Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu wanamfanyia hyo kazi ya kuchungulia wanaleta ripoti hata hapa kwny huu uzi wapo wanatucheki tu tunavyotiririkaHuyu jamaa mengi yanayosemwaga kwenye mitandao anayajua,nahis anatembeleaga sana mitandao
“Nilipoingia madarakani nikaanza kutoa hotuba kwa Kiswahili, niliambiwa sijui Kiingereza wala sikujali, UDSM nimekaa miaka mitatu nikisoma masomo yangu ya Sayansi, Chemistry na Mathematics zote zinaandikwa kwa Kiingereza,lakini Mtu akasema sijui Kiingereza”-JPM kwenye Siku ya Sheria Dodoma leo
“Nimefanya PHD bado wanasema sijui Kiingereza, na nikakaa mwaka mzima Uingereza, sijui nilikuwa nazungumza Kisukuma kule!, wakasema sijui Kiingereza, niliamua kuzungumza Kiswahili na kuki-promote kwasababu ni lugha iliyoachwa na Baba wa Taifa”-JPM
View attachment 1691833
Ni sawa na mimi nimshangae Joe Biden kwa kutokujua kifaransa au kiswahili
Ni utoto!
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji1][emoji2]Kujua unajua LAKINI Broken english
[emoji23][emoji23][emoji23]Siku hizi mpaka rais anasutana?
Hao wote wamesoma mpaka vyuo vikuu kwa lugha za kwao ila Jiwe wanamzodoa kwasababu kasoma vyuo vinavyofundisha english alafu kashindwa kuwa fluent kwenye matamshi na mpangilio.Raisi Magufuli ni sawa na maraisi Putin, Xi Jinping, Angela Markel, Emanuel Macron na wengine ambao hutumia lugha mama.
Hicho kiingereza ni lugha kama lugha zingine za kawaida sana.
Kufahamu kuzungumza kiingereza hakumaanishi wewe umesoma sana na kuelimika.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] au ndiyo sababu hataki kusafiri kwenda mbaki na EA
pipo yuz to dai ini ze...ini ze reki!People used to die in the rake.
Raisi Magufuli ni sawa na maraisi Putin, Xi Jinping, Angela Markel, Emanuel Macron na wengine ambao hutumia lugha mama.
Hicho kiingereza ni lugha kama lugha zingine za kawaida sana.
Kufahamu kuzungumza kiingereza hakumaanishi wewe umesoma sana na kuelimika.
Hahaha atamtuma kabudi amuwakilishe ye atakua na ziara mikoaniNgoja siku aje Joe Biden hapo ndo tutajua yaliyomo yamo au hayamo..[emoji23]
Nakumbuka alivyokuwa Uganda alipigwa swali na muandishi wa BBC English Service,ilibidi mzee Museveni aingilie kati kumtafasilia. Maana jiwe alitoka kapa kabsa akabaki anatoa macho tu! [emoji86][emoji86][emoji86][emoji12][emoji12]Ngoja siku aje Joe Biden hapo ndo tutajua yaliyomo yamo au hayamo..[emoji23]
Wakikujibu nitagBen saanane yuko wap
😂😂😂 typing error mkuu.Mbaki ndiyo nini wewe?
... halafu mtaanza ku-question mengine! Mara Mfumo wetu wa elimu; mara thesis iko wapi. Bora kukomaa hivyo hivyo mtajua wenyewe.Uko sahihi mkuu, unaona sasa mpaka nakosea. Na yeye (jiwe) akubali tu hii lugha ya kuja tu kutoijua vizuri sio tatizo.