Wanaosema Rais Magufuli hajui Kiingereza leo amewasuta

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
“Nilipoingia madarakani nikaanza kutoa hotuba kwa Kiswahili, niliambiwa sijui Kiingereza wala sikujali, UDSM nimekaa miaka mitatu nikisoma masomo yangu ya Sayansi, Chemistry na Mathematics zote zinaandikwa kwa Kiingereza, lakini Mtu akasema sijui Kiingereza”-JPM kwenye Siku ya Sheria Dodoma leo.

“Nimefanya PHD bado wanasema sijui Kiingereza, na nikakaa mwaka mzima Uingereza, sijui nilikuwa nazungumza Kisukuma kule!, wakasema sijui Kiingereza, niliamua kuzungumza Kiswahili na kuki-promote kwasababu ni lugha iliyoachwa na Baba wa Taifa”-JPM

 
Hivi wafahamu kwamba raisi Magufuli na balozi wa sasa wa UK Tanzania wamesoma pamoja akiwa UK?
 
People used to die in the rake.
Yes, that is broken english!

Broken English refers to using the language incorrectly. It is not applicable to common small grammatical errors, but rather major grammatical problems of incorrect use of words, incorrect verb tenses, improper use of articles, etc., usually with a very limited vocabulary.
 
Putin is fluent in Germany he did his A level in Germany language and scored an A.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…