Wanaosema Mbowe amechoka, nawakumbusha kwamba wakati Lissu kajificha uvunguni, Mbowe na binti yake ndio waliandamana mwaka huu, wakakamatwa na Polisi

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Mwaka huu chadema waliandaa maandamano Dar el salaam. Ni Mbowe na binti yake tu ndio waliandamana.

Hakuna cha Lissu, Mwabukusi, Heche wala Pambalu. Hao wanaojitutumua kwamba wanapenda mabadiliko mbona hatukuwaona? Mmejaa humu MNATUNA lakini saiti hamuonekani.

Hawa ndio tukabidhi chama?
 
Endeleeni kumtetea mshirika wenu katika uhalifu
 
Hivi mnavyozidi kumuunga mkono ndivyo mnavyozidi kumuharibia, tatizo akili hamna.
 
Ndio mpaka afie madarakani kisa ameandamana! Machawa muwe na aibu hata kidogo.
 
Hivi mnavyozidi kumuunga mkono ndivyo mnavyozidi kumuharibia, tatizo akili hamna.
Hapa tunatembea na beats mbili, sasa wewe chagua ya kucheza, na kila mtu achague beats, na acheze
 
Kumbe uongozi ni zawadi
 
Hapa tunatembea na beats mbili, sasa wewe chagua ya kucheza, na kila mtu achague beats, na acheze
Hamumsaidii Mbowe bali kumuharibia kwa kuonesha waziwazi Lissu alivyo tishio kwenu, ndio maana nilikwambia akili hamna.
 
Hamumsaidii Mbowe bali kumuharibia kwa kuonesha waziwazi Lissu alivyo tishio kwenu, ndio maana nilikwambia akili hamna.
Tukutane kwa debe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…