Did you mean "fluently"?frequently
Hivi wafahamu kwamba raisi Magufuli na balozi wa sasa wa UK Tanzania wamesoma pamoja akiwa UK?“Nilipoingia madarakani nikaanza kutoa hotuba kwa Kiswahili, niliambiwa sijui Kiingereza wala sikujali, UDSM nimekaa miaka mitatu nikisoma masomo yangu ya Sayansi, Chemistry na Mathematics zote zinaandikwa kwa Kiingereza,lakini Mtu akasema sijui Kiingereza”-JPM kwenye Siku ya Sheria Dodoma leo
“Nimefanya PHD bado wanasema sijui Kiingereza, na nikakaa mwaka mzima Uingereza, sijui nilikuwa nazungumza Kisukuma kule!, wakasema sijui Kiingereza, niliamua kuzungumza Kiswahili na kuki-promote kwasababu ni lugha iliyoachwa na Baba wa Taifa”-JPM
View attachment 1691833
Yes, that is broken english!People used to die in the rake.
Kujua unajua LAKINI Broken english
Kuna watu wamesoma na Albert Einstein!Hivi wafahamu kwamba raisi Magufuli na balozi wa sasa wa UK Tanzania wamesoma pamoja akiwa UK?
Uko sahihi mkuu, unaona sasa mpaka nakosea. Na yeye (jiwe) akubali tu hii lugha ya kuja tu kutoijua vizuri sio tatizo.did you mean "fluently"?
Kwa kiingereza chake anajitahidi, kawaida wengi wanaosoma masomo ya science viingereza vyao huwa wanavijua wenyewe.
Raisi Magufuli ni sawa na maraisi Putin, Xi Jinping, Angela Markel, Emanuel Macron na wengine ambao hutumia lugha mama.Kuna watu wamesoma na Albert Einstein!
Sio inakisea,sema hujuiUko sahihi mkuu, unaona sasa mpaka nakosea. Na yeye (jiwe) akubali tu hii lugha ya kuja tu kutoijua vizuri sio tatizo.
Putin is fluent in Germany he did his A level in Germany language and scored an A.Raisi Magufuli ni sawa na maraisi Putin, Xi Jinping, Angela Markel, Emanuel Macron na wengine ambao hutumia lugha mama.
Hicho kiingereza ni lugha kama lugha zingine za kawaida sana.
Kufahamu kuzungumza kiingereza hakumaanishi wewe umesoma sana na kuelimika.
Yes mkuu kukosea maana yake sijui na sio dhambi kwa sababu kila siku tunajifunza.sio inakisea,sema hujui