EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,477
- 15,325
You never know Mkuu. Unaweza kuta wakati analawitiwa polisi wakapita kwa bahati mbaya au wakaitwa na wale wanaopinga adhabu ya kulawitiwa. Lakini point yangu iko hasa kwa anayelawiti ajue kuwa akikutwa anafanya hicho kitendo adhabu iliyo mbele yake ni miaka 30 jela halafu arudi kama atamkuta mkewe.
...lol, hivi ukishafumaniwa na mke wa mtu kisha ukalawitiwa, utapata nguvu ya kwenda shitaki?
hapana bana,...mungu atunusuru tu, najua nitachomfanyia huyo 'mume'
Haukumalizia mkuu: 'Akamuoneshe mke wake" :lol:
On a serious note: hii ni kweli kua mwanaume anapewa adhabu hiyo mtaani?
"Akamwonyeshe mkewe" nimeicha kwa sababu kweli mkewe atakuwa anamsubiria kwa miaka yote 30? Kama kweli mwanaume anapewa adhabu hiyo mitaani, The Boss atajibu kama bado. lol