Wanaotaka dawa za kienyeji (asili ) zitolewe kwenye hospitali za Serikali ni vema wakaruhusu pia kupiga Chale na ramli

Chale plus ramli na mitishamba ni vitu viwili tofauti
 
hauna akili, ni mtumwa wa fikira za kizungu. Ngoja niendelee kugonga mwarobaini wangu hapa.
 
Mataga kimya wapo kulogana tu kutafuta vyeo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…