Wanaoshangaa Irene Uwoya kuolewa na Dogo Janja nyuma ya pazia wanatamani wangekuwa wao

Wanaoshangaa Irene Uwoya kuolewa na Dogo Janja nyuma ya pazia wanatamani wangekuwa wao

1509387049767.jpg
 
Hivi wakati Irene Uwoya anaoana na Ndikumana, dogo Janja si alikuwa darasa la kwanza! This is miraculous act. Hii si halali. Watumie ujanani uzeeni wanabaka vitoto na kuvifunga visifikiri mbali.
kama aliweza kumuacha mwana michezo ambaye yuko vizuri ,tuvute subira kama 2018 utaishi ndoa ikiwa hai
 
Sasa Wakuu yani mkaa kabisa mnajadili mada ya dogo janja na uwoya wakati wakati hapo hakuna ukwel wowote maana mbea mkuu sudy brown mpka leo ajui ukwel na haamin sas sisi tunajadili au tunatabili
 
Back
Top Bottom