Wanaosema Rais Magufuli hajui Kiingereza leo amewasuta

Wanaosema Rais Magufuli hajui Kiingereza leo amewasuta

Mungu aturehemu sisi tunaojadili kuongea lugha ya taifa lengine kwa ufasaha karne ya 21.....Moja ya mafanikio ya waTz nikumpeleka mtoto "English-medium school"
 
Kwa kiingereza chake anajitahidi, kawaida wengi wanaosoma masomo ya science viingereza vyao huwa wanavijua wenyewe.
Ni wabongo wote tu mkuu. Kiingereza hakiwapendi. Ndiyo maana wakenya walijaa ktk shule za English medium, mpk hapo vikwazo dhidi yao viliooanza ndo wakapungua
 
“Nilipoingia madarakani nikaanza kutoa hotuba kwa Kiswahili, niliambiwa sijui Kiingereza wala sikujali, UDSM nimekaa miaka mitatu nikisoma masomo yangu ya Sayansi, Chemistry na Mathematics zote zinaandikwa kwa Kiingereza, lakini Mtu akasema sijui Kiingereza”-JPM kwenye Siku ya Sheria Dodoma leo.

“Nimefanya PHD bado wanasema sijui Kiingereza, na nikakaa mwaka mzima Uingereza, sijui nilikuwa nazungumza Kisukuma kule!, wakasema sijui Kiingereza, niliamua kuzungumza Kiswahili na kuki-promote kwasababu ni lugha iliyoachwa na Baba wa Taifa”-JPM

View attachment 1691833mas

“Nilipoingia madarakani nikaanza kutoa hotuba kwa Kiswahili, niliambiwa sijui Kiingereza wala sikujali, UDSM nimekaa miaka mitatu nikisoma masomo yangu ya Sayansi, Chemistry na Mathematics zote zinaandikwa kwa Kiingereza, lakini Mtu akasema sijui Kiingereza”-JPM kwenye Siku ya Sheria Dodoma leo.

“Nimefanya PHD bado wanasema sijui Kiingereza, na nikakaa mwaka mzima Uingereza, sijui nilikuwa nazungumza Kisukuma kule!, wakasema sijui Kiingereza, niliamua kuzungumza Kiswahili na kuki-promote kwasababu ni lugha iliyoachwa na Baba wa Taifa”-JPM

View attachment 1691833masomo.ya sayansi hayahitaji umahiri wa lugha ya kiingereza. Sayansi ni mahesabu na maformular tu. Na hata huko udsm mainjinia na wanasayansi wengi lugha inawapiga chenga, siyo siri wala aibu inaeleweka. Mwanasheria au political scientist au yeyote wa masomo ya Arts kupigwa chenga na lugha ni shida
 
Siku moja Rais wetu atoe hotuba kwa kiingeleza mwanzo mwisho !
 
Hiyo ni lugha tu Kama lugha nyingine, hata ungeijua namna gani kama kichwani Hanna kitu, Wala hiyo lugha haikusadii lolote.
sizitaki mbichi hizo! Can you make your sentence above (hiyo ni lugha....... in English)! Usitazamie please
 
Of course hapa tunazungumzia waliosoma kwa lugha ya kiingereza. Wewe unadhani tunazungumzia waliosoma kwa lugha ya kinyanzutuzu? Unawezaje kuandika thesis za kuanzia masters mpaka Phd bila kujua lugha? Arguments na mambo mengine yote utaelezea kwa kutumia vidole? Vitabu na machapisho utakayosoma utaelewaje? BTW hata najaribu kumwelezea mtu asiyejua hata lectures huwa zinatolewaje.
Kwahiyo ni sawa na kusema Magufuli alikuwa anaona kichina china tu wakati akiwa chuoni kwamba lugha ya kufundishia hakuwa anaielewa?
 
Mr much know kwani ukisema haujui Kiinglish kuna shida gan?
Jiwe haujui English Watanganyika tunajua kama haujui
Ameweka hoja zake kwamba amesoma hapo UDSM miaka mitatu na lugha iliyokuwa ikitumika ni kiingereza sasa utasemaje hajui hiyo lugha?na pia ameishi London mwaka mmoja na lugha inayotumika kule kwa mawasiliano ni kiingereza sasa utasemaje hajui kiingereza?
 
Hujui kwani hukumbuki swali alilokusaidia museveni kukupa tafsiri na ukajibu utumbo
“Nilipoingia madarakani nikaanza kutoa hotuba kwa Kiswahili, niliambiwa sijui Kiingereza wala sikujali, UDSM nimekaa miaka mitatu nikisoma masomo yangu ya Sayansi, Chemistry na Mathematics zote zinaandikwa kwa Kiingereza, lakini Mtu akasema sijui Kiingereza”-JPM kwenye Siku ya Sheria Dodoma leo.

“Nimefanya PHD bado wanasema sijui Kiingereza, na nikakaa mwaka mzima Uingereza, sijui nilikuwa nazungumza Kisukuma kule!, wakasema sijui Kiingereza, niliamua kuzungumza Kiswahili na kuki-promote kwasababu ni lugha iliyoachwa na Baba wa Taifa”-JPM

View attachment 1691833
 
Hao wote wamesoma mpaka vyuo vikuu kwa lugha za kwao ila Jiwe wanamzodoa kwasababu kasoma vyuo vinavyofundisha english alafu kashindwa kuwa fluent kwenye matamshi na mpangilio.
Ingekua na sisi tunafundisha kiswahili mpaka level ya PhD sidhani kama kuna mtu angemzodoa.
Ila hao kutokusoma kwa kutumia english sio sababu ya wao kutokujua english,kwa sababu soma la english lilikuwepo wakati wanasoma na lengo la hilo somo ni kufunzwa lugha ya kiingereza sasa iweje wasijue kama walifundishwa english?
 
“Nilipoingia madarakani nikaanza kutoa hotuba kwa Kiswahili, niliambiwa sijui Kiingereza wala sikujali, UDSM nimekaa miaka mitatu nikisoma masomo yangu ya Sayansi, Chemistry na Mathematics zote zinaandikwa kwa Kiingereza, lakini Mtu akasema sijui Kiingereza”-JPM kwenye Siku ya Sheria Dodoma leo.

“Nimefanya PHD bado wanasema sijui Kiingereza, na nikakaa mwaka mzima Uingereza, sijui nilikuwa nazungumza Kisukuma kule!, wakasema sijui Kiingereza, niliamua kuzungumza Kiswahili na kuki-promote kwasababu ni lugha iliyoachwa na Baba wa Taifa”-JPM

View attachment 1691833
Kiswahili kimeachwa na baba wa Taifa ?

Ndiyo maana hata kingereza hajui.
 
Raisi Magufuli ni sawa na maraisi Putin, Xi Jinping, Angela Markel, Emanuel Macron na wengine ambao hutumia lugha mama.

Hicho kiingereza ni lugha kama lugha zingine za kawaida sana.

Kufahamu kuzungumza kiingereza hakumaanishi wewe umesoma sana na kuelimika.

Hili la kujitoa kimasomaso ni tamu kwa mijamaa ya chama fulani.😂😂😂😂😂
 
Ngoja siku aje Joe Biden hapo ndo tutajua yaliyomo yamo au hayamo..[emoji23]
Mkuu kwani Joe Biden anakijua au na yeye anakitumia kama lugha mama na ya syllabus,tufanye na yeye aongee English + kiswahili sanifu uwone atakavyojing'ata apo meza kuu
 
“Nilipoingia madarakani nikaanza kutoa hotuba kwa Kiswahili, niliambiwa sijui Kiingereza wala sikujali, UDSM nimekaa miaka mitatu nikisoma masomo yangu ya Sayansi, Chemistry na Mathematics zote zinaandikwa kwa Kiingereza, lakini Mtu akasema sijui Kiingereza”-JPM kwenye Siku ya Sheria Dodoma leo.

“Nimefanya PHD bado wanasema sijui Kiingereza, na nikakaa mwaka mzima Uingereza, sijui nilikuwa nazungumza Kisukuma kule!, wakasema sijui Kiingereza, niliamua kuzungumza Kiswahili na kuki-promote kwasababu ni lugha iliyoachwa na Baba wa Taifa”-JPM

View attachment 1691833
Naona leo ndo kapata ujasiri wa kumjibu saa8...

Basi atuambie alipo..
 
Ni mwendelezo wa kusema uongo aliozoea. Magu anajua kiingereza?
 
“Nilipoingia madarakani nikaanza kutoa hotuba kwa Kiswahili, niliambiwa sijui Kiingereza wala sikujali, UDSM nimekaa miaka mitatu nikisoma masomo yangu ya Sayansi, Chemistry na Mathematics zote zinaandikwa kwa Kiingereza, lakini Mtu akasema sijui Kiingereza”-JPM kwenye Siku ya Sheria Dodoma leo.

“Nimefanya PHD bado wanasema sijui Kiingereza, na nikakaa mwaka mzima Uingereza, sijui nilikuwa nazungumza Kisukuma kule!, wakasema sijui Kiingereza, niliamua kuzungumza Kiswahili na kuki-promote kwasababu ni lugha iliyoachwa na Baba wa Taifa”-JPM

View attachment 1691833

Kusema ukweli bila ya mapendeleo yoyote, mzee baba kiingereza anakipenda. Kushindwa kukimudu tu ndiko kunako mfikisha hapa:

"Sizitaki mbichi hizi."

Ingekuwa dhana ya promotion ya Kiswahili kweli angekuwa anachomeka chomeka kiingereza fyongo fyongo kila anapopata nafasi hiyo?

Kina Ping, Merkel, Putin na wengine wa namna hiyo ambao mijamaa ya chama fulani ingependa kwa ghiliba eti tumfananishe nao, katu hawachomeki vijimaneno au sentensi uchwara za kiingereza kwenye kauli zao zozote.

Mataga na yachutame tu hii mbombo nkafu!
 
Ila hao kutokusoma kwa kutumia english sio sababu ya wao kutokujua english,kwa sababu soma la english lilikuwepo wakati wanasoma na lengo la hilo somo ni kufunzwa lugha ya kiingereza sasa iweje wasijue kama walifundishwa english?
Hujanielewa..... Wao ni kama tu kiswahili nchini Uganda, kinafundishwa kama somo tu ambalo ni optional sio compulsory lakini TZ kiswahili ni lugha ya kufundishia masomo yote primary school (ambapo hushape uelewa wa mwanafunzi)

Kwahiyo probability ya mganda kujua kiswahili ni ndogo ila kwa Mtanzania ni kubwa. Hivyo same case to Putin ni ngumu sana kuwa competent kwenye english ilihali aliisoma kma somo tu na sio lugha ya kufundishia.

So bado JPM is in for it......hawezi jitetea kwa mgongo wa Putin wakati ni context tofauti. Wenzetu mpaka kemikali na software sipo developed kww lugha yao sie mpaka manual huko maabara ni za kiingereza kitupu so usipofahamu lazima tukuzodoe tu.
 
Back
Top Bottom