Wanaosema Rais Magufuli hajui Kiingereza leo amewasuta

Wanaosema Rais Magufuli hajui Kiingereza leo amewasuta

Putin is fluent in Germany he did his A level in Germany language and scored an A.
Sasa hiyo ni sifa ingine ya ziada yaani waitwa multilingual.

Hiyo ni sifa mojawapo ya kuwa jasusi mahiri hivyo kwa Putin ni sawa ilikuwa ni lazima afahamu lugha muhimu za ziada.

Lakini wapo Multilingual hata foreign ofisi yetu ni kwa ajili ya kazi maalum kama ukalimani na kadhalika..
 
“Nilipoingia madarakani nikaanza kutoa hotuba kwa Kiswahili, niliambiwa sijui Kiingereza wala sikujali, UDSM nimekaa miaka mitatu nikisoma masomo yangu ya Sayansi, Chemistry na Mathematics zote zinaandikwa kwa Kiingereza,lakini Mtu akasema sijui Kiingereza”-JPM kwenye Siku ya Sheria Dodoma leo

“Nimefanya PHD bado wanasema sijui Kiingereza, na nikakaa mwaka mzima Uingereza, sijui nilikuwa nazungumza Kisukuma kule!, wakasema sijui Kiingereza, niliamua kuzungumza Kiswahili na kuki-promote kwasababu ni lugha iliyoachwa na Baba wa Taifa”-JPM
View attachment 1691833
Siku hizi mpaka rais anasutana?
 
Not broken English, but a language close to English
Umemaliza kazi!
Broken English refers to using the language incorrectly. It is not applicable to common small grammatical errors, but rather major grammatical problems of incorrect use of words, incorrect verb tenses, improper use of articles, etc., usually with a very limited vocabulary.
 
Raisi Magufuli ni sawa na maraisi Putin, Xi Jinping, Angela Markel, Emanuel Macron na wengine ambao hutumia lugha mama.

Hicho kiingereza ni lugha kama lugha zingine za kawaida sana.

Kufahamu kuzungumza kiingereza hakumaanishi wewe umesoma sana na kuelimika.
Kiingereza hao wote uliowataja wanakijua vema
 
Not broken English, but a language close to English

Magufuli ajuwe Kingereza safi au asijuwe siyo hoja. Kila mtu anatakiwa kujuwa lugha yake, Mjerumani anatakiwa kujuwa Kijermani. Mwingereza kwake Kingereza lazima. Mtanzania lazima ajuwe Kiswahili na anaweza kuiongezea lugha yake ya asili, kwa mfano Magufuli tunategemea ajuwe Kisukuma. First language ni ile lugha anategemewa kuifahamu.

Nafikiri wenzangu mmewahi kuwasikia Wamarekani, Waingereza, n.k. wakijaribu kuongea Kiswahili lakini huwa kibovu. Wageni wa kimataiofa wakitoka nchi zisizoongea Kingereza wakienda nchi zinazoongea Kingereza huongea Kingereza lakini hicho Kingereza sioyo Kizuri kama cha wazawa. Kwa hiyo kuongea lugha ya kigeni bila kukosea ni kitu kizuri lakini pia ukifanya makosa machache siyo aibu, maana siyo lugha yako. Mbona watu toka mataifa mengine (hasa wazungu) wakiboronga kingereza hatuwasemi?

Kama alivyosema Magufuli mwenyewe, kamaliza sekondari akitumia Kingereza. Amepeta stashahada (degree) ya kwanza akitumia Kingereza. Amepata master akitumia Kingereza. Amepata Ph.D. aklitumia Kingereza. Mbona huko kote hakushindwa kwa sababu ya kutojuwa Kingereza. Hivi ni kweli hao mnaomkosoa mnajuwa Kingereza? Kama mnajuwa Kingereza mbvona mnaandika para moja huku kukiwa na makosa? je, mkiambiwa mhutubie siyo kashikashi. Mwisho ya yote, lugha siyo akili. Luggha kazi yake ni kutuwezesha kuelewana. Kama unaweza kumuelewa mtu alikuwa na maana gani hasa anapotumia lugha isdito yake, inatosha.
 
Hapa Jamii inakosea hata kama hamumpendi rais wa nchi, kwani kujua kingereza au kutokujua ni dhambi au kosa la jinai?? Tufanye ninyi mnajua Rais wetu yeye hajui, furahini sasa..
 
Back
Top Bottom