kagombe
JF-Expert Member
- Mar 1, 2015
- 3,615
- 1,805
Una miaka mingapi hapoSiwezi..na namuomba Mungu nisije kupenda niliyemzidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una miaka mingapi hapoSiwezi..na namuomba Mungu nisije kupenda niliyemzidi
Mno, hii ngoma ya kinyamwezi nzito, vitoto kama dogo janja vinasumbuwa watu sana aise...katoto
Nipende mimi...[emoji2] [emoji1]Siwezi..na namuomba Mungu nisije kupenda niliyemzidi
Kidogo umeniacha njiapandaMhe. Kigogo nimepata nyepesi kuwa kumbe hata Dogo Janja ni mteja wa Mwananyamala; hivyo ngoma droo Ref Hivi kuna haja ya kumtamkia mtu live kuwa humtaki tena??
Wewe. Ila wengine wapoSijatamani kabisa usitusingiziee
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Nani akuoe sasa.subiria sana.
Kama wanadharau hata akiwa mkubwa watamdharau tuMie kulingana na utamaduni wetu,starajii kuolewa na kijana nae mzidi umri,mana wadogo zangu watamdharau,inabidi uwe na mwanaume ambae ata mtu akiingia ndani anajua baba mwenye nyumba kaja.tuache kukariri jamani tunajitoa thamani.
Sent from my HUAWEI CRR-L09 using JamiiForums mobile app
Mume wanguKale ka uwoya sijui katamuitaje Dogo janja?
Baba mdogo! kaka! .........
We una mingap joanahHahahahh nakaona kadogo nikajua nimekazidi asee!
[emoji28] [emoji28] nitakupenda keshoNipende mimi...[emoji2] [emoji1]
Nnayo less or equal to umri wa dogo janja[emoji125] [emoji125]We una mingap joanah
Safi sana ungekuwa karibu ningekunongoneza sikioni ila basiNnayo less or equal to umri wa dogo janja[emoji125] [emoji125]
[emoji2] [emoji2]Safi sana ungekuwa karibu ningekunongoneza sikioni ila basi
Naomba picha yao wakiwa wawili kwenye mavazi ya ndoa tafadhaliIvi ni ajabu dogo janja kumuoa Irene uwoya??![]()
Kwa mimi sioni ajabu hata Kidogo kwani mtu mpaka anaamua kuolewa na huyo mwanaume ujue karidhika nae. Kama asingeridhika nae asingesubutu kuolewa nae.
Kuna wanawake wanatamani hata angetokea mwanaume hata chini ya dogo janja wangekubali kuolewa nawe.
Tatizo hawana bahati.
Umri ni number tu. Na utu uzima ni kutokama na mambo yako unayofanya.
Unaweza ukawa na 50years lakini ukawa unafanya mambo Kama mtoto wa 18 years.
Kama anamuhudumia mke wake ipasavyo hamna tatizo.
Uzuri wa dini ya kiislaam inaruhusu maana ni suhna. (usiniulize saana kuhusu dini[emoji23] [emoji23] ) kwa hiyo kama wamependana kwa dhati tu.
Sisi twawatakia kila la heri
Upo chuo gan labda[emoji2] [emoji2]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] am outta here!Upo chuo gan labda