Wanaosema bandari imeuzwa wanavikosea heshima vyombo vyetu vya Ulinzi na Usalama

Wanaosema bandari imeuzwa wanavikosea heshima vyombo vyetu vya Ulinzi na Usalama

Nkerebhuke

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2021
Posts
796
Reaction score
2,026
Ni wazi kuwa mjadala kuhusu bandari ulianza vizuri na kuleta radha kwelikweli lakini ghafla uliharibika baada ya kuvamiwa na wanasiasa na watu ambao waliingiza hisia ambazo hazileti afya katika umoja wetu wa kitaifa. Ushiriki wa sector binafsi katika uzalishaji na utoaji huduma sio Jambo geni katika dunia ya leo kwani tupo katika hatua nzuri ya ustaarabu.

Wasomi wetu wanajisikiaje kuleta taharuki nchini kuwa bandari yetu imeuzwa angali wanajua sio kitu kinachowezekana. Nasomi kwa sauti kubwa wasomi wetu kitu walichonacho ni kiburi cha usomi ( intellectual arrogance ) na sio uwezo wa kubembua mambo kwa faida ya watu wa makundi yote.

Huwezi kusema bandari imeuzwa wakati vyombo vya ulinzi vipo hiyo ni dharau. Kamati kuu ya ulinzi na usalama lazima ifanye mapitio kama kama kuna uwekezaji ambao unahatarisha usalama wa nchi, wapo jwtz, tiss, migration, police na vyombo vyote hawa wapo kulinda rasilimali za nchi.

Ni kweli kuwa ulinzi wa rasilimali za nchi nilakila mtu ila wapo watu waliokula kiapo na wanalipwa kwa ajili ya kazi hiyo je hatuwaamini? Tuna usalama wa taifa ni taasisi ambayo pamoja na majukumu mengine wana oversee leakage ya national resources nao hatuwaamini?

Tuache ujuaji na kiburi cha usomi tujenge hoja zetu kwa hekima na ustaarabu tuziingize udini na hisia za ubaguzi wa rangi juu ya wawekezaji fulani. Vyombo vya ulinzi vipo imara na tiifu kwa nchi yetu, mungu ibariki tz
 
Inshu kubwa ni vipengele vya mkataba, nimewasikiliza wote wanaotetea na wanaopinga

Watu wengi wamekuwa nanawaelewa sana wanaopinga kwa sababu wanapinga kwa hoja na mkataba wakiwa nao wanauchambua kwa vifungu

Wanaotetea wao wanasema tu tutapata faida mara sasa hivi mizigo inachelewa sijui meli zinakaa muda mrefu nangani, hawasemi mda wa ukomo wa mkataba, hawataji faida tutayopata iliyopo kwenye mkataba

Sasa hapa unadhani nani ataeleweka zaidi? Ukweli ni kwamba DP watakuja ila ni nguvu ya serikali sio matakwa ya raia mtaani wote wanaupinga mkataba
 
Hao watu na taasisi yao unaotaka tuwahamini si hao hao na mfumo huo huo uliosababisha gesi yetu haitunufaishi. Mifano mingi mpaka sasa serikali inategemea wahisani kuendesha nchi[bajeti]. we tulia hivyo hivyo ufe maskini.
Brother kuwa mkweli tu huwezi kuwa ku harness natural resources effectively kama ume luck intellectual resources. Kama unakumbuka prof muhongo alivyowaambia local investors wetu kuwa mitaji yao inaishia kwenye juice ilikuwa nikidonge kichungu. Sera zetu zisizotabilika imefanya makampuni ya kuwekeza kwenye gas kugwaya, umasikini wa nchi yetu unasababishwa na vitu vingi sana vingine vya kihistoria sio kulaumiana tu.
 
Inshu kubwa ni vipengele vya mkataba, nimewasikiliza wote wanaotetea na wanaopinga

Watu wengi wamekuwa nanawaelewa sana wanaopinga kwa sababu wanapinga kwa hoja na mkataba wakiwa nao wanauchambua kwa vifungu

Wanaotetea wao wanasema tu tutapata faida mara sasa hivi mizigo inachelewa sjui meli zinakaa mda mrefu nangani,, hawasemi mda wa ukomo wa mkataba,, hawataji faida tutayopata iliyopo kwenye mkataba

Sasa hapa unadhani nani ataeleweka zaidi? Ukweli ni kwamba DP watakuja ila ni nguvu ya serikali sio matakwa ya raia mtaani wote wanaupinga mkataba
Very good
 
Ni wazi kuwa mjadala kuhusu bandari ulianza vizuri na kuleta radha kwelikweli lakini ghafla uliharibika baada ya kuvamiwa na wanasiasa na watu ambao waliingiza hisia ambazo hazileti afya katika umoja wetu wa kitaifa. Ushiriki wa sector binafsi katika uzalishaji na utoaji huduma sio Jambo geni katika dunia ya leo kwani tupo katika hatua nzuri ya ustaarabu.

Wasomi wetu wanajisikiaje kuleta taharuki nchini kuwa bandari yetu imeuzwa angali wanajua sio kitu kinachowezekana. Nasomi kwa sauti kubwa wasomi wetu kitu walichonacho ni kiburi cha usomi ( intellectual arrogance ) na sio uwezo wa kubembua mambo kwa faida ya watu wa makundi yote. Huwezi kusema bandari imeuzwa wakati vyombo vya ulinzi vipo hiyo ni dharau. Kamati kuu ya ulinzi na usalama lazima ifanye mapitio kama kama kuna uwekezaji ambao unahatarisha usalama wa nchi, wapo jwtz, tiss, migration, police na vyombo vyote hawa wapo kulinda rasilimali za nchi.

Ni kweli kuwa ulinzi wa rasilimali za nchi nilakila mtu ila wapo watu waliokula kiapo na wanalipwa kwa ajili ya kazi hiyo je hatuwaamini? Tuna usalama wa taifa ni taasisi ambayo pamoja na majukumu mengine wana oversee leakage ya national resources nao hatuwaamini? Tuache ujuaji na kiburi cha usomi tujenge hoja zetu kwa hekima na ustaarabu tuziingize udini na hisia za ubaguzi wa rangi juu ya wawekezaji fulani. Vyombo vya ulinzi vipo imara na tiifu kwa nchi yetu, mungu ibariki tz
Hivyo vyombo vya Ulinzi na Usalama ndivyo vilitia saini mkataba?

Huko Dhibout hakuna vyombo vya Ulinzi na Usalama?

Na sasa Kenya pana fukuto, pale hakuna vyombo hivyo?

Hii nchi imejaa Wajinga
 
Hao watu na taasisi yao unaotaka tuwahamini si hao hao na mfumo huo huo uliosababisha gesi yetu haitunufaishi. Mifano mingi mpaka sasa serikali inategemea wahisani kuendesha nchi[bajeti]. we tulia hivyo hivyo ufe maskini.
Mikataba mibovu yote ya serikali inamaana walikuwa hawajala viapo?
 
Hivyo vyombo vya Ulinzi na Usalama ndivyo vilitia saini mkataba?

Huko Dhibout hakuna vyombo vya Ulinzi na Usalama?

Na sasa Kenya pana fukuto, pale hakuna vyombo hivyo?

Hii nchi imejaa Wajinga
Huyu kada hata mkataba wenyewe hajausoma kasikia tu kama sisi naye kaibuka
 
Ni wazi kuwa mjadala kuhusu bandari ulianza vizuri na kuleta radha kwelikweli lakini ghafla uliharibika baada ya kuvamiwa na wanasiasa na watu ambao waliingiza hisia ambazo hazileti afya katika umoja wetu wa kitaifa. Ushiriki wa sector binafsi katika uzalishaji na utoaji huduma sio Jambo geni katika dunia ya leo kwani tupo katika hatua nzuri ya ustaarabu.

Wasomi wetu wanajisikiaje kuleta taharuki nchini kuwa bandari yetu imeuzwa angali wanajua sio kitu kinachowezekana. Nasomi kwa sauti kubwa wasomi wetu kitu walichonacho ni kiburi cha usomi ( intellectual arrogance ) na sio uwezo wa kubembua mambo kwa faida ya watu wa makundi yote.

Huwezi kusema bandari imeuzwa wakati vyombo vya ulinzi vipo hiyo ni dharau. Kamati kuu ya ulinzi na usalama lazima ifanye mapitio kama kama kuna uwekezaji ambao unahatarisha usalama wa nchi, wapo jwtz, tiss, migration, police na vyombo vyote hawa wapo kulinda rasilimali za nchi.

Ni kweli kuwa ulinzi wa rasilimali za nchi nilakila mtu ila wapo watu waliokula kiapo na wanalipwa kwa ajili ya kazi hiyo je hatuwaamini? Tuna usalama wa taifa ni taasisi ambayo pamoja na majukumu mengine wana oversee leakage ya national resources nao hatuwaamini?

Tuache ujuaji na kiburi cha usomi tujenge hoja zetu kwa hekima na ustaarabu tuziingize udini na hisia za ubaguzi wa rangi juu ya wawekezaji fulani. Vyombo vya ulinzi vipo imara na tiifu kwa nchi yetu, mungu ibariki tz
Mkuu vipi toka JPM afariki maji, umeme,SGR vyote vinasuasua.

Mawaziri wajinga wanateuliwa wenye akili, wazalendo, wenye kupigania Tanganyika wanawekwa bembenjù
 
Ni vyombo na taasisi hizo hizo zinazotakiwa kusimamia ufanisi na usalama wa mali zetu bandarini kwa nini tumeendelea kuibiwa mpaka tunataka kubinafsisha? Je tuendelee kuwaamini? **** wameshindwa kuwasimimia na kuwadhibiti wazawa, watawaweza hao? Kama ni kinyume chake kwa nini wasiwajibishwe wahalifu wawekwe waadilifu na maisha yaendelee? Kama tatizo ni rasilmali watu au teknolojia tuajiri wageni huku watu wetu wakiendelea kujifunza kutoka kwao au tununue teknolojia stahiki tuendeshe mambo yetu wenyewe chini ya isimamizi wa vyombo vyetu vya dola. Pamoja na hayo, endapo ni lazima kuwapa wawekezaji basi MASHARTI LAZIMA YAWE RAFIKI NA MANUFAA KWA WATANZANIA.
 
Hivyo Vyombo vya usalama vijitafakar tuu kama vipo Kwa ajili ya Watanzania au kundi la watu...
 
Hivyo vyombo vya Ulinzi na Usalama ndivyo vilitia saini mkataba?

Huko Dhibout hakuna vyombo vya Ulinzi na Usalama?

Na sasa Kenya pana fukuto, pale hakuna vyombo hivyo?

Hii nchi imejaa Wajinga
Acha dharau unajua kazi ya vyombo vya ulinzi na usalama vizuri hujui kama jwtz wanawajibu wa kulinda katiba ya nchi isivunjwe. Hiyo mikataba mibovu unayosema imepata access wapi kuiona na ubovu wake nini. Usiwe na mihemko kuna watu wako front kuhakikisha usalama wa hii nchi sio blabla ukijia kulaumu ujue na kupongeza
 
Ni wazi kuwa mjadala kuhusu bandari ulianza vizuri na kuleta radha kwelikweli lakini ghafla uliharibika baada ya kuvamiwa na wanasiasa na watu ambao waliingiza hisia ambazo hazileti afya katika umoja wetu wa kitaifa. Ushiriki wa sector binafsi katika uzalishaji na utoaji huduma sio Jambo geni katika dunia ya leo kwani tupo katika hatua nzuri ya ustaarabu.

Wasomi wetu wanajisikiaje kuleta taharuki nchini kuwa bandari yetu imeuzwa angali wanajua sio kitu kinachowezekana. Nasomi kwa sauti kubwa wasomi wetu kitu walichonacho ni kiburi cha usomi ( intellectual arrogance ) na sio uwezo wa kubembua mambo kwa faida ya watu wa makundi yote.

Huwezi kusema bandari imeuzwa wakati vyombo vya ulinzi vipo hiyo ni dharau. Kamati kuu ya ulinzi na usalama lazima ifanye mapitio kama kama kuna uwekezaji ambao unahatarisha usalama wa nchi, wapo jwtz, tiss, migration, police na vyombo vyote hawa wapo kulinda rasilimali za nchi.

Ni kweli kuwa ulinzi wa rasilimali za nchi nilakila mtu ila wapo watu waliokula kiapo na wanalipwa kwa ajili ya kazi hiyo je hatuwaamini? Tuna usalama wa taifa ni taasisi ambayo pamoja na majukumu mengine wana oversee leakage ya national resources nao hatuwaamini?

Tuache ujuaji na kiburi cha usomi tujenge hoja zetu kwa hekima na ustaarabu tuziingize udini na hisia za ubaguzi wa rangi juu ya wawekezaji fulani. Vyombo vya ulinzi vipo imara na tiifu kwa nchi yetu, mungu ibariki tz
Ila wale wanaosema bandarini kuna wizi mkubwa hawavikosei heshima vyombo hivyo ambavyo vipo pale bandarini!!!???

Ila wale mnaosema bandarini hatuwezi kudhibiti wizi hamuikosei heshima serikali na vyombo vyenu vya ulinzi na usalama!!??
 
Back
Top Bottom