Benzodiazepine
JF-Expert Member
- Oct 18, 2018
- 644
- 718
inakosea = unakoseaSio inakisea,sema hujui
Sio = Siyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inakosea = unakoseaSio inakisea,sema hujui
Ni tatizo la lafudhi tu hilo.Ofukozi pipo used to die in ze ze ze reki.
Ngoja siku aje Joe Biden hapo ndo tutajua yaliyomo yamo au hayamo..[emoji23]
Kwa kiingereza chake anajitahidi, kawaida wengi wanaosoma masomo ya science viingereza vyao huwa wanavijua wenyewe.
Kama Magufuli angekuwa haelewi masomo kwa sababu ya lugha inayofundishiwa hapo sawa ila suala la kuimudu vizuri lugha ni zaidi ya darasani kufundishwa kwa hiyo lugha tu.Ila mnasahau mzee lugha ya Kiingereza ni ligha yake ya kufundishiwa toka akiwa sekondari. Biden hajafundishiwa kwa Kiswahili au Kifaransa.
Una maana Magufuli hajui Kingereza cha kuandika na kuongea. Hivi alipokuwa anafundisha alikuwa akitumia lugha gani. Kila mtu anaweza kuamua kutumia lugha yoyote ile bora wale anaongea nao wanaijuwa hiyo lugha. Lugha yetu TZ ni Kiswahili, kwa hiyo Magu anayo haki kutumia Kiswahili anapoongea na Watanzania.Elimu ya Tz, kuanzia form one mpaka PhD iko kwa kiingeereza. Na PhD za Tz lazima zifanywe kwa Kiingeereza except PhD ya kiswahili.
Hivyo ni kitu abnormal kwa kwa mtu kumaliza PhD hajui Kiingeereza cha kuongea au anaongea hovyo.
Hata kama ni PhD ya kemia, bado hiyo kemia Katika usomaji na kufanya utafiti inakua addressed kwa Kiingeereza.