Wanaosema Nimrodi shujaa wa kwanza Duniani alioa mke aitwae semiranus wananukuu sehemu gani ya Biblia

Wanaosema Nimrodi shujaa wa kwanza Duniani alioa mke aitwae semiranus wananukuu sehemu gani ya Biblia

Umeanza kujitetea na bado unaendelea kuzusha mambo
Nimrodi ni jina la mtu na halina maana ya kwamba ni cheo kilichokuwa kinatumika kwa sababu hata huyo nimrodi lengo lake la kuwatawala watu japo lilitimia lakini halikudumu sana aliuawa mapema tu
Aliyemuua nimrodi ni shem mkuu
 
Biblia inatuambia watoto wa Nuhu ni Hamu, Yafeti na Shemu. hivyo wewe kushangaa Shemu kuwa hai baada ya gharika ni kutokusoma maandiko maana Biblia inasema Nuhu aliingia katika safina na wanawe wote na wake za wana wake. Buta Suala la Esau mjukuu wa Ibrahimu kuja kumkuta Nimrod siyo rahisi maana Ibrahimu mwenyewe amezaliwa miaka mingi sana baada ya gharika.
Mkuu tunachoshindwa kuelewana ni nini

1.Nimeweka wazi kuwa shem na Esau kwa vyanzo tofauti ndio walimuua Nimrod....

2. Hapo chini nikaelezea nadharia ya kwanini Esau anatajwa kumuua Nimrod kwenye kitabu cha yasher ndio nikaconclude kuwa hata mtoto wa Nimrod aliitwa Nimrod na ikawa cheo kwa watawala wote wa kutoka ukoo wa Nimrod

3. Kuna mchangiaji mmoja akasema kutokana na umri haiwezekani Esau kumuua Nimrod

4. Mie nimepiga hesabu kwamba kwa miaka ya Biblia kuna watu waliweza kuishi zaidi ya miaka 300 hivyo kwa hesabu nilizopiga Nimrod angekuwa na miaka takriban 200+ Esau akizaliwa

5. Ndio hapo najenga hoja kwamba gap la miaka 200 asishangae maana hata Shem naye kamzidi Nimrod miaka zaidi ya 300

6. Nimrod ni kitukuu kabisa cha Nuhu kupitia Ham na mwanaye Cush.... Shem naye anakuwa vimepita vizazi 7 ndio kazaliwa Abraham

7. Kwa mahesabu niliyoweka hapo juu niambie je which is more realistic kati ya Esau kumuua Nimrod au Shem kumuua Nimrod

Na naomba ieleweke hapa hakuna maoni yangu maana naona tunaanza kushambuliana personalities

Esau kumuua Nimrod ni kwa mujibu wa kitabu cha yasheri ambacho Biblia inakitambua

Shem kumuua Nimrod ni kwa mujibu wa mwanahistoria credible zaidi wa kiyahudi Flavius Josephus

So tujikite kwenye vyanzo sio anayewasilisha vyanzo....

864px-Genealogy_shem.gif

genealogy_ham.gif

Embu angalia hii family tree alafu wote mnaotetea hii objection mje hapa mseme kwanini mnashangaa Nimrod kuuawa na Esau ila Hamshangai Shem kumuua Nimrod bearing in mind kwamba kitabu cha Yasheri vinatambua Nimrod alikuwa mfalme kipindi Abraham anazaliwa!!

Kizuio kilwakivinje eden kimario Mazindu Msambule

Na mje na hoja sio mipasho tena
 
Nimekuambia Acha kusoma vitu bila uchunguzi
Esau alimuua vipi yakobo
Esau hakumuua yakobo na yakobo hakuuawa bali alikufa kifo cha kawaida tu cha uzee wake
I meant nimrod soma kwenye mabano hyo ni typing error
 
Umeanza kujitetea na bado unaendelea kuzusha mambo
Nimrodi ni jina la mtu na halina maana ya kwamba ni cheo kilichokuwa kinatumika kwa sababu hata huyo nimrodi lengo lake la kuwatawala watu japo lilitimia lakini halikudumu sana aliuawa mapema tu
Mkuu mbona hatuelewani dah..... Nimeshakuambia Nimrod inamaanisha MPINZANI ila original name yake ni Enmekar na hata ukitaka kujua hilo kwenye Bible Nimrod baadae anabadilika na kuitwa AMRAPHEL soma mwanzo 14 mstari wa 1 hadi 9 ikimaanisha aliyeangushiwa (mnara)!

Na baadae alipokufa watoto wake wakaanza kuitwa Nimrod ndio maana nikasuggest kwamba licha ya jasher kusema Nimrod aliuawa na Esau kuna possibility aliuawa Nimrod mjukuu na sio Nimrod Enmekar

Soma hapa wenye lugha yao walivyochambua majina matatu ya Nimrod kwa kiebrania

Genesis Rabbah 42 says Amraphel was called by three names: Cush, after his father's name (Gen. 10:8), Nimrod, because he established rebellion (mrd) in the world, and Amraphel, as he declared (amar) "I will cast down" (apilah)

Haya naomba ww mtanzania unisaidie kupinga hoja ya waebrania kwamba Nimrod lilikuwa jina halisi na sio ''CHEO'' kama anavyoitwa mtu fulani JIWE!!

Na uje na hoja sio mipasho
 
Naona mkuu zitor Jr umepatikana leo
Kuamini amini vitu bila uchunguzi sio sahihi mkuu
Hapa hatupo kufanya mashindano mkuu tupo kuelemishana na kushare mawazo so msiingie na mood ya kupambana maana hatutogain kitu kama hoja hujaikubali unapinga kwa hoja au unauliza swali sio kusema nmekamatwa sijui napotosha n.k hatuwi great thinkers

Kwa kusema hayo ningeomba uonyeshe wapi hapo ''nimekamatika' ili niweze ''kutoroka'' 😉
 
Back
Top Bottom