Wanaosema Nimrodi shujaa wa kwanza Duniani alioa mke aitwae semiranus wananukuu sehemu gani ya Biblia

Wanaosema Nimrodi shujaa wa kwanza Duniani alioa mke aitwae semiranus wananukuu sehemu gani ya Biblia

Kwa hiyo unabisha hakuwa fundi seremala
Katika Biblia tunasimuliwa Utoto wa yesu hadi kufikia umri wa miaka 12
Baadae tunamsikia tena Akiwa na miaka 30
Kuna miaka hapa katikati 13-29 hii ndio watu huuliza alikuwa wapi na anafanya nini

Ukifuatilia kwa makini utagundua baba yake mlezi Yosefu alikuwa fundi na inasemekana pia alishiriki kulijenga hekalu ambalo yesu alisema anaweza kulibomoa kwa siku tatu ukifuatilia kwa makini utagundua wazazi walikuwa wanawafundisha watoto wao kile wanachokifanya na Yosefu hivyo hivyo alimfundisha Yesu kuwa fundi mzuri kama yeye
Kwa hiyo ukisema alikuwa wapi kuanzia 13-29 unagundua tu alikuwa akijishuhulisha na ufundi kikamilifu
Unaijua historia ya biblia!?.. Unajua kuna kipindi ilikuwa kumilikia biblia ni kosa kanisa linakuchoma moto!.. Unajua zamani padri pekee ndio alikuwa anasoma biblia!?.. Unajua wanini kuna vitabu vinaitwa Apokrifa!?..
 
Unaijua historia ya biblia!?.. Unajua kuna kipindi ilikuwa kumilikia biblia ni kosa kanisa linakuchoma moto!.. Unajua zamani padri pekee ndio alikuwa anasoma biblia!?.. Unajua wanini kuna vitabu vinaitwa Apokrifa!?..
Hii iandalie thread ni somo pana hili
 
We umeleta kama ushahidi na inaonekana uliamini kabisa Esau alimuua nimrodi
Mimi nimesema Esau ndio amemumua Nimrod ndio nikaweka angalizo kuwa WENGINE wanadai!!! Alafu labda nkusaidie tu Nimrod halikuwa jina la mtu bali cheo maana lina maana ya MPINZANI hivyo Nimrod wa kwanza alipokufa wanawe wote kuanzia Mardon waliitwa Nimrod pia na kikawa cheo kama tu unavyoona Kabaka au Mtemi..... Hivyo ukisoma kitabu cha Yasheri ile siku ambayo Esau ndio alirudi ana njaa hadi akauza haki ya uzao wa kwanza alikuwa ametoka kupigana na Nimrod (cheo) na alipomuua hapo akawa amechoka sana na the rest is history. Nafikiri tunaelewana sasa muhimu tusome kwa makini kabla ya kuhitimisha.
 
Esau ameishi baadae sana
Labda angeniambia shemu alimuua ningeelewa lakini kwa kuwa ni mtu anaamini stori tu kisa imeandikwa bila kuifanyia uchunguzi na yeye akaamini Esau alimuua nimrodi
Hapana sio mbali kama unavyotaka kuaminisha watu kumbuka Nimrod alikuwa na kama miaka 125 kipindi Abraham anaomdoka haran... Na alikuwa na miaka 150 kipindi Isaka anazaliwa na alikuwa na miaka 210 na kumi kipindi Esau anazaliwa hivyo inamaanisha mpaka Esau anamuua Nimrod (assuming book of jasher inamuongelea Nimrod mkubwa) ina maana aliuawa akiwa na miaka 250 huku Esau akiwa na average miaka 40

Sasa nikuulize kwa miaka ilivyohesabiwa ''kibiblia'' je enzi za Abraham kufika miaka 250 ilikuwa such an issue?? Je kwa uchanganuzi huu huoni kuna uwezekano hata Esau akamuua Nimrod?? Mbona hushangai Shem ambayo alizaliwa kabla ya gharika aliwezaje kumuua kitukuu chake yaani Nimrod ila Nimrod ndio ashindwe kuua kitukuu chake??

Tusaidiane hapa
 
Kwa hiyo unabisha hakuwa fundi seremala
Katika Biblia tunasimuliwa Utoto wa yesu hadi kufikia umri wa miaka 12
Baadae tunamsikia tena Akiwa na miaka 30
Kuna miaka hapa katikati 13-29 hii ndio watu huuliza alikuwa wapi na anafanya nini
Ukifuatilia kwa makini utagundua baba yake mlezi Yosefu alikuwa fundi na inasemekana pia alishiriki kulijenga hekalu ambalo yesu alisema anaweza kulibomoa kwa siku tatu ukifuatilia kwa makini utagundua wazazi walikuwa wanawafundisha watoto wao kile wanachokifanya na Yosefu hivyo hivyo alimfundisha Yesu kuwa fundi mzuri kama yeye
Kwa hiyo ukisema alikuwa wapi kuanzia 13-29 unagundua tu alikuwa akijishuhulisha na ufundi kikamilifu
Tusipende kukimbilia kuhitimisha.... Shida sio kazi tu kuna wanatheolojia mpaka wanadai Yesu alioa na alikua na watoto wengine wakadai alienda misri kuishi wengine wakadai alienda Tibet n.k n.k sasa haya yote mimi nikikuuliza ww je ni kweli alienda kuishi misri je ukikataa utatoa wapi reference kuwa sio kweli?? Je alioa au hakuoa?? Haya yote Biblia haisemi je mtu akienda kusaka taarifa za kihistoria tu kuhusu Yesu ajifunze itakuwa dhambi kisa haiko katika Biblia??

Ndio maana nikasema pale juu kwamba laiti Nyerere angekuwa katajwa kwenye Biblia ila wasingetaja cheo chake kuna watu humu wangekataa hakuwahi kuwa Rais ukiwauliza kisa.... BIBLIA HAIJASEMA!!!
 
Mkuu book of jasher inasema Nimrod aliuawa na Esau na naomba ieleweke kwamba Biblia inakitambua kitabu cha Yashari

Joshua 10:13
je! Hayakuandikwa ndani ya kitabu cha Yashari? Basi jua likasimama kimya katikati ya mbingu, wala halikufanya haraka kuchwa kama muda wa siku nzima.

2 Samuel 1:18
18 (kama ilivyoandikwa katika kitabu cha Yashari), akasema,Wana wa Yuda na wafundishwe haya.

So kama unaamini Biblia ni lazima ukiamini book of jasher otherwise kuna vitabu zaidi ya 100 nje ya bible vinavyoeleza kisa kizima cha Nimrod

walioandika hivyo vitabu na hata Biblia pia walisimuliwa na weni hawakuwa na elimu ya kutosha. ndo maana wanachanganya nyakati. Nimrod aliishi zamani sana hata kabla ya Ibrahimu. Hivyo haiwezekani Nimrod auawe tena na Esau, mjukuu wa Ibrahimu.
 
Biblia sio kitabu cha mwisho kuandikwa.
Ngoja nikupandishie kitabu umsome NIMROD
 
Hapana sio mbali kama unavyotaka kuaminisha watu kumbuka Nimrod alikuwa na kama miaka 125 kipindi Abraham anaomdoka haran... Na alikuwa na miaka 150 kipindi Isaka anazaliwa na alikuwa na miaka 210 na kumi kipindi Esau anazaliwa hivyo inamaanisha mpaka Esau anamuua Yakobo (assuming book of jasher inamuongelea Nimrod mkubwa) ina maana aliuawa akiwa na miaka 250 huku Esau akiwa na average miaka 40

Sasa nikuulize kwa miaka ilivyohesabiwa ''kibiblia'' je enzi za Abraham kufika miaka 250 ilikuwa such an issue?? Je kwa uchanganuzi huu huoni kuna uwezekano hata Esau akamuua Nimrod?? Mbona hushangai Shem ambayo alizaliwa kabla ya gharika aliwezaje kumuua kitukuu chake yaani Nimrod ila Nimrod ndio ashindwe kuua kitukuu chake??

Tusaidiane hapa
Biblia inatuambia watoto wa Nuhu ni Hamu, Yafeti na Shemu. hivyo wewe kushangaa Shemu kuwa hai baada ya gharika ni kutokusoma maandiko maana Biblia inasema Nuhu aliingia katika safina na wanawe wote na wake za wana wake. Buta Suala la Esau mjukuu wa Ibrahimu kuja kumkuta Nimrod siyo rahisi maana Ibrahimu mwenyewe amezaliwa miaka mingi sana baada ya gharika.
 
Mimi nimesema Esau ndio amemumua Nimrod ndio nikaweka angalizo kuwa WENGINE wanadai!!! Alafu labda nkusaidie tu Nimrod halikuwa jina la mtu bali cheo maana lina maana ya MPINZANI hivyo Nimrod wa kwanza alipokufa wanawe wote kuanzia Mardon waliitwa Nimrod pia na kikawa cheo kama tu unavyoona Kabaka au Mtemi..... Hivyo ukisoma kitabu cha Yasheri ile siku ambayo Esau ndio alirudi ana njaa hadi akauza haki ya uzao wa kwanza alikuwa ametoka kupigana na Nimrod (cheo) na alipomuua hapo akawa amechoka sana na the rest is history. Nafikiri tunaelewana sasa muhimu tusome kwa makini kabla ya kuhitimisha.
Umeanza kujitetea na bado unaendelea kuzusha mambo
Nimrodi ni jina la mtu na halina maana ya kwamba ni cheo kilichokuwa kinatumika kwa sababu hata huyo nimrodi lengo lake la kuwatawala watu japo lilitimia lakini halikudumu sana aliuawa mapema tu
 
Hapana sio mbali kama unavyotaka kuaminisha watu kumbuka Nimrod alikuwa na kama miaka 125 kipindi Abraham anaomdoka haran... Na alikuwa na miaka 150 kipindi Isaka anazaliwa na alikuwa na miaka 210 na kumi kipindi Esau anazaliwa hivyo inamaanisha mpaka Esau anamuua Yakobo (assuming book of jasher inamuongelea Nimrod mkubwa) ina maana aliuawa akiwa na miaka 250 huku Esau akiwa na average miaka 40

Sasa nikuulize kwa miaka ilivyohesabiwa ''kibiblia'' je enzi za Abraham kufika miaka 250 ilikuwa such an issue?? Je kwa uchanganuzi huu huoni kuna uwezekano hata Esau akamuua Nimrod?? Mbona hushangai Shem ambayo alizaliwa kabla ya gharika aliwezaje kumuua kitukuu chake yaani Nimrod ila Nimrod ndio ashindwe kuua kitukuu chake??

Tusaidiane hapa
Nimekuambia Acha kusoma vitu bila uchunguzi
Esau alimuua vipi yakobo
Esau hakumuua yakobo na yakobo hakuuawa bali alikufa kifo cha kawaida tu cha uzee wake
 
Tusipende kukimbilia kuhitimisha.... Shida sio kazi tu kuna wanatheolojia mpaka wanadai Yesu alioa na alikua na watoto wengine wakadai alienda misri kuishi wengine wakadai alienda Tibet n.k n.k sasa haya yote mimi nikikuuliza ww je ni kweli alienda kuishi misri je ukikataa utatoa wapi reference kuwa sio kweli?? Je alioa au hakuoa?? Haya yote Biblia haisemi je mtu akienda kusaka taarifa za kihistoria tu kuhusu Yesu ajifunze itakuwa dhambi kisa haiko katika Biblia??

Ndio maana nikasema pale juu kwamba laiti Nyerere angekuwa katajwa kwenye Biblia ila wasingetaja cheo chake kuna watu humu wangekataa hakuwahi kuwa Rais ukiwauliza kisa.... BIBLIA HAIJASEMA!!!
Ndio maana nikakuambia ukisoma kitu usikiamini tu kwa kuwa kimeandikwa sijui na nani
Hebu chunguza ni kweli? Katika kuandika vitu watu wako kibiashara zaidi huandika matukio ya uongo ili kupata pesa tu na kwa sababu wanajua watu ni mazuzu hawajishuhulishi kuutafuta ukweli zaidi
Katika kutembea huko wakosema inawezekana alitembea maana huyu alikuwa ni fundi huenda alienda huko kwa sababu ya kazi yake
Ila swala la kuoa hilo halina Uthibitisho ni watu wanazusha tu kwa sababu hata wazazi wake walezi walijua mtoto wao haitaji kuoa na walijua vizuri ni kwa nini hatakiwi kuoa kutokana na maajabu ya kuzaliwa kwake
 
Biblia inatuambia watoto wa Nuhu ni Hamu, Yafeti na Shemu. hivyo wewe kushangaa Shemu kuwa hai baada ya gharika ni kutokusoma maandiko maana Biblia inasema Nuhu aliingia katika safina na wanawe wote na wake za wana wake. Buta Suala la Esau mjukuu wa Ibrahimu kuja kumkuta Nimrod siyo rahisi maana Ibrahimu mwenyewe amezaliwa miaka mingi sana baada ya gharika.
Asante mkuu maana naongea na mtu anaeamini stori za watu bila kuzifanyia uchunguzi kwanza
 
Mkuu book of jasher inasema Nimrod aliuawa na Esau na naomba ieleweke kwamba Biblia inakitambua kitabu cha Yashari

Joshua 10:13
je! Hayakuandikwa ndani ya kitabu cha Yashari? Basi jua likasimama kimya katikati ya mbingu, wala halikufanya haraka kuchwa kama muda wa siku nzima.

2 Samuel 1:18
18 (kama ilivyoandikwa katika kitabu cha Yashari), akasema,Wana wa Yuda na wafundishwe haya.

So kama unaamini Biblia ni lazima ukiamini book of jasher otherwise kuna vitabu zaidi ya 100 nje ya bible vinavyoeleza kisa kizima cha Nimrod
Esau yupi huyo!? Wa kwenye Biblia au Esau mwingine!???? Nachelea kusema kama ni Esau yule wa kwenye Biblia then hawa waliishi nyakati tofauti sana, yaani hata hawafahamiani kabisa zaidi ya kusomana tu kwenye maandishi but again hata kusomana pia I doubt cause nyakati zao, maandishi hayakuwepo so masimulizi ndio yaliotawala zaidi.
 
Kwa hiyo unabisha hakuwa fundi seremala
Katika Biblia tunasimuliwa Utoto wa yesu hadi kufikia umri wa miaka 12
Baadae tunamsikia tena Akiwa na miaka 30
Kuna miaka hapa katikati 13-29 hii ndio watu huuliza alikuwa wapi na anafanya nini
Ukifuatilia kwa makini utagundua baba yake mlezi Yosefu alikuwa fundi na inasemekana pia alishiriki kulijenga hekalu ambalo yesu alisema anaweza kulibomoa kwa siku tatu ukifuatilia kwa makini utagundua wazazi walikuwa wanawafundisha watoto wao kile wanachokifanya na Yosefu hivyo hivyo alimfundisha Yesu kuwa fundi mzuri kama yeye
Kwa hiyo ukisema alikuwa wapi kuanzia 13-29 unagundua tu alikuwa akijishuhulisha na ufundi kikamilifu
...alikuwa India kwa mabudha
....baadaye alitorokea huko,_Kashmir na kufia na kuzikwa huko
 
Umeanza kujitetea na bado unaendelea kuzusha mambo
Nimrodi ni jina la mtu na halina maana ya kwamba ni cheo kilichokuwa kinatumika kwa sababu hata huyo nimrodi lengo lake la kuwatawala watu japo lilitimia lakini halikudumu sana aliuawa mapema tu
..nani alimuua mkuu...hebu tuanzie hapo
 
Ndio maana nikakuambia ukisoma kitu usikiamini tu kwa kuwa kimeandikwa sijui na nani
Hebu chunguza ni kweli? Katika kuandika vitu watu wako kibiashara zaidi huandika matukio ya uongo ili kupata pesa tu na kwa sababu wanajua watu ni mazuzu hawajishuhulishi kuutafuta ukweli zaidi
Katika kutembea huko wakosema inawezekana alitembea maana huyu alikuwa ni fundi huenda alienda huko kwa sababu ya kazi yake
Ila swala la kuoa hilo halina Uthibitisho ni watu wanazusha tu kwa sababu hata wazazi wake walezi walijua mtoto wao haitaji kuoa na walijua vizuri ni kwa nini hatakiwi kuoa kutokana na maajabu ya kuzaliwa kwake
...maajabu gani....hebu fafanua
 
Mimi nimesema Esau ndio amemumua Nimrod ndio nikaweka angalizo kuwa WENGINE wanadai!!! Alafu labda nkusaidie tu Nimrod halikuwa jina la mtu bali cheo maana lina maana ya MPINZANI hivyo Nimrod wa kwanza alipokufa wanawe wote kuanzia Mardon waliitwa Nimrod pia na kikawa cheo kama tu unavyoona Kabaka au Mtemi..... Hivyo ukisoma kitabu cha Yasheri ile siku ambayo Esau ndio alirudi ana njaa hadi akauza haki ya uzao wa kwanza alikuwa ametoka kupigana na Nimrod (cheo) na alipomuua hapo akawa amechoka sana na the rest is history. Nafikiri tunaelewana sasa muhimu tusome kwa makini kabla ya kuhitimisha.
Umeanza kujichanganya utakaa Sawa tu
 
Back
Top Bottom