Hamna lolote hiyo mifumo alicopy kutoka nchi za ulaya,maana ipo toka muda mrefu kinachofanyika huwa inasimikwa na kuboreshwa tu kulingana na mazingira ya nchi husika.
Luhanjo hakuhudumu kwa MkapaYeah, kwahiyo Luhanjo amehudumu kwa Mkapa, kisha Ombeni. Huyu Mbaga alikuwa ni nani?
Luhanjo alikua mkapa.. sefua katimuliwa na magufuli.. kama unakumbuka sefue ameripoti sana wanao tumbuliwa.
Huyu Lumbanga ndo jina lilinitoka, Nadhani Lumbanga alipokewa kutoka kwa Luhanjo au yeye ndo alimuachia Luhanjo?Hapana, Katibu Mkuu Kiongozi wa Mkapa ni Balozi Dr. Martine Lumbanga 1995-2006
Lumbanga alipoteuliwa kuwa Mwakilishi wa Tanzania Umoja wa Mataifa 2006 ndio Luhanjo akamrithi kama katibu Mkuu Kiongozi IkuluHuyu Lumbanga ndo jina lilinitoka, Nadhani Lumbanga alipokewa kutoka kwa Luhanjo au yeye ndo alimuachia Luhanjo?
Hebu acha ujinga wako! Ombeni kaja kwa Jakaya kama sikosei ni 2012 baada ya Philimon Luhanjo,kustaafu! Mkapa kafanya kazi na Philemon Lumbanga! Uliza kwanza
Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
[/QUOTE
MKUU nimekosea....
ALIKUWA ni katibu wa Rais Mkapa na si KMK...
Thnxxx