Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,669
His English ni second hand...yani mtumba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kweli mkuu wakati huo unamshangaa kwa kutojua lugha hizo anakuwa kasoma na kahitimu hadi elimu ya juu kwa lugha hizo na hazijui utaachaje shangaaNi sawa na mimi nimshangae Joe Biden kwa kutokujua kifaransa au kiswahili
Ni utoto!
Hizi ni akili gani jamani!! A PhD holder must be a master of English? Kwani amesomea kingreza?Yes, a PhD holder is expected to be a master of English!
[emoji1][emoji1]did you mean "fluently"?
Ametamka mara nyingi kwamba kiswahili chake ni cha kisukuma...Je, Putin anazungumza Kirusi ambacho ni broken?
..Manaake huyu bwana mkubwa wa hapa kwetu Kiswahili chake ni kibovu.
This is bongo, mtoto anaweza kumaliza form 4 na kufaulu mtihani bila kujua kusoma na kuandika[emoji1787]
Hayo maelezo ya kujitetea angeyasema basi kwa Kiingereza tuache kubishana“Nilipoingia madarakani nikaanza kutoa hotuba kwa Kiswahili, niliambiwa sijui Kiingereza wala sikujali, UDSM nimekaa miaka mitatu nikisoma masomo yangu ya Sayansi, Chemistry na Mathematics zote zinaandikwa kwa Kiingereza,lakini Mtu akasema sijui Kiingereza”-JPM kwenye Siku ya Sheria Dodoma leo
“Nimefanya PHD bado wanasema sijui Kiingereza, na nikakaa mwaka mzima Uingereza, sijui nilikuwa nazungumza Kisukuma kule!, wakasema sijui Kiingereza, niliamua kuzungumza Kiswahili na kuki-promote kwasababu ni lugha iliyoachwa na Baba wa Taifa”-JPM
View attachment 1691833
Matako yakoKujua unajua LAKINI Broken english
да .. вот ты гдеMimi nakubali kuwa mjinga. Acha jinga la mwaka, naweza kuwa jinga la karne, lakini ukweli unabaki kuwa pale pale, fani na lugha ni vitu tofauti. Kuna watanzania wengi wana Ph.D. za uchumi, fizikia, madawa, uhandisi, n.k. Kikubwa kwao ni kujuwa walichosomea na siyo lugha. Kwanza kuna wengine hawakutumia Kingereza kwenye hizo Ph.D. Wengine walisom,a Urussi, Ujermani, Ufaransa Hispania, na walitumia lugha za huko kwenye Ph.D.
2016 alichekwa hadharani katika tukio kama la leo kwa kuboronga Kiingereza, nafikiri lile tukio lilikuwa likimkera...aliyemshauri Raisi kuzungumzia hayo ni nani?
..Jpm amekuwa madarakani huu ni mwaka wa 6, hivi anahitaji kujieleza na kujitetea kwamba anaimudu lugha ya Kiingereza?
Na ikiwa Kimasai umekitumia katika masomo yako!Yaani ni sawa wewe ni mpare halafu aje mtu akucheke kwakua hujui kimasai.
😆😆😆😆Kujua unajua LAKINI Broken english
Aaaaaah!People used to die in the rake.
Yaleyaleee ya 'Rake' na 'Lake'.😵did you mean "fluently"?
??????kingreza?
kwahiyo argument yako ni ipi?Tuambie Nani ambaye Hana broken..ambaye anaongea Kama mzungu mwenyewe..Nani..???!
statistics?????EXPOSURE
Nchi zipi? Umefanya PhD? Commonwealth countries wanatumia lugha gani katika PhD level?Nani kasema Ph.D. holder lazima awe mater of English. Kwani Ph.D. lazima ifanwe kwa Kingereza? Nchi nyingi Ph.D. zinafanywa kwa lugha zao, siyo Kingereza. Muhimu kwenye Ph.D. ni somo. Kama Ph.D. ni kemia lazima uwe matser wa kemia siyo kingereza. Ila tutakushangaa kama una Ph.D. ya Kingereza huku hujui kingereza cha kuandika.