CHIPESI NAMISUKU
Member
- Oct 7, 2019
- 51
- 157
Tarehe 28/12/2019 niliandika kuhusu Mzee Mkapa kichwa Cha habari kikisema Nini maana ya Legacy? Niliandika naomba Kunukuu:-
"Natamani sana kujua wasaidizi wa Rais Mkapa alioingia nao madarakani 1995. Kama kuna mtu ameacha Legacy ya kutosha kwenye nchi hii japokuwa hatuoni kwa macho ya kawaida ni Rais Mkapa.
Huyu ndiye akiyetuachia mifumo inayotusaidia kuongoza nchi hadi Leo.
NSSF
NHF
TCU
LOANS BOARD
TANROAD
TRA
MIKOPO KWA WAFANYAKAZI TOKA KWENYE MABENKI.
MKURABITA
MKUKUTA
MPANGO WA ELIMU SHULE ZA MSINGI MMEM
MPANGO WA ELIMU SHULE ZA SEKONDARI
VAT
TISS
Hii ni baadhi na hii ni mifumo si Muindombinu inayoonekana lakini mshawahi kujiuliza bila hii Mifumo nchi ingejiendeshaje?
Wasaidizi wa Rais wana wakati mgumu sana kufanya kututengenezea Mifumo mingine ya kutuachia. Mifumo itakayokuwa inafanya kazi.
Ndio manaa nataka kujua wasaidizi wa Mkapa walikuwa kina Nani kwa maana ya wataalamu.
Mwenye kuwajua nisaidie kuwataja hapa. Pia Mwenye kujua Mifumo mingine aliyotuachia Mzee Ben comment hapa."
Pumzika kwa amani mzee wetu wa ukweli na uwazi.
"Natamani sana kujua wasaidizi wa Rais Mkapa alioingia nao madarakani 1995. Kama kuna mtu ameacha Legacy ya kutosha kwenye nchi hii japokuwa hatuoni kwa macho ya kawaida ni Rais Mkapa.
Huyu ndiye akiyetuachia mifumo inayotusaidia kuongoza nchi hadi Leo.
NSSF
NHF
TCU
LOANS BOARD
TANROAD
TRA
MIKOPO KWA WAFANYAKAZI TOKA KWENYE MABENKI.
MKURABITA
MKUKUTA
MPANGO WA ELIMU SHULE ZA MSINGI MMEM
MPANGO WA ELIMU SHULE ZA SEKONDARI
VAT
TISS
Hii ni baadhi na hii ni mifumo si Muindombinu inayoonekana lakini mshawahi kujiuliza bila hii Mifumo nchi ingejiendeshaje?
Wasaidizi wa Rais wana wakati mgumu sana kufanya kututengenezea Mifumo mingine ya kutuachia. Mifumo itakayokuwa inafanya kazi.
Ndio manaa nataka kujua wasaidizi wa Mkapa walikuwa kina Nani kwa maana ya wataalamu.
Mwenye kuwajua nisaidie kuwataja hapa. Pia Mwenye kujua Mifumo mingine aliyotuachia Mzee Ben comment hapa."
Pumzika kwa amani mzee wetu wa ukweli na uwazi.