Wanaoshangaa Irene Uwoya kuolewa na Dogo Janja nyuma ya pazia wanatamani wangekuwa wao

Kama wanadharau hata akiwa mkubwa watamdharau tu
 
Hivi wakati Irene Uwoya anaoana na Ndikumana, dogo Janja si alikuwa darasa la kwanza! This is miraculous act. Hii si halali. Watumie ujanani uzeeni wanabaka vitoto na kuvifunga visifikiri mbali.
 
Naomba picha yao wakiwa wawili kwenye mavazi ya ndoa tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…