wanaotafuta wachumba wa ukweli hawa hapa


Duh kaka umeliwa!!! hakuna jambo baya kama mtu kujifunza jambo ukubwani! mkeo akipata mwalimu huyo hutakaa umshike atalimbuka na mji, atalimbuka na wanaume wengine, atalimbuka na kila kitu! jogoo la shamba haliwiki mjini na likiamua kuwika hapalaliki! utakuja kutuambia siku moja yakisha kukulia makubwa!
 
Kaka HONGERA SANA,SANA,
Unajua bwana watu wanajifariji ooh ukimleta mjini atalipuka,noo,aaa wapi,kama mungu amekupangia THANKS TO HIM,WA MJINI WENGI NI UMIZA KICHWA KAKA,TENA UMPATE WA KINONDONI AHHH,Acha bwana.
hawa wadada wa Dar bwana wana akili wanazozijua wao tu,hatuangalii anapendezaje kitu heshima bwana,
 

we vipi afu si wa mjini tukabanane na shemeji zake Natalia au unamaanisha nini
 
Hahahah zubeda kaletwa town ngoja aanze timbwili, anza kumsopsop na kumpa maujanja ya mujin asije kukuaibisha kwa rafikizo wakija homu!!

watu wa baya hiyo dedication daah
 
Hongera sana kaka!! ila wanawake wengi wamekupinga coz ukweli unauma, hapa mjini hamna wanawake ni Gold digger tu!!
 
Huku kijijini pia sabuni za limao maarufu kama KAISIKI zipo! Mabinti wananawa kwenye k na kitu kinarejea kama mwanzo, bikira ni rahisi kui-repair!
 
Bado sijaona kama huyo wa kijijini ndio suluhisho..upande wako Mungu akikujaalia sawa..lakini bado ni mapema mno!
Mwanamke akijitunza na kuwa na adabu zake anaolewa tu hata akiwa Marekani, na akiwa kimeo hata akiwa kijijini taabu tupu!..
 
hapana kurudi kijiji siyo tija bali maombi ndiyo yamefanya kazi naomba uendelee kuomba ukiacha tu,ndege wako atua kwa simba mwitu wa hapa mjini
 
we jamaa vipi unaifaham nyimbo ya prof j nikusaidieje?...vipi watu tuliozalizwa mjini yani babu, bibi wote wanatoka mjini mf Dar..tuende wapi jombaa elewa mapenzi hayana formular usione kisa yamekukalia sawa na mke wako wa huko kijijini ndo ukajua hiyo ndo solution..halafu sio wote tunatokea vijijini....ova...
 
Kumbuka wimbo wa usije mjini wa mwana fa.....tafakari chukua hatua..

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Ha ha ha haa, wadada wa mujini wamekereka sana na huu uzi..!!!
 
Hongera sana kaka!! ila wanawake wengi wamekupinga coz ukweli unauma, hapa mjini hamna wanawake ni Gold digger tu!!
balaa. hawa madem watown hamna kitu, kazi yao kwenda salon na kuweka lipstick. maadili sifuri, kazi kupiga mizinga... hopeless.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…