Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
“Nilipoingia madarakani nikaanza kutoa hotuba kwa Kiswahili, niliambiwa sijui Kiingereza wala sikujali, UDSM nimekaa miaka mitatu nikisoma masomo yangu ya Sayansi, Chemistry na Mathematics zote zinaandikwa kwa Kiingereza,lakini Mtu akasema sijui Kiingereza”-JPM kwenye Siku ya Sheria Dodoma leo
“Nimefanya PHD bado wanasema sijui Kiingereza, na nikakaa mwaka mzima Uingereza, sijui nilikuwa nazungumza Kisukuma kule!, wakasema sijui Kiingereza, niliamua kuzungumza Kiswahili na kuki-promote kwasababu ni lugha iliyoachwa na Baba wa Taifa”-JPM
View attachment 1691833
Ametamka mara nyingi kwamba kiswahili chake ni cha kisukuma.
😂😂😂😂Yes mkuu kukosea maana yake sijui na sio dhambi kwa sababu kila siku tunajifunza.
Vipi wewe hapo juu INAKISEA ndio nini ni kifaransa au utashupaza shingo kwamba hujakosea?
Unaweza kumrekebisha mtu wakati huohuo unafanya kosa (unakosea)
Hiyo ni lugha tu Kama lugha nyingine, hata ungeijua namna gani kama kichwani Hanna kitu, Wala hiyo lugha haikusadii lolote.Kujua unajua LAKINI Broken english
Kwani alisoma shule kwa kutumia Kifaransa na Kiswahili?Ni sawa na mimi nimshangae Joe Biden kwa kutokujua kifaransa au kiswahili
Ni utoto!
Yumo Humu Mitandaoni Anaperuzi Na Kudadisi Kila SehemuKumbe anajuaga wanaomchamba..🤣
Kusoma science sio sababu ya kutojua kiingereza wala hakuja justification ya kutokujua kiingereza kisa umesoma scienceKwa kiingereza chake anajitahidi, kawaida wengi wanaosoma masomo ya science viingereza vyao huwa wanavijua wenyewe.
Nu kweli tena ni very broken english,mnakumbuka font fediKujua unajua LAKINI Broken english
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]People used to die in the rake.
Tusi pekeche maneno....“Nilipoingia madarakani nikaanza kutoa hotuba kwa Kiswahili, niliambiwa sijui Kiingereza wala sikujali, UDSM nimekaa miaka mitatu nikisoma masomo yangu ya Sayansi, Chemistry na Mathematics zote zinaandikwa kwa Kiingereza,lakini Mtu akasema sijui Kiingereza”-JPM kwenye Siku ya Sheria Dodoma leo
“Nimefanya PHD bado wanasema sijui Kiingereza, na nikakaa mwaka mzima Uingereza, sijui nilikuwa nazungumza Kisukuma kule!, wakasema sijui Kiingereza, niliamua kuzungumza Kiswahili na kuki-promote kwasababu ni lugha iliyoachwa na Baba wa Taifa”-JPM
View attachment 1691833
Hakika, wamrejeshe na faini wamlipe kwa kumpotezea muda wakeBasi kama anajua Kiingereza,wamwachie Ben.