Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Not broken English, but a language close to EnglishKujua unajua LAKINI Broken english
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Not broken English, but a language close to EnglishKujua unajua LAKINI Broken english
Sasa hiyo ni sifa ingine ya ziada yaani waitwa multilingual.Putin is fluent in Germany he did his A level in Germany language and scored an A.
Siku hizi mpaka rais anasutana?“Nilipoingia madarakani nikaanza kutoa hotuba kwa Kiswahili, niliambiwa sijui Kiingereza wala sikujali, UDSM nimekaa miaka mitatu nikisoma masomo yangu ya Sayansi, Chemistry na Mathematics zote zinaandikwa kwa Kiingereza,lakini Mtu akasema sijui Kiingereza”-JPM kwenye Siku ya Sheria Dodoma leo
“Nimefanya PHD bado wanasema sijui Kiingereza, na nikakaa mwaka mzima Uingereza, sijui nilikuwa nazungumza Kisukuma kule!, wakasema sijui Kiingereza, niliamua kuzungumza Kiswahili na kuki-promote kwasababu ni lugha iliyoachwa na Baba wa Taifa”-JPM
View attachment 1691833
Wafurahisha barza.Binafsi nina tatizo na Magufuri kwenye baadhi ya mambo ila sijafikia ujinga wa hawa wanaoshangaa kwanini haimudu lugha ya kiingereza.
Ni sawa na mimi nimshangae Joe Biden kwa kutokujua kifaransa au kiswahiliWafurahisha barza.
Watanzania walio wengi hata kama wamesoma hadi chuo kikuu, huwa hatuongei ngeli iliyonyooka mkuu. Hiyo ngeli jamaa anayosukuma inatosha kabisa, after all Magu ameathiriwa na lugha za wazazi(mother tongue), lake..rake, welcome...werokam etc!Kujua unajua LAKINI Broken english
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]daahPeople used to die in the rake.
Umemaliza kazi!Not broken English, but a language close to English
Mtajitetea lkn aibu iko pale paleNi sawa na mimi nimshangae Joe Biden kwa kutokujua kifaransa au kiswahili
Ni utoto!
Yes, a PhD holder is expected to be a master of English!Binafsi nina tatizo na Magufuri kwenye baadhi ya mambo ila sijafikia ujinga wa hawa wanaoshangaa kwanini haimudu lugha ya kiingereza.
Kiingereza hao wote uliowataja wanakijua vemaRaisi Magufuli ni sawa na maraisi Putin, Xi Jinping, Angela Markel, Emanuel Macron na wengine ambao hutumia lugha mama.
Hicho kiingereza ni lugha kama lugha zingine za kawaida sana.
Kufahamu kuzungumza kiingereza hakumaanishi wewe umesoma sana na kuelimika.
Not broken English, but a language close to English