Tajirimsomi
JF-Expert Member
- Jan 12, 2017
- 4,824
- 5,587
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] ati nini?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] am outta here!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] ati nini?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] am outta here!
Navyo vinapenda kubakwa tuHivi wakati Irene Uwoya anaoana na Ndikumana, dogo Janja si alikuwa darasa la kwanza! This is miraculous act. Hii si halali. Watumie ujanani uzeeni wanabaka vitoto na kuvifunga visifikiri mbali.
Bado hazijatokaNaomba picha yao wakiwa wawili kwenye mavazi ya ndoa tafadhali
Subiri picha zikitoka [emoji16]Mbona haonyeshwi mke na mume pamoja kama joti na mke wake?Hapa pana mashaka!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Uwoya shenzi kabisa kaolewa na mwanae !!!
mmmmh sawa na yule mzee mwingine vipiBado hazijatoka
Kwani dogo hana helaHivi ukimuona uwoya ni MTU Wa kuolewa na dogo janja? Irene is there for money...no pesa no mapenzi...angekuwa sepetu ningekubali mtu aliyemuoa uwoya hajapenda wananzengo mumjue...kwahiyo dogo janja ni nan akatae kiki nzr namna hiyo na pesa atakuwa amepewa juu....Ndikumana ndio anajua baada ya kufulia nn maana ya jina Irene.Uwoya.
Mhe. Kigogo alikuwa Shemeji wa Bibi Harusi na alituthibitishia bila shaka kuwa ana faili Mwananyamala. Kwa vile Kigogo amejaa tele hapa JF ataweza kukueleza kiufasaha. Aidha nilikuwa namtuliza ndugu yangu kuwa health status ya bibi harusi ni sawa na ya Dogo janja. Hivyo hakuna shida ila angekuwa Non-Reactive tungemtahadharisha. Nikupongeze kwa kumjali bibi harusi ingawa tunasema uzuri wa mkakasi ndani kipande cha mti. Au tunaelezwa (kiutani) wazuri hunuka midomo maskini. Uwe na BwanaKidogo umeniacha njiapanda
sisi ma non-mathematicians umetuacha joomoonNnayo less or equal to umri wa dogo janja[emoji125] [emoji125]