Wanaoshabikia Hamas ni wengi hapa nchini. Je, ni kwa nini?

Wanaoshabikia Hamas ni wengi hapa nchini. Je, ni kwa nini?

Nenda na Ulaya,Marekani,China na Japan na kote kote mpaka Latin America halafu utapata jibu sahihi.
Iwapo utachelewa kulipata nakupa hapa hapa.
Israel imeshindwa vita.
Naangalia Aljazeera hapa, bado vita inaendelea na hajapatikana aliyeweka silaha chini
Ndg unajua ukiondoa hao watoto wanaotangulizwa na hao magaidi,wengi unaowaona ni raia ni magaidi wa Hamas waliovaa nguo za kiraia.
Madereva wa ambulance, madaktari kwenye mahospitali, wote asilimia kubwa ni Hamas, yalikuwa yanajulikana kwa kiasi kidogo,lakini baada ya IDF kuingia na kumiliki baadhi ya viunga vya Gaza imejulikana zaidi baada ya baadhi ya madkatari kukamatwa, madereva wa ambulance na wanaojifanya kutoa misaada.
Kuna mkakati wa Bufer zone wanakuja nao wayahudi huko Gaza, ni swala la muda tu Gaza itakuwa shwari na Hamasi wengi watatawanyika.
Ijapo inaweza kuchukua muda mrefu sana kwa kuwa jamii yote ya Gaza ni wanachama wa Hamas.
Ni hatari sana Daktari kuwa gaidi. Kuna clip ya video inatembea ikionyesha wengi wa watoto hao ni wale walionengenezwa kwa AI. Lengo ni kuficha uhalisia kwa kukuza jambo. Nimeangalia Aljazeera, hawaonyeshi picha za wapiganaji wa Hamas waliouwawa bali ni watoto tuu. Lakini ukiangalia miili iliyo kwenye makaburi ya pamoja ni ya watu wazima. Hii vita ni zaidi kuliko inavyoonekana kwenye media mbalimbali.
 
Nimepita mitandao mbalimbali ya kijamii hapa nchini. Nimesikia maoni ya baadhi ya vijiwe mitaa ya Korogwe, Tanga mjini, Dar nk, Wanaosupport Hamas ni wengi. Tundu Lissu naye kaunga mkono Hamas.

Ni nini Maoni yako?
Siyo kweli! Wengi wao ni WA mikoa ya Pwani na Zanzibar. Kwa kiufupi sema tu waislamu.
 
Nimepita mitandao mbalimbali ya kijamii hapa nchini. Nimesikia maoni ya baadhi ya vijiwe mitaa ya Korogwe, Tanga mjini, Dar nk, Wanaosupport Hamas ni wengi. Tundu Lissu naye kaunga mkono Hamas.

Ni nini Maoni yako?
Wewe ndiye shabiki wa taifa la Israel lenye ubaguzi na linauwa watoto na wananchi wasiokuwa na makosa huko Palestina. Wapalestina wote si Hamas. Ubaguzi wa aina yoyote ile, ukandamizaji na mauwaji ya raia wasiokuwa na hatia lazima upingwe kwa nguvu zote.
 
Kama ulishawahi kuingia kwenye mgogoro wa ardhi na wewe ndo ukawa upande wa kudhurumiwa abadani huwezi kuwa upande wa Israel kwenye hii issue nzima. Israel aachie maeneo ya wenzie naamini amani ya kudumu itapatikana.
 
Aliyeanzisha matatizo yote haya ni HAMAS.
Na alianzisha kwa kuua watu 1400 miongoni mwao ni wazee, wanawake na watoto, Kisha akateka watoto, wazee, wageni, nk.
KWAHIYO, kwa mtu mwenye akili hawezi kushabikia HAMAS Kwasababu ndiye chanzo cha matatizo haya yote.
Vinginevyo, mtu huyo atakuwa kwenye mwavuli wa dini badala ya haki.( Kwani, siyo sahihi kumuunga mkono Hamas, kutokana na vitendo alivyovifanya).
-Kwa upande mwingine, mauaji yanayofanywa na ISRAEL yanatokana na Hamas kuwafanya raia kuwa Kinga ya vita.
SWALI
Mtu amekupiga ngumi, wakati unamrudishia anatumia mtoto kupunch ngumi yako. Halafu mtoto anakufa.
Je, aliyesababisha kifo cha mtoto hapa ni nani?, Jibu ni yule aliyemtumia mtoto kama punch.
SOLUTION
HAMAS waondoke kwenye maeneo ya raia waingie kwenye maeneo ya mapambano ili kuepusha mauaji kwa wasiostahili.
Huna unalojua
Hamas anatakiwa awatwange sana israhell mpaka watakaporejelea walipokua kabla ya mwaka 1948
Yanayoendelea kwa wale wa israhell ni matokeo ya ushenzi waloufanya tokea mwaka 1948
Kila mpenda haki amani na upendo lazma awe upande wa hamas
 
Nimepita mitandao mbalimbali ya kijamii hapa nchini. Nimesikia maoni ya baadhi ya vijiwe mitaa ya Korogwe, Tanga mjini, Dar nk, Wanaosupport Hamas ni wengi. Tundu Lissu naye kaunga mkono Hamas.

Ni nini Maoni yako?
sio wengi ila ni kama ka mbwa kadogo kanakobweka saaaana. ndio maana watu kama nyie mnastuka we fikiria kipigo chote hicho wanachopigwa Hamas, bdo kuna wa hamas wakibongo wanaa mini IDF ndio wanakufa wengi kuliko hamas
 
Watu hawashabikii hamars kwa vile hamars ni wazuri sana hapana. Ama hamars wako kwenye haki hapana. Tunashabikia hamars kwa kushangaa taifa lililopiga mataifa sita kwa siku sita kusumbuliwa na kakikundi tu. Taifa lenye kila sifa na vifaa kusumbuliwa na wanamgambo. Hata leo hii timu ya taifa ya blazil tunavyoijua. Ni bingwa mara tano kombe la dunia na tunajua iko vizuri. Harafu brazil ije icheze na katimu ka kijiji kimoja huko mtwara. Dakika 45 za mwanzo wako sale basi kipindi cha pili hata wabrazil wenyewe watakuwa wanashabikia hako ka timu
Mkuu hamars ndiyo nini?
 
Ukiona Tembo anamkanyaga sisimizi halafu wewe ukakaa kimya kam hakuna kitu kinachoendelea basi wewe utakua kwenye kundi moja na Tembo!!!!!
 
Aliyeanzisha matatizo yote haya ni HAMAS.
Na alianzisha kwa kuua watu 1400 miongoni mwao ni wazee, wanawake na watoto, Kisha akateka watoto, wazee, wageni, nk.
KWAHIYO, kwa mtu mwenye akili hawezi kushabikia HAMAS Kwasababu ndiye chanzo cha matatizo haya yote.
Vinginevyo, mtu huyo atakuwa kwenye mwavuli wa dini badala ya haki.( Kwani, siyo sahihi kumuunga mkono Hamas, kutokana na vitendo alivyovifanya).
-Kwa upande mwingine, mauaji yanayofanywa na ISRAEL yanatokana na Hamas kuwafanya raia kuwa Kinga ya vita.
SWALI
Mtu amekupiga ngumi, wakati unamrudishia anatumia mtoto kupunch ngumi yako. Halafu mtoto anakufa.
Je, aliyesababisha kifo cha mtoto hapa ni nani?, Jibu ni yule aliyemtumia mtoto kama punch.
SOLUTION
HAMAS waondoke kwenye maeneo ya raia waingie kwenye maeneo ya mapambano ili kuepusha mauaji kwa wasiostahili.
Huyo aliyeanza na anayemaliza wote ni sawa tu, wote ni miuwaji na mikatili hakuna utetezi wowote haijarishi nani kaanza ni sababu ya kipumbavu yenye kugharimu maisha ya watoto wadogo huko halafu mtu anatoa sababu et yule ndio kaanza yani hana huruma kabisa na hivyo vifo vya watu yeye ni kama alikuwa anasubiri mwenzie aanzishe waanze kucheza game lao la mauwaji ya wasio na hatia.
 
Ukiona Tembo anamkanyaga sisimizi halafu wewe ukakaa kimya kam hakuna kitu kinachoendelea basi wewe utakua kwenye kundi moja na Tembo!!!!!
Endapo sisimizi anajijua ni mdogo ni kwa nini amchokoze tembo?
 
Nimepita mitandao mbalimbali ya kijamii hapa nchini. Nimesikia maoni ya baadhi ya vijiwe mitaa ya Korogwe, Tanga mjini, Dar nk, Wanaosupport Hamas ni wengi. Tundu Lissu naye kaunga mkono Hamas.

Ni nini Maoni yako?
Kila mpenda haki hawezi support ukoloni.... na sio tu kusupport Israel tuna support Sahrawi dhidi ya ukoloni wa Morocco. Hao wanaoshabikia Israel ni kwa sababu za kidini of course ila moyoni wanaona haiko poa ila ndio Bible imewafunga.

Nimefurahi tu kuona Gwajima na Mch Mgogo wamekua neutral kwenye suala hili. Maana wanaona haipo sawa kibinadamu
 
Aliyeanzisha matatizo yote haya ni HAMAS.
Na alianzisha kwa kuua watu 1400
Unajitambua kweli? Pale walopovamiwa ni eneo la Palestina ila walowezi wamelikalia kimabavu kwa miaka almost 75 cha ajabu wakitaka kulirudisha mnasema "wameanza uchokozi".

Hiki wanachofanya ni sawa na Ukraine wanaopigania ardhi yao iliyoporwa huko kherson, Bakhmut, crimea, Donbass etc. Ila cha ajabu mnaita wakombozi ila wakifanya Hamas ni magaidi na wachokozi?

Hivi waTanzania nani katuroga
 
Back
Top Bottom