Wanaoshangaa Beyonce kuabudiwa ni wavivu wa kusoma maandiko

kwa hiyo wanafuata maandiko yapi?
 
Kwan na maradona nae si ana dini yake wanaabudu mpira! Bday yake ndio xmass yao... Kanye west pia ana dini yake
 
Kwani hiyo ya biyonce ni ya kikrustu?
 
Link iko wapi?
Source ya taarifa yako.
Au ni stori za kahawa ambazo nimeanza kuzisikia like 10 years ago
 
Duuh,so mkuu na wewe unamuabudu kama Mungu wako??safi
 
Kwa hapa bongo hakuna mtu anaemwabudu huyo, ila yupo yule mwanamke wa kanda ya ziwa anajiita nabii mfalme nani sjui, watu wanamwabudu anajiita mungu.
 
shetan anatafuta wa kumshetan ili wawe wote kubaya endelea kutafuta mkuu uwapata agents humu
 
Mkuu soma vizuri Muungwana blog, hadi biblia wanayo ya kwao na ina picha ya beyonce kwenye ganda lake la nje! na dini yenyewe inaitwa beysim biblia yao inaitwa byble.
Jina la kanisa Beysim linatokana na Jina la muungu beyonce Knowles...,ahahaha nimeongeza tu.
 
Mm sishangai jamani. Maana hata uislam na ukristo ulianza hivi hivi. Mara kazaliwa Yesu, mara kazaliwa Muhammad mara paaaah wakaenda weeee na figisu zao mwisho wakaleta dini zao huku wakimsingizia Mungu kazishusha hizi dini. Yesu na Muhammad lazma wachomwe moto siku ya mwisho kama hawajatubu maana wamemlisha maneno Mungu kwamba dini flani ni yake na ndio anayoitambua.
 
Aisee wewe kiboko.
 
Dini si Mungu, haijawahi, haita kuwa,

Mungu si Dini, haijawahi, haipo na haitakuwa

Namuunga mkono Mrs jeizii
 
Beyonce kwani mzungu? swali liko nje nauliza tu nataka kujua,!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…