BIGstallion
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 6,324
- 7,913
Bongo movies na viben10
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MmmmhSimtamani rohoni ,mwilini Wala akilini.
Aibu sana hii ukiwa msanii hakika akili zinakuwa sio zako kabisa
Vp Mkuu 😛Mmmmh
kama aliweza kumuacha mwana michezo ambaye yuko vizuri ,tuvute subira kama 2018 utaishi ndoa ikiwa haiHivi wakati Irene Uwoya anaoana na Ndikumana, dogo Janja si alikuwa darasa la kwanza! This is miraculous act. Hii si halali. Watumie ujanani uzeeni wanabaka vitoto na kuvifunga visifikiri mbali.
Yaan ub.oo wa chibu umewaharibu wengi hao wadadaNa alieleta mikosi hii ni diamonnd[emoji42][emoji42][emoji42]
Kama mie hivi Kwa mfano.Joanah huwezi kumtamani dogo janja. Ila akitokea mwanaume unae mpenda haswa akiwa na umri Kama wa dogo janja. Huwezi. [emoji16][emoji16]
9Mtoto wa uwoya ana miaka mingapi?!
Yupi Jose??mmmmh sawa na yule mzee mwingine vipi
Kitu ganiTatizo sio umri...mimi nashangaa kitu kingine kabisaaaa. Ngoja nikae kimya maana hayanihusu.
Mhuu. Yule siku mtashangaa kamwoa tzwseethartNataman sana harmorapa kiboko yao achukue kifaa nae