Kwani wewe unahisi kujiandikisha maana yake ni nini, mpaka useme hukujiandikisha mala unakuja kusema uliwapa information zako?Hiyo ndio sababu pekee uliyoiwaza [emoji23]
To cut long story short walikua wanatafuta watu wa course yangu sabab hatupo wengi ikabidi watoe tangazo nlipomcheki mtoa tangazo akawapa info zangu wakanipigia.
Niliwapa number yangu ya simu jina na course nliyosomea kesho yake wakanipigia sikufanya interview wala kuandikisha vyeti vyangu kwaoKwani wewe unahisi kujiandikisha maana yake ni nini, mpaka useme hukujiandikisha mala unakuja kusema uliwapa information zako?
Ukweli mtupu,hawa watu sijui hata kazi yao nini hasa naonaga wapo tu wanakunywa kahawa.Taesa wamekaa tu kwenye ofisi wanasubiri makampuni ndo yapeleke maombi ya watu badala taesa waeke agents ambao wanakua wanazunguka kwenye mashirika hadi hukoo mikoani kabisa unakuta mahali kuna uhitaji wa watumishi na hakuna mtu anajitolea kutokana na husda za wakurugenzi ila kwa kuwa taesa niya serikali inaeza kupeleka watu wanakula tu mishaara ya bure wamekaa oisini yani
Ni course gani hiyo mkuu? Samahani lakini.🤗Hiyo ndio sababu pekee uliyoiwaza [emoji23]
To cut long story short walikua wanatafuta watu wa course yangu sabab hatupo wengi ikabidi watoe tangazo nlipomcheki mtoa tangazo akawapa info zangu wakanipigia.
You may be right but wrong at the same time. Huwa wanatafuta hizo nafasi but ukumbuke sio mashirika yote huprefer intern wa taesa .Taesa wamekaa tu kwenye ofisi wanasubiri makampuni ndo yapeleke maombi ya watu badala taesa waeke agents ambao wanakua wanazunguka kwenye mashirika hadi hukoo mikoani kabisa unakuta mahali kuna uhitaji wa watumishi na hakuna mtu anajitolea kutokana na husda za wakurugenzi ila kwa kuwa taesa niya serikali inaeza kupeleka watu wanakula tu mishaara ya bure wamekaa oisini yani
GISNi course gani hiyo mkuu? Samahani lakini.[emoji847]
Ungeandika kwa kirefu ungekuwa umenisaidia zaidi, anyways niende google.
"sijui kwann nakujibu mwenyeww unalugha mbovu" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Niliwapa number yangu ya simu jina na course nliyosomea kesho yake wakanipigia sikufanya interview wala kuandikisha vyeti vyangu kwao
Sijui hata kwann nakujibu mwenyewe unalugha mbovu anyways tusichoshane