Wanaotaka kuanza kusoma CPA karibuni tushauriane

Wanaotaka kuanza kusoma CPA karibuni tushauriane

Naomba unisaidie kufahamu gharama za ACCA ni bei ngapi mkuu?!!
Ziko subjective based on unaanzia level ipi.

Ngoja niandike fees applicable Under normal circumstances .

PART A: INITIAL COSTS
1. Initial Registration: £36
2. First year subscription fee: £63

note 1: ukijiregister afu ukachelewa kulipa fee, Jina lako litafutwa. Ukitaka kurudi kuregister upya fee itakua £89

note 2: subscription fee ni £122 (kila mwaka). Ila kwa mwaka wa Kwanza ndo Kuna punguzo, utalipa hiyo £ 63.

Haya tuendelee Sasa,

PART B: EXEMPTION FEES
Hizi ni ni fee unalipa kwaajili ya msamaha wa kufanya mitihani kadhaa. Assumption ni kwamba umeshaifanya ukiwa chuoni au somewhere else.

1. Applied Knowledge exams: £40 @subject.
Haya masomo yako matatu.
(a) Business and Technology
(b) Management Accounting
(c) Financial Accounting

note: kibongo-bongo tunaita FOUNDATION LEVEL

2. Applied skills exams: £58 @subject
Haya yapo sita.
(a) Corporate and Business Law
(b) Performance Management
(c) Taxation
(d) Financial Reporting
(e) Auditing and Assurance
(f) Financial Management

note: ki-kwetukwetu tunaita INTERMEDIATE LEVEL

PART C: EXAMINATION FEES
(Kwa mitihani ya Sept 2023)

1. Applied Skills exams : £ 135 per subject
Deadline ya kulipa ni 31st July 2023
Ukichelewa kulipa hadi 7th August utalipa £345 per subject

2. Ethical and professional skills module: £75

3. Strategic Professional (Essential) : Haya yapo mawili tu, na ni lazima kufanya regardless of any circumstance
*Strategic Business Leader : £ 238
*Strategic Business Reporting : £ 170

4. Strategic Professional (Options) : Haya yapo manne, unachagua mawili. £170 per subject
*Advanced Financial Management (AFM)
*Advanced Performance Management(APM)
*Advanced Taxation (ATX)
*Advanced Auditing and Assurance (AAA)

I hope nimekujibu.
#CPA-T Mr Confidential
 
Ziko subjective based on unaanzia level ipi.

Ngoja niandike fees applicable Under normal circumstances .

PART A: INITIAL COSTS
1. Initial Registration: £36
2. First year subscription fee: £63

note 1: ukijiregister afu ukachelewa kulipa fee, Jina lako litafutwa. Ukitaka kurudi kuregister upya fee itakua £89

note 2: subscription fee ni £122 (kila mwaka). Ila kwa mwaka wa Kwanza ndo Kuna punguzo, utalipa hiyo £ 63.

Haya tuendelee Sasa,

PART B: EXEMPTION FEES
Hizi ni ni fee unalipa kwaajili ya msamaha wa kufanya mitihani kadhaa. Assumption ni kwamba umeshaifanya ukiwa chuoni au somewhere else.

1. Applied Knowledge exams: £40 @subject.
Haya masomo yako matatu.
(a) Business and Technology
(b) Management Accounting
(c) Financial Accounting

note: kibongo-bongo tunaita FOUNDATION LEVEL

2. Applied skills exams: £58 @subject
Haya yapo sita.
(a) Corporate and Business Law
(b) Performance Management
(c) Taxation
(d) Financial Reporting
(e) Auditing and Assurance
(f) Financial Management

note: ki-kwetukwetu tunaita INTERMEDIATE LEVEL

PART C: EXAMINATION FEES
(Kwa mitihani ya Sept 2023)

1. Applied Skills exams : £ 135 per subject
Deadline ya kulipa ni 31st July 2023
Ukichelewa kulipa hadi 7th August utalipa £345 per subject

2. Ethical and professional skills module: £75

3. Strategic Professional (Essential) : Haya yapo mawili tu, na ni lazima kufanya regardless of any circumstance
*Strategic Business Leader : £ 238
*Strategic Business Reporting : £ 170

4. Strategic Professional (Options) : Haya yapo manne, unachagua mawili. £170 per subject
*Advanced Financial Management (AFM)
*Advanced Performance Management(APM)
*Advanced Taxation (ATX)
*Advanced Auditing and Assurance (AAA)

I hope nimekujibu.
#CPA-T Mr Confidential
Asanteh sana mkuu...japo hizo rates za £ sijafahamu kwa Tz shs ni bei gani?!
 
Mnaoendelea na CPA kwa ajili ya Mid session and November sit, just a reminder, review classes zimeshaanza tangu last week so bado hujachelewa fanya maamuzi sasa tukutane class.💪
 
Hamna kuna dogo alikuwa ana plan za kuingia darasani ila ana unga unga sana pesa za kufanyia CPA ndio nimemkumbuka hapa mana namuona yupo tu.
Yes ni expensive kufanya CPA.
Kwa anaeanza intermediate itamgharimu Tshs 1,230,000 (Payable to NBAA) plus tution fee. (Apprx: >=700,000 kwa six subjects)

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Sikukupotosha. Hilo linawezekana. Au linatakiwa liwezekane kwa kutumia NQF (ikihuishwa).

Mojawapo ya mahitaji ya kufanya ATEC 1 ni:

Such other certificates as may be recognized by the Board from time to time. Kwa kigezo hiki mtu anaweza kuanza CPA.

Au mtu wa darasa la saba anaweza kufanya ACCA kwa kuanzia hapa: Foundation Level structure and requirements

Hivi CPA(T) na ACCA zinalinganishwaje?
CPA ni ya TZ acca ni international
 
Hzo apo
1690363519506.jpg
 
Habarini Wakulungwa?
Ninaombeni msaada! Ninahitaji kufanya mtihani kwa level ya Foundation, nitaanza na masomo manne! Je ni masomo gani Mepesi nianze nayo kwa Mtazamo wenu?
 
Back
Top Bottom