Wanaosema ID yangu imekaa kidem, mbona sijawahi fatwa PM na kidume hata kimoja?

Hii dunia xjui inaenda wapi mtoto wakiume analilia kutongozwa na wanaume wenzake na kuweka kia id cha kimitego jamani huyu ni wa kumuombea tu aache aka kamchezo huko mtaani kwao maana humu watu naona wameanzaa kuokoa siku hizi ndio maana akaamua kuulizia
 
kwahiyo unataka kupigwa MISHINDO?
 
Wengine hatufati madume dada[emoji51] [emoji23] [emoji111]


Ndukiiiii[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Unataguta wa kukuamshia dude nn mkuu maraia wapo ww ngoja tu muda si mrefu wanakuja na madanguro yameshafungwa tena uraomba pooo mwenywe. Watapokuwa wanakula 0713.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…