Aiseeeh this is very interesting....hadi nimeogopa[emoji1]Duh aisee ule mziki wa cpa sijawahi ona, ulinipeleka mchaka mchaka mno hata nikiunganisha msuli wa form 6 na degree bado haifiki hata nusu.
Sitting ya kwanza nilifanya May huku nimelipia tuition centre / review classes, nikitoka kazini naenda centre huku nimechoka balaa, kwa misifa nilichukua masomo 6, aisee nlikula za ovyoo ovyo usoni nikafaulu somo moja tu la B6 (hili somo jepesi kuzidi yote ni kama civics), nilitamani kulia!!,
Nimeshaanza kusoma wakuu, nimeanzia foundation level ila nimepata exemption of 4 subjects out 6, so ntafanyia mtihani masomo 2.
Nnavyojua mimi ni ndani ya miaka 5 mkuu, ila zaidi ya hapo unafanya mitihani yote mkuu maana wanasema ni kama utakua umesahau vitu vingi ndiyo maana wanataka uanzie chini. So umeshaanza kusoma?Naomba kufahamu hii exemption unapewa kama umemaliza chuo baaada ya muda gani? Je kama ulisoma miaka 5 au 10 nyuma wanakupa? maana mimi walininyima na nimesoma accounts undergraduate...wanaangalia nini hasa?
Sent from my CPH2127 using JamiiForums mobile app
Ndio naanza soon with foundation...hope to sit in May ...[emoji45]Nnavyojua mimi ni ndani ya miaka 5 mkuu, ila zaidi ya hapo unafanya mitihani yote mkuu maana wanasema ni kama utakua umesahau vitu vingi ndiyo maana wanataka uanzie chini. So umeshaanza kusoma?
Aisee ukijibiwa na mie nijulishe[emoji26]...maana na mimi nataka May nipige hii ishuuNataka nianza foundation, nataka nipige masomo matatu 3 May naomba naomba muongozo wa masomo gani rahisi nianze nayo
Sasa nimesahau nini kama mtu nilikuwa ninafanya kazi? Kama mtu hajafanga kazi mweli but amtu yupo job ana apply hizo accounting principles anasahau vipiNnavyojua mimi ni ndani ya miaka 5 mkuu, ila zaidi ya hapo unafanya mitihani yote mkuu maana wanasema ni kama utakua umesahau vitu vingi ndiyo maana wanataka uanzie chini. So umeshaanza kusoma?
Kila rakheri mkuu, kama utaingia review Classes anza mapema, walishaanza since january usije ukapitwa sana.Ndio naanza soon with foundation...hope to sit in May ...[emoji45]
Sent from my CPH2127 using JamiiForums mobile app
Okey sawa.Kila rakheri mkuu, kama utaingia review Classes anza mapema, walishaanza since january usije ukapitwa sana.
Unahitaji kusoma level gani ya CPAOkey sawa.
Na hizo review classes wanapatikana wapi au maeneo gani kwa Dar?
Foundation levelUnahitaji kusoma level gani ya CPA
TrueNi kukazana tu, hakuna kisichoshinidikana ukiweka nia,
Sasa kama zishafika hivo na wewe haupo miongoni imagine employers watamuacha huyo CPA T wakuchukue wewe?CPA zishafika 12000+
Mkuu kuna online review Classes , na discussion kama utapata na wenzio huko, pia mitihani kuna centres za mikoani. Si lazima uje kufanyia Bunju.Na sisi tulioko mazingira ya vijijini kuna namna gani rahisi ya kuisoma hii CPA...
Au hadi tusogee town centre.
Ulishaanza review Classes mkuu?Foundation level
Ulishaanza review Classes mkuu?
Bado mkuu! ni wapi huko wanasoma na ni bei gani?Ulishaanza review Classes mkuu?