LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Beyonce ameanzisha dini yake..Watu wanamuabudu yeye kama muungu wao..
Wasio jua maandiko wanamlaani Beyonce ..They think they know better than Beyonce ..
In the Bible at Psalms 82 : 6 God is telling the Israelites that " Ninyi ndinyi miungu wana wa alie juu ".
Sasa kati ya Mungu alie wa address wanadamu kama miungu na Beyonce anae jiita muungu nani mwenye makosa?
Hata historia hamuijui,Ugiriki,Mesopotamia na Misri ya kale watu walio kuwa na sifa za kipekee kama vile umahiri vitani, utunzi wa nyimbo nzuri au wanawake wenye uzuri ulio zidi viwango walipandishwa hadhi na kuitwa miungu .
Go Beyonce Go Beyonce ...Natabiri after some few years Dini ya Beyonce itakuwa na matawi dunia nzima , Tanzania ikiwemo
Wasio jua maandiko wanamlaani Beyonce ..They think they know better than Beyonce ..
In the Bible at Psalms 82 : 6 God is telling the Israelites that " Ninyi ndinyi miungu wana wa alie juu ".
Sasa kati ya Mungu alie wa address wanadamu kama miungu na Beyonce anae jiita muungu nani mwenye makosa?
Hata historia hamuijui,Ugiriki,Mesopotamia na Misri ya kale watu walio kuwa na sifa za kipekee kama vile umahiri vitani, utunzi wa nyimbo nzuri au wanawake wenye uzuri ulio zidi viwango walipandishwa hadhi na kuitwa miungu .
Go Beyonce Go Beyonce ...Natabiri after some few years Dini ya Beyonce itakuwa na matawi dunia nzima , Tanzania ikiwemo