Wanaosema Nimrodi shujaa wa kwanza Duniani alioa mke aitwae semiranus wananukuu sehemu gani ya Biblia

Wanaosema Nimrodi shujaa wa kwanza Duniani alioa mke aitwae semiranus wananukuu sehemu gani ya Biblia

Kizuio

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2018
Posts
845
Reaction score
521
Huyu nimrodi ni mjukuu wa Hamu mmoja wa watoto wa Noah
Baba yake nimrodi ni Kushi mtoto wa Hamu
Yaelezwa alijenga miji mingi moja kati ya miji hiyo ukiacha babulon ni Ereki, Akadi, nchini Shinari
Nchini Ashuru ambako alijenga mji wa ninewi, Rehobothi, Kala na Reseni
Misri na kanaan.

ana wa Nuhu wakazaa watoto wengi. Watoto wao walikua na kuzaa watoto zaidi. Upesi kukawa na watu wengi duniani.

Mmoja wa watu hao alikuwa kijukuu wa Nuhu jina lake Nimrodi. Alikuwa mtu mbaya aliyewinda na kuua wanyama na hata wanadamu. Nimrodi pia alijifanya mfalme atawale watu wengine. Mungu hakumpenda Nimrodi.

Wakati huo watu wote walisema lugha moja. Nimrodi alitaka awakusanye wote ili awatawale. Unajua alilofanya? Aliwaambia watu wajenge mji na ndani yake mnara mkubwa

Yehova Mungu hakupendezwa na jengo hilo. Mungu alitaka watu watawanyike na kukaa pote duniani. Lakini wao walisema: ‘Njoni! Tujenge mji na mnara mrefu sana ufike mbinguni. Ndipo tutasifiwa sana!’ Watu hao walitaka wajiheshimu kuliko Mungu.

Kwa hiyo Mungu aliwaachisha kujenga mnara. Unajua namna alivyofanya? Aliwafanya waanze kusema lugha mbalimbali mara moja. Wajenzi hao hawakufahamiana tena. Ndiyo sababu mji wao ukaitwa Babeli, au Babiloni, maana yake “Mchafuko ya Lugha duniani
 
Mmoja wa watu hao alikuwa kijukuu wa Nuhu jina lake Nimrodi. Alikuwa mtu mbaya aliyewinda na kuua wanyama na hata wanadamu. Nimrodi pia alijifanya mfalme atawale watu wengine. Mungu hakumpenda Nimrodi.
8 Kushi akamzaa Nimrodi, akaanza kuwa mtu hodari katika nchi.
9 Alikuwa hodari kuwinda wanyama mbele za Bwana. Kwa hiyo watu hunena, Kama Nimrodi, hodari wa kuwinda wanyama mbele za Bwana. Hakuna andiko linalosema alikuwa akiwinda na watu pia
 
8 Kushi akamzaa Nimrodi, akaanza kuwa mtu hodari katika nchi.
9 Alikuwa hodari kuwinda wanyama mbele za Bwana. Kwa hiyo watu hunena, Kama Nimrodi, hodari wa kuwinda wanyama mbele za Bwana. Hakuna andiko linalosema alikuwa akiwinda na watu pia
Inawezekana ni wabaya wake maana mpango wake ulikuwa kuwatawala watu kwa nguvu
 
Huyu nimrodi ni mjukuu wa Hamu mmoja wa watoto wa Noah
Baba yake nimrodi ni Kushi mtoto wa Hamu
Yaelezwa alijenga miji mingi moja kati ya miji hiyo ukiacha babulon ni Ereki, Akadi, nchini Shinari
Nchini Ashuru ambako alijenga mji wa ninewi, Rehobothi, Kala na Reseni
Misri na kanaan.

ana wa Nuhu wakazaa watoto wengi. Watoto wao walikua na kuzaa watoto zaidi. Upesi kukawa na watu wengi duniani.

Mmoja wa watu hao alikuwa kijukuu wa Nuhu jina lake Nimrodi. Alikuwa mtu mbaya aliyewinda na kuua wanyama na hata wanadamu. Nimrodi pia alijifanya mfalme atawale watu wengine. Mungu hakumpenda Nimrodi.

Wakati huo watu wote walisema lugha moja. Nimrodi alitaka awakusanye wote ili awatawale. Unajua alilofanya? Aliwaambia watu wajenge mji na ndani yake mnara mkubwa

Yehova Mungu hakupendezwa na jengo hilo. Mungu alitaka watu watawanyike na kukaa pote duniani. Lakini wao walisema: ‘Njoni! Tujenge mji na mnara mrefu sana ufike mbinguni. Ndipo tutasifiwa sana!’ Watu hao walitaka wajiheshimu kuliko Mungu.

Kwa hiyo Mungu aliwaachisha kujenga mnara. Unajua namna alivyofanya? Aliwafanya waanze kusema lugha mbalimbali mara moja. Wajenzi hao hawakufahamiana tena. Ndiyo sababu mji wao ukaitwa Babeli, au Babiloni, maana yake “Mchafuko ya Lugha duniani
Historia ya mtu huwezi ukaipata yote kwenye biblia hata Yesu maisha yake yameongelewa kwa 20% yale mengine 80% kwenye biblia hayapo hivyo ni kazi yako kujiongeza kwa kutafuta source zingine nje ya biblia mfano kwa waandishi wa historia,vitabu vya dini zingine,nyaraka za kale n.k kwa kuanzia tu kasome angalau book of jasher ambacho biblia kinaitambua humo utakuta angalau story inayoeleweka ya Nimrod baada ya hapo kuna maandiko ya kisumeria kuhusu king enmekar ambaye ndio Nimrod wa biblia na mengine mengi ila kwa kuwa ww ni msoma biblia basi anza na hiki kinachotambuliwa na biblia

Pia ukitoka hapo tafuta aliyeitwa ''malkia wa mbinguni'' kwenye kitabu cha Jeremiah huyo ndiye semiramis ila nikusahishe tu hakuwa binti bali alikuwa mke wa baba yake Nimrod aliyeitwa Cush ila baada ya Nimrod kuchukua madaraka semiramis ilibidi aolewe na mwanaye Nimrod ili aendelee kupata uhalali wa kuitwa Malkia na baada ya Nimrod kuuawa na Shem (ingawa maandiko mengine yanadai ni Esau) huyu mwanamama akawa ndio mtawala wa Babeli......
 

Attachments

Historia ya mtu huwezi ukaipata yote kwenye biblia hata Yesu maisha yake yameongelewa kwa 20% yale mengine 80% kwenye biblia hayapo hivyo ni kazi yako kujiongeza kwa kutafuta source zingine nje ya biblia mfano kwa waandishi wa historia,vitabu vya dini zingine,nyaraka za kale n.k kwa kuanzia tu kasome angalau book of jasher ambacho biblia kinaitambua humo utakuta angalau story inayoeleweka ya Nimrod baada ya hapo kuna maandiko ya kisumeria kuhusu king enmekar ambaye ndio Nimrod wa biblia na mengine mengi ila kwa kuwa ww ni msoma biblia basi anza na hiki kinachotambuliwa na biblia

Pia ukitoka hapo tafuta aliyeitwa ''malkia wa mbinguni'' kwenye kitabu cha Jeremiah huyo ndiye semiramis ila nikusahishe tu hakuwa binti bali alikuwa mke wa baba yake Nimrod aliyeitwa Cush ila baada ya Nimrod kuchukua madaraka semiramis ilibidi aolewe na mwanaye Nimrod ili aendelee kupata uhalali wa kuitwa Malkia na baada ya Nimrod kuuawa na Shem (ingawa maandiko mengine yanadai ni Esau) huyu mwanamama akawa ndio mtawala wa Babeli......
Vitu ambavyo havina Uthibitisho mimi sio rahisi kuamini
Jibu lako hili linaonyesha ni la kubahatisha mara aliuawa na shemu mara na Esau
 
Tatizo la Uthibitisho nnje ya Biblia uongo mwingi huwa unatawala kila mtu huvutia kwake
Na kama alimwoa mama yake Biblia isingeshindwa kugusia uovu huo kuwa chanzo cha kuchukiwa na Mungu pia
 
Vitu ambavyo havina Uthibitisho mimi sio rahisi kuamini
Jibu lako hili linaonyesha ni la kubahatisha mara aliuawa na shemu mara na Esau
Mkuu book of jasher inasema Nimrod aliuawa na Esau na naomba ieleweke kwamba Biblia inakitambua kitabu cha Yashari

Joshua 10:13
je! Hayakuandikwa ndani ya kitabu cha Yashari? Basi jua likasimama kimya katikati ya mbingu, wala halikufanya haraka kuchwa kama muda wa siku nzima.

2 Samuel 1:18
18 (kama ilivyoandikwa katika kitabu cha Yashari), akasema,Wana wa Yuda na wafundishwe haya.

So kama unaamini Biblia ni lazima ukiamini book of jasher otherwise kuna vitabu zaidi ya 100 nje ya bible vinavyoeleza kisa kizima cha Nimrod
 
Tatizo la Uthibitisho nnje ya Biblia uongo mwingi huwa unatawala kila mtu huvutia kwake
Na kama alimwoa mama yake Biblia isingeshindwa kugusia uovu huo kuwa chanzo cha kuchukiwa na Mungu pia
Mkuu biblia haikuandika kila kitu hata Yesu utoto wake na ujana wake alifanya mengi sana ambayo yangekuwa fundisho kwa vijana ila hayajaingizwa hata paulo aliandika barua zaidi ya 20 ila kwenye biblia zipo chache tu sasa utasema zile barua zilizoachwa ni batili??? Kwa staili hii mtasema hata nyerere na mkwawa hawakuwahi kuwepo kisa kwenye Biblia hawajatajwa!! So sad

Tuache mahaba ya kidini watanzania
 
Mkuu biblia haikuandika kila kitu hata Yesu utoto wake na ujana wake alifanya mengi sana ambayo yangekuwa fundisho kwa vijana ila hayajaingizwa hata paulo aliandika barua zaidi ya 20 ila kwenye biblia zipo chache tu sasa utasema zile barua zilizoachwa ni batili??? Kwa staili hii mtasema hata nyerere na mkwawa hawakuwahi kuwepo kisa kwenye Biblia hawajatajwa!! So sad

Tuache mahaba ya kidini watanzania
Kwa style hii ndio maana mambo ya dini sipendi yajadili. Unaleta maandiko then Pundaz fulani zinakuja mbona hayapo kwenye Biblia!?.. As if Biblia ndio maandiko pekee duniani!.
Usijisumbue mzee, katafute uzi mwingine kuuchangia tu!.
 
Mkuu biblia haikuandika kila kitu hata Yesu utoto wake na ujana wake alifanya mengi sana ambayo yangekuwa fundisho kwa vijana ila hayajaingizwa hata paulo aliandika barua zaidi ya 20 ila kwenye biblia zipo chache tu sasa utasema zile barua zilizoachwa ni batili??? Kwa staili hii mtasema hata nyerere na mkwawa hawakuwahi kuwepo kisa kwenye Biblia hawajatajwa!! So sad

Tuache mahaba ya kidini watanzania
Yesu alikuwa seremala tu hakuna zaidi ya hapo ukiacha mafundisho yake ya Kimungu
 
Halafu tatizo zitor Jr unaamini kila kitu unachosoma bila uchunguzi hivi Esau anamuua vipi nimrodi
Hivi kati ya Esau na nimrodi nani alimtangulia mwenzake duniani
 
Halafu tatizo zitor Jr unaamini kila kitu unachosoma bila uchunguzi hivi Esau anamuua vipi nimrodi
Hivi kati ya Esau na nimrodi nani alimtangulia mwenzake duniani
Swali muhimu sana wanapenda hadithi Sana hawa
 
Halafu tatizo zitor Jr unaamini kila kitu unachosoma bila uchunguzi hivi Esau anamuua vipi nimrodi
Hivi kati ya Esau na nimrodi nani alimtangulia mwenzake duniani
Je kama kulikua na Esau wa kipindi cha nimrod?
 
Yesu alikuwa seremala tu hakuna zaidi ya hapo ukiacha mafundisho yake ya Kimungu
Hakuna au haufahamu?? Shida mmejifunga kwenye Biblia tu kana kwamba hakuna maisha ya Yesu ambayo yameweza kurekodiwa nje ya Biblia.... Trust me kama Nyerere naye angeandikwa kwenye Biblia kuna watu mngebisha kuwa hakuwahi kuwa Rais wa Tanzania kisa "Biblia haijasema"

Tutafika kweli!!
 
Halafu tatizo zitor Jr unaamini kila kitu unachosoma bila uchunguzi hivi Esau anamuua vipi nimrodi
Hivi kati ya Esau na nimrodi nani alimtangulia mwenzake duniani
Mkuu muwe mnasoma vizuri post hiki ndio nilichoandika
.... baada ya Nimrod kuuawa na Shem (ingawa maandiko mengine yanadai ni Esau) huyu mwanamama akawa ndio mtawala wa Babeli......
Hayo mabano hukuyaona ama?? Tujifunze kusoma kwa makini kabla ya kucomment

Cc kilwakivinje Kasomeko
 
Kama Esau alimua nimrodi kwa kitendo hicho alimpendeza mungu kuliko mdogo ake aliekuwa anapika tu nyumbani kwanini mungu hakumbariki esau
 
Hakuna au haufahamu?? Shida mmejifunga kwenye Biblia tu kana kwamba hakuna maisha ya Yesu ambayo yameweza kurekodiwa nje ya Biblia.... Trust me kama Nyerere naye angeandikwa kwenye Biblia kuna watu mngebisha kuwa hakuwahi kuwa Rais wa Tanzania kisa "Biblia haijasema"

Tutafika kweli!!
Kwa hiyo unabisha hakuwa fundi seremala
Katika Biblia tunasimuliwa Utoto wa yesu hadi kufikia umri wa miaka 12
Baadae tunamsikia tena Akiwa na miaka 30
Kuna miaka hapa katikati 13-29 hii ndio watu huuliza alikuwa wapi na anafanya nini
Ukifuatilia kwa makini utagundua baba yake mlezi Yosefu alikuwa fundi na inasemekana pia alishiriki kulijenga hekalu ambalo yesu alisema anaweza kulibomoa kwa siku tatu ukifuatilia kwa makini utagundua wazazi walikuwa wanawafundisha watoto wao kile wanachokifanya na Yosefu hivyo hivyo alimfundisha Yesu kuwa fundi mzuri kama yeye
Kwa hiyo ukisema alikuwa wapi kuanzia 13-29 unagundua tu alikuwa akijishuhulisha na ufundi kikamilifu
 
Kama Esau alimua nimrodi kwa kitendo hicho alimpendeza mungu kuliko mdogo ake aliekuwa anapika tu nyumbani kwanini mungu hakumbariki esau
Esau ameishi baadae sana
Labda angeniambia shemu alimuua ningeelewa lakini kwa kuwa ni mtu anaamini stori tu kisa imeandikwa bila kuifanyia uchunguzi na yeye akaamini Esau alimuua nimrodi
 
Back
Top Bottom