Wanaoshabikia Hamas ni wengi hapa nchini. Je, ni kwa nini?

Wanaoshabikia Hamas ni wengi hapa nchini. Je, ni kwa nini?

Kididimo

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2016
Posts
4,153
Reaction score
3,800
Nimepita mitandao mbalimbali ya kijamii hapa nchini. Nimesikia maoni ya baadhi ya vijiwe mitaa ya Korogwe, Tanga mjini, Dar nk, Wanaosupport Hamas ni wengi. Tundu Lissu naye kaunga mkono Hamas.

Ni nini Maoni yako?
 
Wanatumia uhuru wao wa kujieleza. Hivyo hakuna tatizo. Hata johnthebaptist na Askofu wake Gamanywa, wanaisupport Israel. Na hakuna anaye wabughudhi.

Binafsi siungi mkono uonevu, mauaji ya watu wasio na hatia, mauaji ya watoto na akina mama, choko choko ya Taifa moja lenye nguvu kuhamasisha machafuko kwenye Mataifa mengine ili tu liweze kuuza silaha za makampuni yake, kuiba raslimali, nk.
Siku zote tamaa yangu ni kuona dunia inabakia kuwa mahali salama kwa viumbe hai wote.
 
Wanatumia uhuru wao wa kujieleza. Hivyo hakuna tatizo. Hata johnthebaptist na Askofu wake Gamanywa, wanaisupport Israel. Na hakuna anaye wabughudhi.

Binafsi siungi mkono uonevu, mauaji ya watu wasio na hatia, mauaji ya watoto na akina mama, choko choko ya Taifa moja lenye nguvu kuhamasisha machafuko kwenye Mataifa mengine ili tu liweze kuuza silaha za makampuni yake, kuiba raslimali, nk.
Siku zote tamaa yangu ni kuona dunia inabakia kuwa mahali salama kwa viumbe hai wote.
https___prod.static9.net.au_fs_97041b09-efc2-4d76-934a-133b35be29af.jpg
 
Nimepita mitandao mbalimbali ya kijamii hapa nchini. Nimesikia maoni ya baadhi ya vijiwe mitaa ya Korogwe, Tanga mjini, Dar nk, Wanaosupport Hamas ni wengi. Tundu Lissu naye kaunga mkono Hamas.

Ni nini Maoni yako?
Nenda na Ulaya,Marekani,China na Japan na kote kote mpaka Latin America halafu utapata jibu sahihi.
Iwapo utachelewa kulipata nakupa hapa hapa.
Israel imeshindwa vita.
 
Waafrika huku tukikutwa na mabaya hua hakuna muarabu Wala myahudi anae shabikia, sisi tunajikuta tumegawana pande kama Simba na yanga, wauwane tuu hadi watakapo choka wenyewe
 
Nimepita mitandao mbalimbali ya kijamii hapa nchini. Nimesikia maoni ya baadhi ya vijiwe mitaa ya Korogwe, Tanga mjini, Dar nk, Wanaosupport Hamas ni wengi. Tundu Lissu naye kaunga mkono Hamas.

Ni nini Maoni yako?
Aliyeanzisha matatizo yote haya ni HAMAS.
Na alianzisha kwa kuua watu 1400 miongoni mwao ni wazee, wanawake na watoto, Kisha akateka watoto, wazee, wageni, nk.
KWAHIYO, kwa mtu mwenye akili hawezi kushabikia HAMAS Kwasababu ndiye chanzo cha matatizo haya yote.
Vinginevyo, mtu huyo atakuwa kwenye mwavuli wa dini badala ya haki.( Kwani, siyo sahihi kumuunga mkono Hamas, kutokana na vitendo alivyovifanya).
-Kwa upande mwingine, mauaji yanayofanywa na ISRAEL yanatokana na Hamas kuwafanya raia kuwa Kinga ya vita.
SWALI
Mtu amekupiga ngumi, wakati unamrudishia anatumia mtoto kupunch ngumi yako. Halafu mtoto anakufa.
Je, aliyesababisha kifo cha mtoto hapa ni nani?, Jibu ni yule aliyemtumia mtoto kama punch.
SOLUTION
HAMAS waondoke kwenye maeneo ya raia waingie kwenye maeneo ya mapambano ili kuepusha mauaji kwa wasiostahili.
 
Nenda na Ulaya,Marekani,China na Japan na kote kote mpaka Latin America halafu utapata jibu sahihi.
Iwapo utachelewa kulipata nakupa hapa hapa.
Israel imeshindwa vita.
Naangalia Aljazeera hapa, bado vita inaendelea na hajapatikana aliyeweka silaha chini
 
Nenda na Ulaya,Marekani,China na Japan na kote kote mpaka Latin America halafu utapata jibu sahihi.
Iwapo utachelewa kulipata nakupa hapa hapa.
Israel imeshindwa vita.
Naangalia Aljazeera hapa, bado vita inaendelea na hajapatikana aliyeweka silaha chini
 
Naangalia Aljazeera hapa, bado vita inaendelea na hajapatikana aliyeweka silaha chini
Kupigana na Hamas ni stori nyengine kwa Israel na ni kaa la moto.Ama Watauwa wote au watauliwa waisrael wote au wengi lakini hakuna kuweka silaha chini.Israel uchaguzi ni wake.
 
Watu hawashabikii hamars kwa vile hamars ni wazuri sana hapana. Ama hamars wako kwenye haki hapana. Tunashabikia hamars kwa kushangaa taifa lililopiga mataifa sita kwa siku sita kusumbuliwa na kakikundi tu. Taifa lenye kila sifa na vifaa kusumbuliwa na wanamgambo. Hata leo hii timu ya taifa ya blazil tunavyoijua. Ni bingwa mara tano kombe la dunia na tunajua iko vizuri. Harafu brazil ije icheze na katimu ka kijiji kimoja huko mtwara. Dakika 45 za mwanzo wako sale basi kipindi cha pili hata wabrazil wenyewe watakuwa wanashabikia hako ka timu
 
Hawa wapuuzi waongo kichiz kwasababu media kubwa zao zilikua zinatoa propaganda tu eti alishinda vita siku 6,wanateknolojia bla bla[emoji23][emoji1787]utandawaz umewaumbua kikundi kidogo tu kinawatoa kamas,,,wao wanaishia kuua watoto na watu wasio na hatia, eti
hamas wamejifisha hosp mbona wamezunguka hosp yote hakuna handaki wala hamas wenyew
 
Wewe unataka tusapoti vibaraka wa Marekani wanaoua watoto, wagonjwa na wanafunzi?
Ndg unajua ukiondoa hao watoto wanaotangulizwa na hao magaidi,wengi unaowaona ni raia ni magaidi wa Hamas waliovaa nguo za kiraia.
Madereva wa ambulance, madaktari kwenye mahospitali, wote asilimia kubwa ni Hamas, yalikuwa yanajulikana kwa kiasi kidogo,lakini baada ya IDF kuingia na kumiliki baadhi ya viunga vya Gaza imejulikana zaidi baada ya baadhi ya madkatari kukamatwa, madereva wa ambulance na wanaojifanya kutoa misaada.
Kuna mkakati wa Bufer zone wanakuja nao wayahudi huko Gaza, ni swala la muda tu Gaza itakuwa shwari na Hamasi wengi watatawanyika.
Ijapo inaweza kuchukua muda mrefu sana kwa kuwa jamii yote ya Gaza ni wanachama wa Hamas.
 
Mtu hujui ahsubuhi ya leo utapapata wapi hela ya chai yako unaamkia kushabikia hamas are you serious
 
Back
Top Bottom