Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Ninge wawekea picha ya sultan, sema wata lalamika tuna haribu mada😆Kaumia sana Sultan Mbowe Bin King'ang'anizi kupigwa chini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninge wawekea picha ya sultan, sema wata lalamika tuna haribu mada😆Kaumia sana Sultan Mbowe Bin King'ang'anizi kupigwa chini
Kwani Mbowe alikuwepo? And what does that depict?Hatutanyamazia upotoshaji
Watu wanadhani ofisi ni kuta nne za jengo!😁Huyu Hapa ni Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika akieleza
View attachment 3217767View attachment 3217768
Wito: Ni Muhimu sana kuheshimu viongozi waliopita maana bado busara zao zinahitajika
😂😂😂Na ndio maana Lissu alianza kuteua viongozi wengine mara moja kwa vile tayari alishakuwa Mwenyekiti
... halazimiki na hujui majukumu aliyonayo na dharura zake kama zinampa nafasi au la!Sawa lakini angekuwepo tu ofisini kuwakaribisha viongozi wapya ingeepusha hii sintofahamu.
Hapo Mnyika imebidi atumie akili na siasa nyingi kuepusha minong’ono.
nani, Mnyika?We si ni chawa wa Mbowe
Acha unafiki ...... halazimiki na hujui majukumu aliyonayo na dharura zake kama zinampa nafasi au la!
LISSU KALALAMIKA?
Zama zako zimeshapita, tunajua unaugulia uchawa wako hauna ajira kwasasa, Lisu keshatangaza machawa hawana nafasi so tafuta ajira nyingine au kaungane na Sultan huko MachameNa ndio maana Lissu alianza kuteua viongozi wengine mara moja kwa vile tayari alishakuwa Mwenyekiti
Dah, wewe!!🤣🤣🤣🤣Sibishani na kapuku maana muda wowote aweza kuanguka kwa Njaa, nisingiziwe nimeua
... ulitaka Mbowe awe mnafiki kujichekesha na waliomzushia uchafu wa kila aina?Acha unafiki ...
Msimamo wa kamati kuu huo no reform no election lissu kakuvua nguo kuwa hujui kitu hivi sasa haya mambo waachie wenyewe!Huyu Hapa ni Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika akieleza
View attachment 3217767View attachment 3217768
Wito: Ni Muhimu sana kuheshimu viongozi waliopita maana bado busara zao zinahitajika
Hao hao ndiyo waliomzodoa alipo tweet kwa mara ya kwanza baada ya uchaguzi. Mimi sijui shida iko wapi. Lakini kuendesha chama kupitia mitandao kuna madhara yake na CCM hilo wanalimudu na ninawasifu. CHADEMA kuweni makini. Ninatamani self-censorship.Hatutanyamazia upotoshaji
Si wale wale wen he uchungu sana😂😂😂Huyu Hapa ni Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika akieleza
View attachment 3217767View attachment 3217768
Wito: Ni Muhimu sana kuheshimu viongozi waliopita maana bado busara zao zinahitajika
Katika hali ya upendo, upendo wa zamani kati ya Lisu na Mbowe, leo ilikuwa siku njema kukabidhiana. Haikutokea, basi tuyaache lakini si dalili njema hata kidogo.Huyu Hapa ni Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika akieleza
View attachment 3217767View attachment 3217768
Wito: Ni Muhimu sana kuheshimu viongozi waliopita maana bado busara zao zinahitajika