Mk54
JF-Expert Member
- Dec 29, 2016
- 1,996
- 3,950
Kujua unajua LAKINI Broken english
Broken English ni ipi ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kujua unajua LAKINI Broken english
Basi hayo maelezo yake angeyaongea kwa kiingereza fluently ili tuamini, aseme tu ukweli hajui kiingereza mbona sie wengine tuna ma PhD lakini lugha inatutatiza.
Utatetea sana lakini ukweli utabaki pale pale,,,Magufuli ajuwe Kingereza safi au asijuwe siyo hoja. Kila mtu anatakiwa kujuwa lugha yake, Mjerumani anatakiwa kujuwa Kijermani. Mwingereza kwake Kingereza lazima. Mtanzania lazima ajuwe Kiswahili na anaweza kuiongezea lugha yake ya asili, kwa mfano Magufuli tunategemea ajuwe Kisukuma. First language ni ile lugha anategemewa kuifahamu.
Nafikiri wenzangu mmewahi kuwasikia Wamarekani, Waingereza, n.k. wakijaribu kuongea Kiswahili lakini huwa kibovu. Wageni wa kimataiofa wakitoka nchi zisizoongea Kingereza wakienda nchi zinazoongea Kingereza huongea Kingereza lakini hicho Kingereza sioyo Kizuri kama cha wazawa. Kwa hiyo kuongea lugha ya kigeni bila kukosea ni kitu kizuri lakini pia ukifanya makosa machache siyo aibu, maana siyo lugha yako. Mbona watu toka mataifa mengine (hasa wazungu) wakiboronga kingereza hatuwasemi?
Kama alivyosema Magufuli mwenyewe, kamaliza sekondari akitumia Kingereza. Amepeta stashahada (degree) ya kwanza akitumia Kingereza. Amepata master akitumia Kingereza. Amepata Ph.D. aklitumia Kingereza. Mbona huko kote hakushindwa kwa sababu ya kutojuwa Kingereza. Hivi ni kweli hao mnaomkosoa mnajuwa Kingereza? Kama mnajuwa Kingereza mbvona mnaandika para moja huku kukiwa na makosa? je, mkiambiwa mhutubie siyo kashikashi. Mwisho ya yote, lugha siyo akili. Luggha kazi yake ni kutuwezesha kuelewana. Kama unaweza kumuelewa mtu alikuwa na maana gani hasa anapotumia lugha isdito yake, inatosha.
Wapinzani watapinga.Raisi Magufuli ni sawa na maraisi Putin, Xi Jinping, Angela Markel, Emanuel Macron na wengine ambao hutumia lugha mama.
Hicho kiingereza ni lugha kama lugha zingine za kawaida sana.
Kufahamu kuzungumza kiingereza hakumaanishi wewe umesoma sana na kuelimika.
Putin is fluent in Germany he did his A level in Germany language and scored an A.
Kwani kusema mtu fulani hajui au hawezi kitu fulani ndio maana yake kumchukia/kutompenda?...Hapa Jamii inakosea hata kama hamumpendi rais wa nchi, kwani kujua kingereza au kutokujua ni dhambi au kosa la jinai?? Tufanye ninyi mnajua Rais wetu yeye hajui, furahini sasa..
google.. do your h/wBroken English ni ipi ?
mtu haishi kwa mkate peke yakeAibu haiji kwa kutokujua kiingereza vizuri, watanzania wanahitaji maji, barabara, mahospitali na huduma zingine za kijamii ambazo hazihitaji ujue kiingereza kuzitekeleza
Nini faida ya kujua kiingereza kwa ufasaha?
Kuna maraisi wa Uganda na Kenya wanakijua kiingereza vizuri sana, unaweza kunambia hizo nchi zinatofauti gani na tz hadi sasa?
Sina tatizo kua level moja na magufuri, labda nikuulize tofauti yako wewe na sisi tusiojua kiingereza vizuri ni nini?Utashangaaje wakati hata jina lake hujui kuandika? Mbona naona kama mko level moja naye?
Basi kama anajua Kiingereza,wamwachie Ben.Ben saanane yuko wap
Mmmh!I like to eat saliva front
Ee ok OK.mtu haishi kwa mkate peke yake
Mbona sioni mahali aliposutwa mtu.Tanzania hasa Dar hakuna Corona.Mnahangaika nini.Mimi nilijifukiza nikiwa std 2 sasa ni mtu mzima kuna cha kunifundisha hapo.HAKUNA CORONA TANZANIA.WOOOOTE TULALE MBELRSiku hizi mpaka rais anasutana?
Toafauti ni kuwa nyie shule mlikuwa mnakariri hivyo elimu haiwasaidii chochote.Sina tatizo kua level moja na magufuri, labda nikuulize tofauti yako wewe na sisi tusiojua kiingereza vizuri ni nini?
Acha nyeupe ibaki nyeupe na nyeusi kama ilivyo.Usichanganye.1+1=2Hapa Jamii inakosea hata kama hamumpendi rais wa nchi, kwani kujua kingereza au kutokujua ni dhambi au kosa la jinai?? Tufanye ninyi mnajua Rais wetu yeye hajui, furahini sasa..
google.. do your h/w