Wanaoshangaa Irene Uwoya kuolewa na Dogo Janja nyuma ya pazia wanatamani wangekuwa wao

Wanaoshangaa Irene Uwoya kuolewa na Dogo Janja nyuma ya pazia wanatamani wangekuwa wao

Kwenye dini ya uislamu
Ni ruksa kuoa au kuolewa na mtu mkubwa wa umri au mdogo wa umri hivyo hakuna tatizo
 
watu tulitaka picha wakiwa pamoja siku ya harusi...imetumwa lakini bado hatuamini...lakini nimesikia youtube presenter mmoja akimuhoji mama ake dogo janja...na maza kathibitisha kabisa kuwa ni kweli janjaro kaoa Irene na kwamba kila kitu alimpa idhini madee asimamie....sasa cjui yule maza nae itakuwa wamempanga mapema!!!

Ndoa ya hawa wawili still questionable aise!
 
Sasa Wakuu yani mkaa kabisa mnajadili mada ya dogo janja na uwoya wakati wakati hapo hakuna ukwel wowote maana mbea mkuu sudy brown mpka leo ajui ukwel na haamin sas sisi tunajadili au tunatabili
Si tunajadili woote na ww[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
22e7aaf02d16fedd9b35c38b94947e2e.jpg
 
09e7201d8666b72022a9fa351e33d1e8.jpg
Ivi ni ajabu dogo janja kumuoa Irene uwoya??
Kwa mimi sioni ajabu hata Kidogo kwani mtu mpaka anaamua kuolewa na huyo mwanaume ujue karidhika nae. Kama asingeridhika nae asingesubutu kuolewa nae.
Kuna wanawake wanatamani hata angetokea mwanaume hata chini ya dogo janja wangekubali kuolewa nawe.
Tatizo hawana bahati.
Umri ni number tu. Na utu uzima ni kutokama na mambo yako unayofanya.
Unaweza ukawa na 50years lakini ukawa unafanya mambo Kama mtoto wa 18 years.
Kama anamuhudumia mke wake ipasavyo hamna tatizo.
Uzuri wa dini ya kiislaam inaruhusu maana ni suhna. (usiniulize saana kuhusu dini[emoji23] [emoji23] ) kwa hiyo kama wamependana kwa dhati tu.
Sisi twawatakia kila la heri

Jamani hawajaona ule ulikuwa wimbo tu. Irenebado anaishi kwake na mwanae. Na alilipwa chake.
 
Mie kulingana na utamaduni wetu,starajii kuolewa na kijana nae mzidi umri,mana wadogo zangu watamdharau,inabidi uwe na mwanaume ambae ata mtu akiingia ndani anajua baba mwenye nyumba kaja.tuache kukariri jamani tunajitoa thamani.

Sent from my HUAWEI CRR-L09 using JamiiForums mobile app

Ukishi kwa ajili ya jamii utakosea step. Fanya kile roho inapenda. Utapoteza bahati bure. Mapenzi humea popote ilimradi ni mapenzi ya ukweli
 
Mie kulingana na utamaduni wetu,starajii kuolewa na kijana nae mzidi umri,mana wadogo zangu watamdharau,inabidi uwe na mwanaume ambae ata mtu akiingia ndani anajua baba mwenye nyumba kaja.tuache kukariri jamani tunajitoa thamani.

Sent from my HUAWEI CRR-L09 using JamiiForums mobile app
Yaani anagalau wewe unazungumzia ndoa!!! Mimi ata mahusiano siwezi kabisaaa! Yaani nina mdogo wa kiume nimemzidi miaka miwili, kwahiyo mwanaume akija kunitongoza nikagundua nimemzidi ata mwezi mmoja naona kama natoka na mdogo wangu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alafu hua naimagine kua mtu niliemzidi umri dudu yake nayo changa!!! [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani anagalau wewe unazungumzia ndoa!!! Mimi ata mahusiano siwezi kabisaaa! Yaani nina mdogo wa kiume nimemzidi miaka miwili, kwahiyo mwanaume akija kunitongoza nikagundua nimemzidi ata mwezi mmoja naona kama natoka na mdogo wangu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alafu hua naimagine kua mtu niliemzidi umri dudu yake nayo changa!!! [emoji23][emoji23][emoji23]
basi wewe utakuwa na k. Kubwaaaaaa
 
Back
Top Bottom