Wanaoshangaa Beyonce kuabudiwa ni wavivu wa kusoma maandiko

Mkuu soma vizuri Muungwana blog, hadi biblia wanayo ya kwao na ina picha ya beyonce kwenye ganda lake la nje! na dini yenyewe inaitwa beysim biblia yao inaitwa byble.
Labda kama anafanya hizo mambo mara mbili, au watu wanamchafua na kutumia iconic yake....mm nimeona documentary ambayo waandishi walienda hadi kwny hilo kanisa na kuzungumza na waendeshaji wa hizo ibada,

Lkn pia hiyo inawezekana maana hawa wasanii wakubwa ni hovyo kabisa.
 
Ile ya Kanye Waste Yeezuz ilikuja kuishia wapi?
 
Hiyo habari ni ya leo inayomzunguzia kua kanunua kanisa kwa mamilioni ya fedha, kanisa ambalo limejengwa miaka ya 1900 huko kwa mawe mtupu na picha yake ipo, pia wamefafanua kuhusu dini yake hio ilivo na biblia wanayotumia na amejizolea maelfu ya wafuasi.
 
Fact
 
Ingieni Muungwana blog mtaipata hio habari ya beyonce, lakini hata hapa kwetu si kuna yule wa kanda ya ziwa alikoendaga mama kanumba.
 
hatari sana...mlioshangaa ya musa na kustaajabu ya firauni "" ungenisheni na hili linapaswa kuwa la kustaajaabisha pia...
 
haya mambo ni magumu kuyaelewa!!!
ndo maana mi nasemaga duniani nimekuja kuishi sifatilii imani yoyote kitakachotokea nitakijua hapo hapo kama kweli kuna pepo,haya!! kama kuna moto wa milele ,haya!!maana mimi nimezaliwa miaka ya 90+ nimekuta mambo mengi duniani hasa kuhusu hizi imani na mambo ya dini!!lakini kinachonishangaza kwa nini mimi nihukumiwe??ikiwa MUNGU anamjua Beyonce mwanzo mwisho kuzaliwa hadi kifo chake hivyo alijua kuwa atakuja kuwa mpotoshaji na atapotosha wengi!!kwa nini yeye asimshughulikie Beyonce kabla hajapotosha watu wengi!!
 
Wewe lazma utakuwa ni mpagani
 
Aisee mkuu, acha kupotosha watu yani umechukua mstari mmoja tu katika Biblia unaona watu waabudu MWANADAMU...wakati amri ya Mungu inasema TUSIABUDU miungu mingine ila yeye...

Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa...
 
Dini ni nini? Dini ni moyo wa mtu, attitude yake kwa kile anachoamini kuabudu. Full stop! Waanzishe tu taasisi za kuabudiwa, mwisho wa siku God will judge us accordingly.
 
Itakuwa wanaabudu mtu wanayemwona mimi nadhani
 
Kanisa lake linaitwa The National Church of Bey, dini yake inaitwa Beysim!! na wana biblia yai inaitwa Byble, Cha kushangaza zaidi wenzetu kule wanauziana hata makanisa duh hii dunia ina mambo, ndo hapo baadae utashangaa hio dini ina wafuasi kibao.
 
mbona maradona na yeye anajengo la ibada ya kumuabudu yy.....just awful stupidity of reckless woman
 
Red, ndio maana kuna baadhi ya watu wanamwita Yesu Mungu hawajui kuwa lugha ya wagiriki,Warumi,Wamisri, kwa wakati huo neno Mungu lilimaanisha kiwango na uwezo wa mtu kufanya kitu fulani...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…