Wanaosema Rais Magufuli hajui Kiingereza leo amewasuta

Ofukozi pipo used to die in ze ze ze reki.
Ni tatizo la lafudhi tu hilo.

Ni sawa na WANAIJERIA wengi wao wanajua kuzungumza lugha ya Kiingereza ila wameathiriwa na lafudhi ya lugha mama (mother tongue)

Hata lafudhi ya UINGEREZA, AUSTRALIA na MAREKANI huwa hazifanani japokuwa wote hao wanazungumza Kiingereza kama lugha yao ya Taifa katika Mataifa yao.
 
Ila mnasahau mzee lugha ya Kiingereza ni ligha yake ya kufundishiwa toka akiwa sekondari. Biden hajafundishiwa kwa Kiswahili au Kifaransa.
Kama Magufuli angekuwa haelewi masomo kwa sababu ya lugha inayofundishiwa hapo sawa ila suala la kuimudu vizuri lugha ni zaidi ya darasani kufundishwa kwa hiyo lugha tu.
 
Una maana Magufuli hajui Kingereza cha kuandika na kuongea. Hivi alipokuwa anafundisha alikuwa akitumia lugha gani. Kila mtu anaweza kuamua kutumia lugha yoyote ile bora wale anaongea nao wanaijuwa hiyo lugha. Lugha yetu TZ ni Kiswahili, kwa hiyo Magu anayo haki kutumia Kiswahili anapoongea na Watanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…