha ya waarabu na mababu zao..ndio mana wanakaririshwa lugha ya kiarabu pia kuishi kama waarabu.
Sio dini ya rohoni ni dini ya kimwili zaidi..na ndio dini inaaogoza kuwa na waganga wengi wa kienyeji...kazi yao kubwa ni kuwanga na kuuza dawa za mvuto wa kimapenzi.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Hii si sawa, hakuna mkristo anayekubali ndoa za jinsia mojaNaona hiyo neema ya yesu imewashukia kwelikweli na munazingatia sana mpaka munabariki ndoa za jInsia Moja hongereni kwa neema hiyo
Jibu hoja sio kuleta vioja..wapi kwenye biblia andiko limeruhusu mapenzi ya jinsia moja..ukipata huo mastari ndio uje kuulashifu ukristo.Naona hiyo neema ya yesu imewashukia kwelikweli na munazingatia sana mpaka munabariki ndoa za jInsia Moja hongereni kwa neema hiyo
Pole ukiristo nI dini ya mzungu na hayo pia ni mzungu kalibariki inawabidi mumfuate mzungu maana yeye ndio mwenye dini yake upoJibu hoja sio kuleta vioja..wapi kwenye biblia andiko limeruhusu mapenzi ya jinsia moja..ukipata huo mastari ndio uje kuulashifu ukristo.
Kila goti litapigwa mbele ya kristo..hata waislam wanasubiri ujio wa mara ya pili wa kristo Yesu...aje awahukumu mataifa kwa haki.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Huna hoja wewe nakupuuza..[emoji706]Pole ukiristo nI dini ya mzungu na hayo pia ni mzungu kalibariki inawabidi mumfuate mzungu maana yeye ndio mwenye dini yake upo
Punguza makasiriko..huna dini unayoimiliki hapa duniani..Kafir mkubwa
Heshim Iman za watu