Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa jinsi CDM ilivyothibitika kuwa Baba wa demokrasia nchini pasipo kuwa na shaka yoyote ile. Kwa hiyo basi nashauri katika mabadiliko ya katiba wanayoyatarajia kuyafanya katika siku zijazo, hili la "transition in shifting the power and authority" liwemo kikatiba.Huyu Hapa ni Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika akieleza
View attachment 3217767View attachment 3217768
Wito: Ni Muhimu sana kuheshimu viongozi waliopita maana bado busara zao zinahitajika
Tayari Lissu kamchanganya, vile visent vilivyokuwa vinaingia kutoka upande wa pili vimekata.Kwani tunabishana au nakueleza ukweli kuwa wewe ni chawa wa mbowe
Na umeme wamekataPamoja na mvua kubwa inyeshayo mkoani Morogoro na radi kali mda huu - meweza kuja soma ujumbe JF
Mbowe kaogopa kuombwa helaHuyu Hapa ni Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika akieleza
View attachment 3217767View attachment 3217768
Wito: Ni Muhimu sana kuheshimu viongozi waliopita maana bado busara zao zinahitajika
Kupelekwa maoni yako kwa Mwenyekiti wa serikali ya Mtaa kuhusu mstakabali wa Chama ndipo ya fuaye mlolongo hadi kwa viongozi wa kitaifa si padogo pia!Kaumia sana Sultan Mbowe Bin King'ang'anizi kupigwa chini
Mwacheni Lissu afanye kazi, hakuna anayehitaji busara za mamluki wa abdul.Ni Muhimu sana kuheshimu viongozi waliopita maana bado busara zao zinahitajika
HahahaKupelekwa maoni yako kwa Mwenyekiti wa serikali ya Mtaa kuhusu mstakabali wa Chama ndipo ya fuaye mlolongo hadi kwa viongozi wa kitaifa si padogo pia!
Nashangazwa na wanaohoji taarifa uliyoweka.Na ndio maana Lissu alianza kuteua viongozi wengine mara moja kwa vile tayari alishakuwa Mwenyekiti
Masikini mnawaza posho tu! Wajinga nyie!Kachanganyikiwa huyu ilikua ili wale lazima wamwambie Sultan tuko nyuma yako sasa Sultan kaanguka miamala imekata
Unapokwenda sipo! Jenga hoja si kutukanaMasikini mnawaza posho tu! Wajinga nyie!
Wewe jamaa chadema wengine wangekuiga. Joto la uchaguzi lote hilo hukuonesha dharau ama kebehi kwa mgombea yeyote yule. Na baada ya uchaguzi umeendelea kazi ya uenezi na kupost consistently bila kuonesha furaha ama huzuni ama machungu.Huyu Hapa ni Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika akieleza
View attachment 3217767View attachment 3217768
Wito: Ni Muhimu sana kuheshimu viongozi waliopita maana bado busara zao zinahitajika
Mkuu ukisikia kiburi cha uzima ndio hiki sasa. Muombe sana Mungu akusamehe.Sibishani na kapuku maana muda wowote aweza kuanguka kwa Njaa, nisingiziwe nimeua
Umeeleweka vizuri.Na ndio maana Lissu alianza kuteua viongozi wengine mara moja kwa vile tayari alishakuwa Mwenyekiti
Umasikini ni dhambi, Mungu hapendiMkuu ukisikia kiburi cha uzima ndio hiki sasa. Muombe sana Mungu akusamehe.
Hilo si tusi bali ni lugha kali ya kufundishia mbumbumbuUnapokwenda sipo! Jenga hoja si kutukana
Kama mbowe na silaa walivyoleta FISADI lowasa ...... ulitaka Mbowe awe mnafiki kujichekesha na waliomzushia uchafu wa kila aina?
Ukijiweka Katika viatu vya Mbowe utaona kuwa anahitaji kupumzika, japo kidogo, na kupisha mihemko ya vipofu waliouona mwezi kama wewe!
USE YOUR LOAF! 😅